Nape si mwanachama wa CCM

Nape si mwanachama wa CCM

hilo alilovaa ndilo vazi la taifa (gwanda) au ni gamba?
 
mie siku zote nasema NAPE NI MAMLUKI WA CHADEMA ndani ya CCM..ukimsikiliza nape utatamani hadi kucheka

unaeza jiuliza hivi huyu jamaa ni kiongozi wa juu wa chamaa au ni nani ndani ya chama...

Any way M4C itawaumbua tu hawa mwisho wa siku yeye na m/kiti wake watakapovua gamba na kuvaa gwanda..

au ndio maana anapenda kuigilizia kuvaa nguo ya kazi gwanda??
 
Unamaanisha Nape ni Mwajiriwa wa CCM na si mwanachama wao?
Kwani CCJ siyo wakala wa CCM?
 
nape hawezi kuja hapa na akija alete scanned kadi yake na sisi utalaamu wetu wa forensic tutabaini tu lini kadi hii alipewa


Hana Haja hata ya ku scan.. Aandike tu namba yake inatosha, Na Jina la Tawi Kama lipo kwenye huu ulimwengu Wa mja wa mwenyezi
 
Hana Haja hata ya ku scan.. Aandike tu namba yake inatosha, Na Jina la Tawi Kama lipo kwenye huu ulimwengu Wa mja wa mwenyezi

Na sisi tumekaa hapa tunamsubiri,
Atuambie kama ni kibarua CCM au mwanachama?
 
Hahahaaaaaah!!!!! Chandimu nimewashika pabaya sanaaaa. Nilikuwa sijacheka siku nzima, sasa mpaka mbavu zinaumaaa......aaaaaah!hakika huku ni kutapatapa kwa hali ya juu sana......
 
Na wewe umeamua kuwa kama William Malecela.


kwani wana tofauti hawa? akili zako mbna ziko sawa....ujinga mwingi..si unamuona anavyokwepa kujibu.....aseme hata namba yake......
 
Hahahaaaaaah!!!!! Chandimu nimewashika pabaya sanaaaa. Nilikuwa sijacheka siku nzima, sasa mpaka mbavu zinaumaaa......aaaaaah!hakika huku ni kutapatapa kwa hali ya juu sana......

Sasa hapo unacheka nini toa majibu sio kukeneka hapa,
Tunasubiri majibu kutoka kwako.
 
Kama hii ni kweli? Labda kwa sababu sasa hivi unaweza hata okota kadi ya chama barabarani. Maana wakati wa kura za maoni zilikuwa bure tu (na seating allowance ya kupiga kura juu).
 
Kwani alishahama CCJ(aka CCK)? Kumbukumbu zangu zinaonyesha yupo huko au kuna changes zilitokea?
 
Nape tunakuomba uje ujibu hii mada ni nzito sana sijui kama utaimudu lakini.
kama cheti cha kuzaliwa, hati ya pasipoti zina fojiwa itakuwa kadi ya uanachama wa nape tena zinatolewa mpaka vichochooroni, wewe subiri atakuja na mbembwe kibao hapa.
 
Teh teh teh! Mtoto wa gamba n gamba2, hasa jaman kweli nape kulikon huna kad mpaka leo alafu wewe ndo unajifanya mwenyej na kubatiza wafuas wapya? Na sio nape 2, wako na wenzake wengi hawana kad ya chama, na utendaj wao wa kaz ktk maendeleo ya taifa n .-ve,
 
Back
Top Bottom