Bome-e
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 17,104
- 26,070
Tatizo kila mtu anajua sababu ya kutenguliwa kwakeNape aliteuliwa kuwa Waziri bila ya kuulizwa yoyote yule na ametenguliwa Uwaziri wake pia, sasa tatizo liko wapi hapo?
Tatizo kila mtu anajua sababu ya kutenguliwa kwakeNape aliteuliwa kuwa Waziri bila ya kuulizwa yoyote yule na ametenguliwa Uwaziri wake pia, sasa tatizo liko wapi hapo?
Wewe ndio sifuri kabisa huna akili ni sawa na nguchiroWewe na Nape wote hamna Akili, Uwaziri ni nafasi ya kuteuliwa na anayekuteua halazimishwi kukuteua na vile vile anaweza kutengua nafasi yako muda wowote ule kwa jinsi anavyoona inafaa, sasa kinachowaliza ni kipi?
Kama umempenda sana huyo Nape na anakuuma kiivyo basi kamtambushe kwa Wazazi, ndugu na Jamaa zako!
Mkuu , Mwaky ameacha utaaluma sasa ni mwanasiasa kama mwingine.Cheti cha daudi bashite kina nin hadi kiwe gumzo kias hicho?
Suala la uvamiz wa clouds media ule ushahid wa camera za cctv hautoshelez kwa mwakyembe kuchua hatua?
Tunasubiri sakata la vyetiWewe na Nape wote hamna Akili, Uwaziri ni nafasi ya kuteuliwa na anayekuteua halazimishwi kukuteua na vile vile anaweza kutengua nafasi yako muda wowote ule kwa jinsi anavyoona inafaa, sasa kinachowaliza ni kipi?
Kama umempenda sana huyo Nape na anakuuma kiivyo basi kamtambushe kwa Wazazi, ndugu na Jamaa zako!
Mwakyembe amchukulie HATUA NANI?Cheti cha daudi bashite kina nin hadi kiwe gumzo kias hicho?
Suala la uvamiz wa clouds media ule ushahid wa camera za cctv hautoshelez kwa mwakyembe kuchua hatua?
Kwani mpaka umwambie HANA AKILI?Wewe na Nape wote hamna Akili, Uwaziri ni nafasi ya kuteuliwa na anayekuteua halazimishwi kukuteua na vile vile anaweza kutengua nafasi yako muda wowote ule kwa jinsi anavyoona inafaa, sasa kinachowaliza ni kipi?
Kama umempenda sana huyo Nape na anakuuma kiivyo basi kamtambushe kwa Wazazi, ndugu na Jamaa zako!
Mkuu , Mwakyembe ameacha utaaluma sasa ni mwanasiasa kama mwingine.
Ukisikia anajibu maswali utajiuliza ana elimu ya kiwango gani.
Mwakyembe hawezi kabisa kusimama katika ukweli, in short hana credibility kwa society na ni mmoja wa watu wanaozungumza hakuna anayesikiliza tena
Kuhusu vyeti, inashangaza hakuna anayejitokeza kusema si kweli, au ukweli ni huu
Baraza la mitihani kimya, waziri kimya , wahakiki wa kila nyaraka kimya, David kimya
Ukimya una ukweli,hakuna aliye tayari kucheza na Daud, au ajuaye kina cha madaraka
Hakuna ajuaye nani anafuata baada ya Nzee. Je ni mama? au mwana wa Nyangao au Daud wa Bethlehem? Hakuna aliyetayari kujaribu kuchelea gharama kubwa
Kumfukuza MwanaNauye ni kupeleka ujumbe kwa watakao kucheza na Daud mwana wa mfalme. Kwamba kauli ya David ni kubwa kuliko wanavyodhani, wasicheze na Daud
Kuhusu MwanaNnauye, kinachomuumiza kwa uhalisia si kwanini ameondolewa.
Kinachomuumiza ni jitihada za kulinda heshima ya serikali alizofanya akahukumiwa nazo
Kisaikolojia pia ni kweli. MwanaNnauye alisimama kidete akijitoa mhanga hata kutamaka bao la mkono kuhakikisha Josiah Mwangi anakalia kiti cha enzi.
Wakati anavunja viwiko kuimarisha chama, David hakuwa na habari
Leo Dauda anabofoa , wanaojaribu kutengeneza na waliohangaika kutengeneza wanaadhibiwa, kwa gharama za Daud. Real!
Suala kubwa hapa si MwanaNauye anafikiri nini, bali kuna uhusiano gani mzito kati ya David wa Bethlehem na Josiah Petro Mwangi? Kuna kitu gani nyuma ya hili?
RC Makonda kesho asubuhi saa 2 tbc1
Huyo uliyemtaja hatumjui sisi tunamjua Kiongozi jembe kwa majina yake anayotumia.
Mimi naona tumelikumbatia la kuvunda,labda ccm tuna viwanda vya ubani.Hata kama ni chungu na inauma vumilien tuh...
Amerud TBC1?RC Makonda kesho asubuhi saa 2 tbc1
Huyo uliyemtaja hatumjui sisi tunamjua Kiongozi jembe kwa majina yake anayotumia.
Akiwateka TBC ndio watamjua!Amerud TBC1?
Clouds imekuaje tena?
Mwakyembe yuko kama kishada , upepo unapoelekea naye huenda hukohuko .Cheti cha daudi bashite kina nin hadi kiwe gumzo kias hicho?
Suala la uvamiz wa clouds media ule ushahid wa camera za cctv hautoshelez kwa mwakyembe kuchua hatua?
Mkuu najiuliza hizi PhD zinawafanya watu vichaaaa?Mwakyembe yuko kama kishada , upepo unapoelekea naye huenda hukohuko .
Mkuu najiuliza hizi PhD zinawafanya watu vichaaaa?
Mkuu serikali nzr ni ile inayojali Ushauri na kuwa na weledi wa hali ya juu.. Ili kupata kuungwa mkono na wananchi ambao ndo waliokupigia kura na kukufikisha hapo ulipo! In short hao ndo waajiri wako.. Hivyo mahusiano Kati ya mwajiri na mwajiriwa yanatakiwa kuwa mazuri hasa mwajiriwa kufuata matakwa ya mwajiri... Unapoleta Kiburi na kukurupuka katika maamuzi yako italeta picha mbaya kwa mwajiri wako! Suala la Nape na Bashite kwa mtu yeyote mwenye weledi asingemchomoa Nape akamwacha Bashite.. Hata ungekuwa wewe mkuu.. Tuwe wakweli tu katika hili! Mkulu kachemsha tena sana tu!Nape aliteuliwa kuwa Waziri bila ya kuulizwa yoyote yule na ametenguliwa Uwaziri wake pia, sasa tatizo liko wapi hapo?
Njaa mbaya lakini uzalendo ni jambo la msingi inasikitisha mwakyembe MTU mzima msomi wa PhD hajitambuiNjaa mbaya Mkuu
Njaaa