Nape ni mwanzilishi wa CCJ

Nape ni mwanzilishi wa CCJ

Huyu kijana si Muungwana hata kidogo, alitakiwa atangaze kujitoa tujue, then arudi, haya yote
yasingekuwa issue.

Undumilakuwili unamtokea puani sasa
 
Watasota sana mchangani mpaka makalio yaote sugu lakini kamwe hawawezi kusaidia kitu kwani LA KUVUNDA HALINA UBANI.
 
Kuna tetesi kwamba Mheshimiwa Nape amepigwa stop kuzungumzia mtu mmojamoja (personal attach) katika mikutano yake. Hii imekuja baada ya Mpendazoe kumuumbua Nape kuwa ni mwanzilishi wa CCJ.

Taarifa zinasema, vigogo wengine wanne waliohusika kuanzisha CCJ wamemtaka Nape asiendelee kuwachokonoa viongozi wa CDM, lasivyo wanaweza kuumbuliwa na Mpendazoe ambaye ameonyesha muelekeo wa kutaka kuwataja Waheshimiwa hao ambao inasemekana wawili kati yao ni Mawaziri.

Mytake:
Je, Nape atazungumzia nini kwenye mikutano yake ikiwa kote ni moto,Mafisadi moto, Chedema Moto.

na bado,yapo mengi ya kuwaumbua. walisema wanajivua magamba lakini bado hawajafanya hivyo kilichobakia ni sisi kuwavua kwa lazima.
 
"UKINYANG"ANYWA TAULO CHUTAMA MNACHOFANYA JF AIBU.....nimefurahi mnakuja huku pia>>> HAYA ONENI AIBU YENU"

Hayo ni maneno ya Nape Mnauye kwenye facebook.

Hivi Nape anataka tumsifie tu!Nape anaaza kulewa sifa za kijinga wakati kiukweli Nape ni mnafiki mkubwa.

kabisa.
 
Sasa nimeelewa kwa nini fired Makamba alisema "Nape amelaaniwa mbinguni na duniani"
 
JF imefanya nini sasa? Halafu nafikiri huyu ni 'zuzu' wa social media kuwa information inasambaa kwa kasi sana na kwenda mbali kwani hizi forms za social media zimekuwa integrated. Ninaweza kuwa JF halafu nikatuma tweets, au kupeleka info kwenye facebook, au nika- e-mail. Na pia mtu mmoja anaweza kuwa mtumiaji wa form zote za social media.

Pia haelewi kuwa sio JF bali ni watanzania ndio wanaoweka mawazo yao kwenye hizi social media. Sasa huko alikosema JF pia uenda ni wapi? Kwa kifupi hiyo ndio online technologies, platforms and services integration. Na nobody can stop this under the Sun!!!
 
"UKINYANG"ANYWA TAULO CHUTAMA MNACHOFANYA JF AIBU.....nimefurahi mnakuja huku pia>>> HAYA ONENI AIBU YENU"

Hayo ni maneno ya Nape Mnauye kwenye facebook.

Hivi Nape anataka tumsifie tu!Nape anaaza kulewa sifa za kijinga wakati kiukweli Nape ni mnafiki mkubwa.

Mkuu kwanini usimjibu hukohuko, huo ndio unafiki wenyewe!!
 
JF imefanya nini sasa? Halafu nafikiri huyu ni 'zuzu' wa social media kuwa information inasambaa kwa kasi sana na kwenda mbali kwani hizi forms za social media zimekuwa integrated. Ninaweza kuwa JF halafu nikatuma tweets, au kupeleka info kwenye facebook, au nika- e-mail. Na pia mtu mmoja anaweza kuwa mtumiaji wa form zote za social media.

Pia haelewi kuwa sio JF bali ni watanzania ndio wanaoweka mawazo yao kwenye hizi social media. Sasa huko alikosema JF pia uenda ni wapi? Kwa kifupi hiyo ndio online technologies, platforms and services integration. Na nobody can stop this under the Sun!!!

Nape Haelewi maana ya TWANGA KOTEKOTE. Nchi hii imeshachukuliwa na umma, kilichobaki ni kujadiliana nani kati yetu akakae magogoni.
 
Mkuu kwanini usimjibu hukohuko, huo ndio unafiki wenyewe!!

Wewe ndio mnafiki kwa sababu unakurupuka.Hata huko FB nimemjibu na kumwambia ni mnafiki kama wewe.Kuna ubaya gani kuileta habari hiyo hapa?Naloli ugwe uligwa Mbutola!
 
Kuna tetesi kwamba Mheshimiwa Nape amepigwa stop kuzungumzia mtu mmojamoja (personal attach) katika mikutano yake. Hii imekuja baada ya Mpendazoe kumuumbua Nape kuwa ni mwanzilishi wa CCJ.

Taarifa zinasema, vigogo wengine wanne waliohusika kuanzisha CCJ wamemtaka Nape asiendelee kuwachokonoa viongozi wa CDM, lasivyo wanaweza kuumbuliwa na Mpendazoe ambaye ameonyesha muelekeo wa kutaka kuwataja Waheshimiwa hao ambao inasemekana wawili kati yao ni Mawaziri.

Mytake:
Je, Nape atazungumzia nini kwenye mikutano yake ikiwa kote ni moto,Mafisadi moto, Chedema Moto.

mwongo libaba. ccm wanafurahia vibao vya nape kuwanyamazisha chadema.

ajenda ya chadema ni ufisadi tu. wao pia mafisadi wa kununua magari mitumba na slaa kulipwa mamilioni. ngoma draw. ajenda ufisadi imekufa mitaani
 
Ccm ipo uchi wa mnyama hapo baadaye itakuwa uchi wa binadamu kabisa!,,.........tutajua mengi sana na nchi hii bila viongozi wanafiki kuondolewa hatutafika kamwe.................yaani nape anatetea kitu anachojua ni kibaya kutoka rohoni mwake?...........tutakuja kupata lini mzalendo nchi hii?
 
- Halafu Mwenyekiti anawadai Chadema Shillingi Millioni 188 zingine za awali, malori Shillingi millioni 468, vipaza sauti Shillingi Millioni 222, jumla 468 + 188 + 222 = Millioni 878

- Halafu kamati kuu ya Chadema ambayo yeye mwenyewe ni Mkuu wake, imethibitisha alipwe hizo hela na chama, ukistaajabu ya CCM utaona ya Chadema, thaanks Nape tusingeyajua haya!

Es!

Huu ndiyo ufisadi kwa mtazamo wako? watanzania wanaweza kudanganyika kwa hesabu zako hizi za kuunganisha? hapa ndipo mnapokosea mnapojibu hoja za CHADEMA juu ya ufisadi.

Issue ya Nape si ya kubeza hata kidogo, kwa mtu makini na mwenye akili timamu ataelewa kwamba NAPE alifanya UHAIN ndani ya CHAMA chake, CCM has got more homework to do, Nape ni gamba jipya.
 
Siku moja baada ya kamanda Mpendazoe kugongesha yai kwenye shoka! Yule kijana hamnazo aka VuVuzeLa amesema ikithibitika atawajibika,hayo yapo ktk mahojiano na Grace Michael wa gazeti la Majira!

Sijui anataka ukweli gani huyu?
 
Ishu si kupeleka siri tu, bali aanze kwa kukubali mbele ya umma wa chama chake kuwa alikuwa mwanzilishi na Mwandamizi wa CCJ.
LAKINI PIA AWEKE WAZI KUWA IKITHIBITIKA ATAWAJIBIKA VIPI!...kuwajibika kwingi bana!
 
Atazeeka haraka sana nape namuonea huruma kwani kabebeshwa mzigo mzito sana wa kupambana na ngvu ya umma ambao waliopiata wameishindwa......kaaaazi kwelikweli ccm,,,,,,,ccm walishakosa dira tangu zamani na ndiyo maana wale waliokuwa tayari kusema ukweli walisema hivyo bila kuogopa na walichukuliwa hatua sio hawa akina nape walevi wa ufisadi
 
kuwajibika anamaanisha kuachia ngazi za madaraka aliyo nayo yote a ndani ya ccm tu?
 
Back
Top Bottom