THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,365
- 12,823
- Thread starter
- #181
Issue ya Clouds ni "aftermath"...
U bring me fire, I bring to u a hell....thus whasup..KILAZA MKUBWA
Akili za bashite ni kama hizo
Zero in brain huwez jua hata mantik ya unachokiandika
Sasa kama ishu ya kuvamia clouds ni baada ya kutokea hilo la vyeti so what?
Inatoa justification?bashite huna pa kuchomokea na haijalish nan anakupa kinga ya kuendelea kuwepo hapo ulipo
Ila huna pa kuchomokea