makoye2009
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,638
- 1,219
Kwa kuwa team nzima ya CDM, imeshajulikana kuwa inatumika kama presha group na horse,s mouth ya mafisadi wa ndani na nje ya CCM, wala sishangai kauli ya Mpendazoe.
ChiefmTz
Mbona hueleweki my friend!
Hiyo nyekundu ina-raise a lot of un-answered questions! Yaani Chama cha upinzani makini kama CDM KINACHOPINGA UFISADI KWA NGUVU ZOTE kitumiwe tena na mafisadi wa CCM kweli???Unataka kusema hata JK naye anatumiwa na CDM???CDM kwa sasa ndicho chama tarajiwa kuchukua uongozi wa nji hii.Full stop! Seems that you don't what you're talking. You may wish to review your statements before you spat your rubbish.
No body will be convinced by your garbages!