JIULIZE KWANZA
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 2,569
- 500
Hahahaaaaaah!!!!! Chandimu nimewashika pabaya sanaaaa. Nilikuwa sijacheka siku nzima, sasa mpaka mbavu zinaumaaa......aaaaaah!hakika huku ni kutapatapa kwa hali ya juu sana......
Haya majibu mepesi naya kejeli yanawa cost daily lakini hamjifunzi siunge scan receipt fasta ukanushe hoja kwa ushahidi? Majibu yako mepesi yanawafanya watu waamini ni kweli unajua Huku jf kuna watu vichwa ambao ukimuweka mmoja na wabunge 100 wa ccm watamkimbia wamuache peke yake mtu Kama Ritz etc tunataka majibu mazito Mkuu