Mkuu sasa umeenda over-board yaani hayo unayoyaita maovu ya hao mapacha yamesemwa mara ngapi na miaka mingapi na viongozi wa CHADEMA? Ni nani alikuwa akiwatetetea? Yaani mnataka kazi yenu ifanywe na CHADEMA? Si ni viongozi wenu including mwenyekiti wenu walisema huwezi kumuhukumu mtu kwa hisia mpaka ushahidi? Sasa huo ushahidi mmeupata lini?
Una haki ya kubeza, kutilia shaka kinachofanywa na viongozi wa Chadema, lakini kusema eti maandamano na mikutano ya chadema yana lengo la kuwasahaulisha watanzania kuhusu the so called mapacha watatu ambao chama chenu kimeendeleaa kuwakumbatia ni ukosefu wa hekima, busara na kufikiri. Mara nyingi umetuhumu watu kulipwa, guess what it seems you too have a price.