Nape si mwanachama wa CCM

Nape si mwanachama wa CCM

Hahahaaaaaah!!!!! Chandimu nimewashika pabaya sanaaaa. Nilikuwa sijacheka siku nzima, sasa mpaka mbavu zinaumaaa......aaaaaah!hakika huku ni kutapatapa kwa hali ya juu sana......

Nape kumbe ile kauli yako ya kwamba hata wanaCCM wakihama wote basi wewe upo tayari kubakia peke yako ina ukweli sana. Nakushauri umwombe sana Mungu akupe busara ya kutambua hali ya nchi ilivyo kwa sasa ili Tanzania yetu ibakie moja
 
Nimepokea taarifa kutoka vyanzo mbali mbali kwenye mashina ya Chama hiki kinachopotea Kwa kasi, kwamba viongozi wengi hasa MAwaziri, Wabunge, Madiwani Na Kada nyinginezo wamejitokeza Kwa Siri au Kwa sababu mbalimbali kwenye mashina ya CCM, wakijitahidi kutafuta kadi za CCM, Na kukamilisha miamala ya uanachama ili wajilinde Na kimbunga ambacho chaweza tokea cha sakasaka ya wanachama wenye kadi Na walipao Ada zao.

Baadhi ya matawi mengi yamenadi kwamba kuna vijana wametumwa kuwakatia kadi 'wazee' Na kufanya taratibu zote za uanachama Kwa visingizio kwamba ''wazee ' Hao wamepoteza vya awali wakati Wa kampeni au hekaheka za Ujenzi wa Chama..

Ingawa Ofisi nyingi zimenufaika Na maingizo hayo ya mapato ila wanahoji Mbona watu Hao ni wakubwa sana wa Chama ? Iweje wawe wazembe wa kupoteza kadi zao za awali au ni janja tu ya kujihami..

Kwa Mujibu waponyosha habari kutoka kwa Katibu mwenezi Wa CCM Taifa, nae ameshakamilisha maandalizi ya kuanza kutafuta kadi.. Wapambe wake tayari wameshapewa cha kwao, wameanza rasmi mchakato huko TANGANYIKENI.. Wamekubaliana awe nacho ila akifiche ili siku ya kikao ikitimka hoja ya wasiokuwa na kadi ndipo akitoe as if alikuwa nacho Long.
Tatizo linalojitokeza ambalo wapambe hawajalijua, Kadi za Ccm zimekuwa zikibadilika badilika rangi , muundo Na size kila mwaka.. Kuna vya green86, green54, green90 Nk kutokana na mwaka Na mwaka.. Na ile ya green 86 baada ya miaka mitatu inaonekana Kama green 54.. Pia size ni tofauti..vya Zamani vilifika hadi size ya 5'x3' sasa tunakisubiri hicho atachokitengeneza NAPE, Na Kama .. Kikiwa na ukweli kikaonyesha amekikata May au June 2012, hatuna maneno nae ila aki-back Date,, aisee hataenguliwa uanachama yeye peke yake hadi Bosi wake aliyemzawadia cheo hicho cha kutukana wazee..
 
Hahahaaaaaah!!!!! Chandimu nimewashika pabaya sanaaaa. Nilikuwa sijacheka siku nzima, sasa mpaka mbavu zinaumaaa......aaaaaah!hakika huku ni kutapatapa kwa hali ya juu sana......

Sawa Nape mshike pabaya kweli kwa kutoa "details" za uanachama wako wa MAGAMBA. Acha mzaha kama wa mzee wa Kaya. Tupe namba ya kadi yako, tawi ulilokatia na mwaka (au ukipenda scan kadi hiyo) ili umshike pabaya.
 
Tyson .. Hana KADI, yeye amekiri wazi alipokihama Chama aliteketeza kadi yake, Na sasa hawajampa kadi nyingine, anaeleaelea tu..(kadi ukakate mwenyewe au ukatiwe.. Khe huyu mzee vipi..) The same Agenda..
 
Nadhani sred HII sasa Ina Meno, Jamaa alijua yeye Hana Kadi ya Ccm, akaacha kitambo kipite as if JF tumesahau, akaibua Dr.Slaa Kadi ya CCM aliirudisha lini, Yeye hana Kadi apo, aisee mpira kurushiana.. JF is a library dear fellow..
 
View attachment 54878 . . ? View attachment 54879!!!

Kutokana na wimbi la wananchi kuchukizwa na mfumo wa CCM na serikali yake na kiasi cha wanachama wengi kukihama chama hiki kikongwe, vile vile kutokana na ukweli kwamba chama hiki kikongwe kimepoteza mwelekeo kwa kasi na kustawisha majungu, udini, fitina na umaskini miongoni mwa jamii ya watanzania, Ububu au ukiziwi wa viongozi wake kwenye kero wazi zinazowasumbua wananchi kama migomo ya madaktari na chochezi za ubaguzi, baadhi wa wanachama wa CCM wameguswa na matukio ya upepo yanayokiandama chama chao hiki.


Hutakiwi kujibu hoja Ngumu kwa majibu laini, jipange, kanunue kadi, uwe na tawi, Lipa ada Zote, jenga chama chako, Kiongozi lazima uwe mfano, ukiona inakukera achana na Uongozi nenda kaendeleze NGO aliyoiacha Mzee..........

This makes the difference between Jf and other socia networks. People are seriously in searching and reading and so curious with matters. But remember, Narrow minded people discuss People.
 
natamani kulijua tawi la mwanachama huyu wa magamba.aonyeshe kadi yake ya uanachama hadharani.
 
Issue ya kadi alotoa nape hakika imewayumbisha magwanda kila siku post mpya zinawekwa mezani nape hebu tupe mtirirriko wa ulipaji wa babu na wenzake
 
Issue ya kadi alotoa nape hakika imewayumbisha magwanda kila siku post mpya zinawekwa mezani nape hebu tupe mtirirriko wa ulipaji wa babu na wenzake
 
Issue ya kadi alotoa nape hakika imewayumbisha magwanda kila siku post mpya zinawekwa mezani nape hebu tupe mtirirriko wa ulipaji wa babu na wenzake

aliekwambia hii ni post mpya ni nani.? Au umekurupuka bila kuangalia tarehe.?
 
kupika kadi ni rahisi lakini pia ni rahisi kugundulika namashauri dogo aingie mitini kiana, hii kwa nape ni kama ameingiliwa na mbwa kutoka ni ishu.
 
Hivi imagine william na nape wamekaa pamoja wanapiga story.......aiseeeee.....

btw.....nape kadi vipi arifu?

Hakuna lolote la maana watakalokuwa wanajadili labda watakuwa wanatiana moyo tu kwamba mwenzao Tyson amejaribu na ameweza kwanini nao wasichukue maamuzi magumu kama mwenzao Mike Tyson!
 
Jamani Nape huwa mwepesi kujibu hoja mbona hii hoja yupo kimya??
 
Back
Top Bottom