Nape ni mwanzilishi wa CCJ

Nape ni mwanzilishi wa CCJ

Shalom

Kwa maelezo yako inaonesha unajambo fulani muhimu ila kama ulivyosema time will tell, unaweza kufafanua kwenye bold maana Mpendazoe kasema walikuwa sita sasa hapa wewe umesema wamebaki 4 ina maana 1. Mpendazoe 2. Nape 3.Tingatinga ......4?.....5?......6?

Tinga tinga hakuwepo ndugu yangu huyo futa kabisa. Ukitoa hao wawili, kuna fully waziri mmoja na Naibu mwingine. mmoja hata ubunge hakupata na mwingine alisharudi kwa EL long time sasa ni mpiga debe wake.

Tinga tinga hana ubavu huo. hao wote walikuwa na nia ya kuukimbia ufisadi wakati tinga tinga yeye ni fisadi. Kali kuliko yote ni huyo ring leader aliye fyata ilikuwa ni siku ya majonzi sana Tanzania na Mbinguni pale mtu anayeonekana ni shujaa kumbe ni kunguru kabisa na akapoteza channel zote.

Hii move ilikuwa inaeleweka na chadema pia
 
Uzuri anakimbilia KUJIBU Facebook, ambako anajua anawaokota watoto wa Primary na Seco naMasharobaro ambao hawana Jeuri ya kuleta pua JF in any way!
Aje hapa aandike kitu aone jinsi atapata masinki!
Poor Vuvuzela Him!...
 
There is nothing worthy torturing any body's mind. What is a big deal about forming a political party? This is not treasonable.
Mbopo

Uwe na subra habari njema zinakuja soon CDM huwa haikurupuki inatoa dozi kulingana na mahitaji ya mgonjwa Nape alihitaji vidonge akapewa hujiulizi kwanini wagonjwa wengine kama EL hawapewi vidonge unafikiri hawaumwi au unafikiri CDM hawana dozi yake tulia kijana mambo mazuri hayahitaji haraka.
 
JF inaonekana ni mwiba mkali sana kwa watawala wetu. Wakumbuke kuwa Michuzi, FaceBook na utitiri wa hizo cheap blogs sio forums. Big up wanajamvi wooote
 
Tinga tinga hakuwepo ndugu yangu huyo futa kabisa. Ukitoa hao wawili, kuna fully waziri mmoja na Naibu mwingine. mmoja hata ubunge hakupata na mwingine alisharudi kwa EL long time sasa ni mpiga debe wake.

Tinga tinga hana ubavu huo. hao wote walikuwa na nia ya kuukimbia ufisadi wakati tinga tinga yeye ni fisadi. Kali kuliko yote ni huyo ring leader aliye fyata ilikuwa ni siku ya majonzi sana Tanzania na Mbinguni pale mtu anayeonekana ni shujaa kumbe ni kunguru kabisa na akapoteza channel zote.

Hii move ilikuwa inaeleweka na chadema pia
Thanx a million, nilifikiri na Tingatinga yumo but hii trick ya CDM kutoa nusu nusu nimeipenda inawakata mdomo wote ila huyu dogo tulimwambia CDM sasa ni gari kubwa asidandie kwa mbele akabisha.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Huyu Nnape alikuwa anatoa siri za Chama cha Magamba (CCM), kwenda kwenye CCJ, sasa hivi anadai kwamba anakitetea CCM, si unafiki huo wandugu? Mimi namshauri Nnape aachie watu wengine majukwa, akafanye kazi ya u-DC, nafikiri hiyo ataifanya vizuri zaidi kuliko kujaribu kuvuruga hoja za msingi dhidi ya chama chake!
 
Nape kwa msaada tu punguza hilo tambi na huo muda wa kupiga kelele FB kafanye mazoezi kwa afya yako maana utakufa siku si zako kwa presha
ovyooo!!!:biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1:
 
Ha ha haa!malalamiko typical ya malaria sugu.Kwanini akalalamikie huko facebook na wakati hajafungiwa JF?
 
Jamaa anatapata nadhani hizo nguvu zake angetumia kupambana na mafisadi
 
Nimepita huko facebook ni kweli analalamika na Mimi nimchana mbaya na nimemuagiza aje ajibu huku JF na sio facebook.Huwezi kuamini ni ngumu kumlinganisha maneno anayoandika kule na uongozi aliopewa,nimeamini ccm wote vilaza kwa kufikiri ni 0
 
Mwenzake Violet Mzindakaya anakoma, kila akianzisha status ya kimagamba fb wananchi wanaruka nae huko huko, Bado huyu mnafiki Nape! Mi nilikuwa namfagilia lakini sasa hivi SILIPENDI kabisa
 
kama amelalamikia facebook,si mngekwenda ku comment hukohuko facebook?kwanini na nyie mmeyaleta hapa jf?
 
Nape kwa msaada tu punguza hilo tambi na huo muda wa kupiga kelele FB kafanye mazoezi kwa afya yako maana utakufa siku si zako kwa presha
ovyooo!!!:biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1:

Kitambi ndiyo utambulisho wa sisiem. Wewe hujui? Uliona Tambwo Hizo alivyo-change baada ya kuhamia sisiem kutoka kafu.
 
Kama mtoto.... hana hoja ndio maana analalamika FB abembelezwe na wanaofanana nae!!!
 
Thanx a million, nilifikiri na Tingatinga yumo but hii trick ya CDM kutoa nusu nusu nimeipenda inawakata mdomo wote ila huyu dogo tulimwambia CDM sasa ni gari kubwa asidandie kwa mbele akabisha.

Hata mimi nimeipenda mkuu, Ukiangalia hii tthread nyuma utaona niligusia hiki kitu na sikujua kuwa mpendazoe ameshefyatuka. Nape ni mtu asiye makini kabisa kwa sababu ameacha fingerprint kila sehemu. Asingekuja kwa kasi CDM wasingemaliza kwani alikuwa afanye kazi moj akubwa sana kwa CDM kwa kutengeneza makundi CCM. lakini siasa ndiyo ilivyo hili limekuja pre mature sana na ndiyo maana hawataki kumaliza kila kitu. Amini usiamini CDM wana details nyingi sana na zingine alileta huyo huyo nape. Nape kama sio papala na urimbukeni wake angefanya kazi nzuri sana kwa chadema, kazi yao ingekuwa ni ku pick prey tu na kuioka. Any way inabidi ipatikane strategy ya kumrudisha kwenye line yake ya mwanzo. All in all kisiasa amekwisha kabisa ila ni kumrudisha kiaina tu. si ajabu tukaanza kumtetea hapa kama akionekana kama anaweza kuendeleza kazi lakini future yake kwishney
 
Nape ni vuvuzela alifikiri atawapata vijana kashindwa kupambana na mapacha watatu,analaana ya wazazi wake
 
- Saafi sana, mkuu hii ndio JF wewe weka hoja na sio siri uko juu sana kwa hoja so! weka hoja mkuu kuna tunaozikubali maana zimeshiba sana hoja zako!

Es!

we jamaa una uhakika huyo unayemsifu anato hoja zenye mashiko? au kaandika ulichotaka kusoma ndo maana unamsifu nyie wagalatia vipi mbona hamueleweki?
 
Back
Top Bottom