Nape ni mwanzilishi wa CCJ

Nape ni mwanzilishi wa CCJ

ANC kiko ktk hati hati, hawa CCM waasome kupitia huko. tangu lini gamba la KAKAKUONA likavuka.
 
Wakati umefika wananchi tuache kumnyanyua mtanzania yeyote anaependa kujipandisha kwenye majukwaa kwa kutokuwa na hoja au maswala muhimu ya kujenga Taifa letu. Huyu mtanzania hakuna tofauti na kikwete alipokuwa akitafuta umaarufu kipindi cha Nyerere na yamekwenda wapi sasa? Kikwete hata kuongea hawezi, kuongoza hawezi, kurekebisha uchumi anatumia mikopo ya IMF na World Bank kama vile hii mikopo haitalipwa tena .... lini tutaacha kuwazungumiza hawa opportunists na wezi wa Taifa? Nape, January, Ridhiwan na hawa watoto wa mafisadi tunafikiri wapo tofauti na baba zao? Kama kuna mtanzania ameshaona tofauti basi atuonyeshe somewhere. They are killing us men and enough is enough.
 
The data is rubbish. If one well produces 200,000 litres per hour then the same one well would deliver a cool 4.8 million litres per day.

If it is true that a senior CCM leader gave those statistics then we are being led by mentally handicapped people.

Kila utazamapo wamejaa vilaza. CCM imekuwa jalala la vilaza.
 
Wakati umefika wananchi tuache kumnyanyua mtanzania yeyote anaependa kujipandisha kwenye majukwaa kwa kutokuwa na hoja au maswala muhimu ya kujenga Taifa letu. Huyu mtanzania hakuna tofauti na kikwete alipokuwa akitafuta umaarufu kipindi cha Nyerere na yamekwenda wapi sasa? Kikwete hata kuongea hawezi, kuongoza hawezi, kurekebisha uchumi anatumia mikopo ya IMF na World Bank kama vile hii mikopo haitalipwa tena .... lini tutaacha kuwazungumiza hawa opportunists na wezi wa Taifa? Nape, January, Ridhiwan na hawa watoto wa mafisadi tunafikiri wapo tofauti na baba zao? Kama kuna mtanzania ameshaona tofauti basi atuonyeshe somewhere. They are killing us men and enough is enough.

Bila jaziba,hivi blabla hapa ziko wapi? Mtanzania gani aliyeniinua? Hivi unaposema watoto wa Mafisadi unamaanisha Marehemu Nnauye alikuwa fisadi?????!!!! Ufisadi upi unaoweza kutoka nao kama hata harufu tu kwa Nape? Pengine tujaribu kuwa specific na objectively
 
Tulishasema mapinduzi ya kuwaondoa kwa nguvu ndio solution ya ccm na manufaa kwa hili Taifa. Hakuna nia ya kuendelea kukandamizwa na kundi dogo la wahuni kama hawa. Kila leo tunajua vitu gani wanafanya na data gani wanasuka kuwadanganya wananchi ... wengine wanawaoogopa jk na wenzake, kitu cha kuuliza ni mpaka lini tupo tayari kuonewa na kudanganywa? Kama upo tayari lets do this as soon as possible. Hiki ndicho jk anataka kuwapa watoto wetu kwa sababu wao ccm wanasema tunapenda kudanganywa ...

_51307977_kikwete_ap.jpg
 
  • Thanks
Reactions: LAT
Hii ni sehemu ya ripoti yake na nanukuu maneno yake...
"Mradi utakua na visima 10, na mpaka sasa visima 4 vimekwisha jengwa na kila kisima kina uwezo wa kutoa lita 200, 000 kwa saa. Mradi huu utakapokamilika utakua na uweo wa kutoa lita 8, 000 kwa siku wakati mahitaji ya maji ya mji wa singida ni lita 7,000 kwa siku."
Hoja yangu
Hata kwa akili ya kawaida tu bila hata kuwa na takwimu kutoka idara ya maji, lita 7000 kwa siku haziwezi kutosha mji wa singida hata kama ungekua na watu 7000 tu ambapo ina maana kila mtu angepata lita moja ya maji. Je hicho ni kiasi ambacho kinatosha kwa mahitaji haya ya binadamu anayeishi maisha ya kijima, ambaye hata msalani akienda hanawi mikono wala kutawadha. Nape kama ukipita hapa naomba utoe maelezo katika hili.
Chanzo MICHUZI: TAARIFA YA ZIARA YA SEKRETARIETI YA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA KATIKA MKOA WA SINGIDA ILIYOFANYIKA TAREHE 10-15/05/2011
NAWASILISHA

Upupu mtupu;
Uwezo wa kila kisima lita 200,000 kwa saa, uwezo wa mradi (visima 10) lita 8,000 kwa siku. Sina cha kusema.
Mahitaji ya mji wa Singida lita 7,000 kwa siku. Haitawezekana hata kama kila mwanachi atapata tone moja tu la maji. Hayo ni mahitaji ya familia ya watu 4 kwa wiki moja wakijitahidi wiki 2 kama watayatumia "economically".
Kazi kweli kweli.
 
Nape fanya vyote bt tambua sisi twahesabu siku tu, 90 zikiisha ujue utaaibika!
 
Nape ... are you a patriot or a parrot ....too much blah blahh blahhh

there are wrong calculations you are trying to do ..... the above testimony is completely lunatic and mimicking

first we will not believe the anti ufisadi war until you have the power to confiscate all the money and wealth that have been swindled by the said mafisad

what you are doing is a lenient undercover job to safeguard the said financial oligarchies of whom you can not dare to talk

i suppose that you could have been a smart boy by denying the propaganda job you have been given and continue with the DC role


Hili la kuwa patriot au parrot niwaachie watu waseme maana mti utambuliwe kwa matunda sio majani. Patriot wa kweli atambuliwekwa matendo sio maneno.kama ni mjadala naweza jadili matendo ya anayesemwa patriot au la.
la kutaifisha au kufilisi mali za watuhumiwa hili si la chama hili ni la serikali. kama chama tumesema na hapa narudia tunawajibisha wanachama wetu kisiaisa kwasababu sie ni chama cha siasa....ndo maana tukasisitiza hata bila ushahidi.unaweza kuwajibika.Kisiasa ushahidi wa mazingira unatosha kumwajibisha mwana siasa.Hatua za kisheria ni kazi ya serikali, ndo maana sisi katiba ya CCM...inasema wazi migogoro ya chama haipelekwi mahakamani...inashughulikiwa na vikao.
 
Nape fanya vyote bt tambua sisi twahesabu siku tu, 90 zikiisha ujue utaaibika!

Sasa huo ni uamuzi wako, wala sina sababu au uwezo wa kukuzuia kubaki na siku ZAKO 90 si dhambi kama umeamua,maana ufafanuzi nilishautoa juu ya siku...
 
Nimeamua kuja mwenyewe. Nashangaa wakati mwingine maana ni hapa ndo watu walisema Nape kashazibwa mdomo kama vile yale ni maamuzi ya Nape binafsi.
Jana nimewakumbusha tu watuhumiwa na wapambe wao si busara kujifariji kuwa maamuzi yatabadilishwa nje ya vikao, na vikao vyenyewe ni lazima iwe ama NEC au Mkutano Mkuu(Congres) na si vinginevyo.
Kuna hoja hapa eti kwamba Nape anabwabwaja tu, hakuna vitendo, let's be objective,hivyo vitendo ni vipi? Taarifa ya utekelezaji wa maamuzi haya itatolewa kwenye kikao kijacho cha NEC na si siku 90 kama wanavyojaribu kueleza hapa. Tumelieleza sana hili la siku,WAANDISHI TENA BAADHI ndo walitafsiri siku tisini kutoka kwenye ratiba ya vikao vya NEC ambavyo Dodoma tulikubaliana tentively tunaweza kukutana July ndo wakahesabu na kusema siku tisini. Lakini hakuna kikao kinakutana exactly kwa muda ulopangwa,kuna flexibility.
Ushauri subirini NEC ikutane mtuseme tukishindwa kufukuza.

Nape nitakugongea senkis (thanks) kama atafukuzwa mtu.. hebu soma Signature ya Ngunangwa uone alichoandika.. Mimi siamini na sitaki kuamini kuwa kuna kufukuza mtu pale!! siamini siamini siamini.
halafu siamini kuwa kujivua gamba ni kuwafukuza hao watu watatu tu uanachama.. kuwa watu kibao ambao utendaji wao ni bogus na wameibia taifa, bado ni viona kuliingizia hasara taifa hili ambao nao wanatakiwa washughulikiwe. Rejea list of shame ya Dr. Slaa!
 
Hili la kuwa patriot au parrot niwaachie watu waseme maana mti utambuliwe kwa matunda sio majani. Patriot wa kweli atambuliwekwa matendo sio maneno.kama ni mjadala naweza jadili matendo ya anayesemwa patriot au la.
la kutaifisha au kufilisi mali za watuhumiwa hili si la chama hili ni la serikali. kama chama tumesema na hapa narudia tunawajibisha wanachama wetu kisiaisa kwasababu sie ni chama cha siasa....ndo maana tukasisitiza hata bila ushahidi.unaweza kuwajibika.Kisiasa ushahidi wa mazingira unatosha kumwajibisha mwana siasa.Hatua za kisheria ni kazi ya serikali, ndo maana sisi katiba ya CCM...inasema wazi migogoro ya chama haipelekwi mahakamani...inashughulikiwa na vikao.

Albano ..unanihakishiaje wewe ni Nape ...ili nikujibu .... kwani upo katika thread hii with two ID's

There are currently 23 users browsing this thread. (11 members and 12 guests)

 
Hii ni sehemu ya ripoti yake na nanukuu maneno yake...
"Mradi utakua na visima 10, na mpaka sasa visima 4 vimekwisha jengwa na kila kisima kina uwezo wa kutoa lita 200, 000 kwa saa. Mradi huu utakapokamilika utakua na uweo wa kutoa lita 8, 000 kwa siku wakati mahitaji ya maji ya mji wa singida ni lita 7,000 kwa siku."
Hoja yangu
Hata kwa akili ya kawaida tu bila hata kuwa na takwimu kutoka idara ya maji, lita 7000 kwa siku haziwezi kutosha mji wa singida hata kama ungekua na watu 7000 tu ambapo ina maana kila mtu angepata lita moja ya maji. Je hicho ni kiasi ambacho kinatosha kwa mahitaji haya ya binadamu anayeishi maisha ya kijima, ambaye hata msalani akienda hanawi mikono wala kutawadha. Nape kama ukipita hapa naomba utoe maelezo katika hili.
Chanzo MICHUZI: TAARIFA YA ZIARA YA SEKRETARIETI YA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA KATIKA MKOA WA SINGIDA ILIYOFANYIKA TAREHE 10-15/05/2011
NAWASILISHA

Kibavu nimekugongea senks.. maana imebidi nicheke badala ya kusikitika
 
Hili la kuwa patriot au parrot niwaachie watu waseme maana mti utambuliwe kwa matunda sio majani. Patriot wa kweli atambuliwekwa matendo sio maneno.kama ni mjadala naweza jadili matendo ya anayesemwa patriot au la.
la kutaifisha au kufilisi mali za watuhumiwa hili si la chama hili ni la serikali. kama chama tumesema na hapa narudia tunawajibisha wanachama wetu kisiaisa kwasababu sie ni chama cha siasa....ndo maana tukasisitiza hata bila ushahidi.unaweza kuwajibika.Kisiasa ushahidi wa mazingira unatosha kumwajibisha mwana siasa.Hatua za kisheria ni kazi ya serikali, ndo maana sisi katiba ya CCM...inasema wazi migogoro ya chama haipelekwi mahakamani...inashughulikiwa na vikao.

Nape ...try to be a matured leader .... usijibu vitu tu kwa kurahisisha ...chama gani kimeshika hatamu ya uongozi wa nchi....! chama gani kina dola na kuwa na urahisi wa kuandaa prosecution kwa ajili ya mafisadi ....

hivi nape.... tuliambiwa kwamba watuhumiwa wa EPA wamesharudisha baadhi ya fedha walizoiba ..je kuna haja gani ya kuendelea na kesi kama mwizi akisharudisha mali aliyoiba... hawa sio watuhumiwa tena bali ni criminals and they deserve stiff punishment

kwa hiyo mgogoro wa wizi wa fedha za ccm hamtapeleka mahakamani .... na hivyo basi mtawaachia majambazi yaingie serikalini kupitia tiketi ya ccm wakijua wazi hawatashitakiwa

this is a miscarriage pregnancy ....
 
Kama mwanzilishi wa thread hii nampongeza ndugu Nape kwa kuja kujibu baadhi ya tuhuma hapa badala ya kulalamika kule kwenye facebook. Kwa hili nampongeza sana na ninakuomba uwe na ujasiri huu wa kukabiliana na watu hapa kwa hoja. Hongera sana
 
Wadau nimekifumania kipindi cha mahojiano ya moja kwa moja(live) kati ya Richard Kiyabo na radio Uhuru muda mfupi uliopita (yapata saa 0830am leo).
Bwana Kiyabo ametoa sifa nyingi sana kwa Nape, na katibu mkuu wa CCM kuwa hawa sasa ndio mwiba kwa CDM.
Amemsifia Nape kuwa simpenda madaraka, ndio maana alikubali kwenda Mtwara as mkuu wa wilaya bila kinyongo,sijamwelewa hapa!!!

na pia amemkandia Mpendazoe kuwa hana sifa ya uongozi na pia hajui siasa hata kama yeye(Kiyabo) akipambanishwa na Mpendazoe leo na kesho uchaguzi, basi Kiyabo ataibuka mshindi.
amejisifia kuwa kushinda Mahanga kule Segerera kwamba ni yeye ndiye aliibeba ile kampeni kwani anamjua vyema Mpendazoe.
Natumai atakuwa ameongea mengi kwani kipindi nimekikuta mwisho mwisho.

Wadau tuwekeni sawa bwan Kiyabo anatka kutuaminisha nini juu ya hawa aliowasemea?
 
Waungwana nimeshukuru kumsikia katibu mwenezi wa majungu wa CCM Napewa kuwa madiwani wa chama anachokitetea ni vimeo kiasi kwamba hawawezi japo kuhoji mabo ya msingi katika halmashauri zao, je anatufundisha nini katika hili? CDM wekeni nguvu kubwa katika ngazi ya kata yaani udiwani kwa mtazamo wangu ndiko mahali mitandao ya majuha na wezi wa fedha za wavuja jasho tulio wengi unapo anzia, madiwani wao hawana wanachojua zaidi ya posho zao.
 
Wadau nimekifumania kipi cha mahojiano ya moja kwa moja(live) kati ya Richard Kiyabo na radio Uhuru muda mfupi uliopita (yapata saa 0830am leo).
Bwana Kiyabo ametoa sifa nyingi sana kwa Nape, na katibu mkuu wa CCM kuwa hawa sasa ndio mwiba kwa CDM.
Amemsifia Nape kuwa simpenda madaraka, ndio maana alikubali kwenda Mtwara as mkuu wa wilaya bila kinyongo,sijamwelewa hapa!!!

na pia amemkandia Mpendazoe kuwa hana sifa ya uongozi na pia hajui siasa hata kama yeye(Kiyabo) akipambanishwa na Mpendazoe leo na kesho uchaguzi, basi Kiyabo ataibuka mshindi.

Sasa wewe kimekukasirisha nini? Kwa sababu ya Nape kusifiwa au kupondwa kwa Mpendazoe. Mbona nyie watu wengine ni stereotype hivi? Ulitegema dunia nzima imponde Nape kwa sababu wewe unamponda na vile vile ulitaka dunia nzima imsifie Mpendazoe, kwa lipi? Kujiunga na Chadema?
 
Wadau nimekifumania kipi cha mahojiano ya moja kwa moja(live) kati ya Richard Kiyabo na radio Uhuru muda mfupi uliopita (yapata saa 0830am leo).
Bwana Kiyabo ametoa sifa nyingi sana kwa Nape, na katibu mkuu wa CCM kuwa hawa sasa ndio mwiba kwa CDM.
Amemsifia Nape kuwa simpenda madaraka, ndio maana alikubali kwenda Mtwara as mkuu wa wilaya bila kinyongo,sijamwelewa hapa!!!

na pia amemkandia Mpendazoe kuwa hana sifa ya uongozi na pia hajui siasa hata kama yeye(Kiyabo) akipambanishwa na Mpendazoe leo na kesho uchaguzi, basi Kiyabo ataibuka mshindi.
amejisifia kuwa kushinda Mahanga kule Segerera kwamba ni yeye ndiye aliibeba ile kampeni kwani anamjua vyema Mpendazoe.
Natumai atakuwa ameongea mengi kwani kipindi nimekikuta mwisho mwisho.

Wadau tuwekeni sawa bwan Kiyabo anatka kutuaminisha nini juu ya hawa aliowasemea?
Khaaa!!!! Hawa wote si walikuwa CCJ, wanasiasa banaa all the brains are the same
 
Back
Top Bottom