Nape ni mwanzilishi wa CCJ

Nape ni mwanzilishi wa CCJ

km vp na nyie iphotoshop ya Dr. Slaa mseme anataka kurudi cha magamba

Uki analyse hiyo picha kwa Discrete Cosine Transform algorithm na baadae ukazicheki pixel zake kwa kufanya kinyume Quantizer unaona zote wamezi photoshop. Hapo hakuna ubishi
 
Dah jamaa kweli alikuwa na uchu wa madaraka
Baba njaa mbaya, hata angeambiwa aue mtu ili atoke angefanya hivyo kwa sababu ya njaa. Leo kaambiwa watukane CDM anafanya hivyo kwa sababu ya njaa, amekuja na propaganda kali kumbe naye ana yake. Nape jibu tukuone kama kweli wewe ni mkweli au Mpendazoe?
 
Uki analyse hiyo picha kwa Discrete Cosine Transform algorithm na baadae ukazicheki pixel zake kwa kufanya kinyume Quantizer unaona zote wamezi photoshop. Hapo hakuna ubishi
Then unataka kutuambia nini kuwa hakuwahi kuwa CCJ maana ndilo la msingi mengine sijui picha nguo hayana maana.
 
Hii ni suppoprting evidence,hata kama tukikubali kwamba picha ni photoshopped lakini si Mpendazoe kasema walikuwa wote?na baadhi ya vikao vilifanywa kwa siri ili wasishtukiwe na TISS

Majibu ya NN mwenyewe yalionyesha huenda alikuwepo kwenye harakati maana jamaa alinywea kabisa alipotupiwa swala la yeye kuhusishwa na CCJ,akawa anaongea habari ya chadema wakati yeye anaulizwa CCJ

Kwa nini iwe ishu NN kuhusishwa na CCJ? Kwangu mimi ni kwa sababu anaonekana kuwa anaitetea ccm kwa dhati na hana itikadi tofauti nao,jambo hili la kuwepo ktk harakati za CCJ linamweka kwenye kundi la siasa za kuganga njaa au umamluki
Siasa kama hizi zinatugharimu sana watanzania
 
Wakuu,

Niliiona thread moja inayoelezea kuhusu uvuvuzela wa Nape humu jamvini. Niliiacha kiporo nije kuisoma vizuri baadaye lakini naitafuta siioni. Kulikoni? Au ndiyo tunahakikishiwa kuwa nyoka kujivua gamba sio kuondoa sumu? Tafadhalini mods, this is one place where we dare to speak openly! Tunaomba muirudishe.
My Take:
Kama mwenyewe Nape hakanushi basi atakuwa ni hatari kwa chama chake kauli yake ya 'PAMOJA NA HAYO' inadhihilisha amebanwa kwenye kona.


 
Then unataka kutuambia nini kuwa hakuwahi kuwa CCJ maana ndilo la msingi mengine sijui picha nguo hayana maana.

Sijui, lakini kulingana na maelezo yake naona alikuwepo kama mamuluki wa ccm ili kubaini wanaojiunga na ccj na kukiua kabisa. Maana amempa homework Mpendazoe akajiulize ni kwa jinsi ipi chama hicho kilikufa.
 
Nape akae kimya tu, yakianikwa hapa na vi note vyake pamoja na mfadhili wake (IPP) basi ataumbuka sana. Kaingizwa mtegeno na obsession yake ya kutaka ku revenge kwa EL. Kila siku wanaswahili wanasema "hasira hasira" au wanjanja kabisa wanasema "hasira ni za Bwana"

Kumbuka kuwa mafisadi huwa wanakodi mpaka ma consultant kuwa kuwatengenezea njia. usije shangaa kuona kuwa huu ulikuwa ni mpango mzima. Kwa sababu doc kutoka usalama wa taifa ilishawaeleza wote hata nape kuwa ni mwanzilishi wa CCJ. Inakuwaje sasa anapewa vyeo kama sio process ya kuwatoa nje wote sita na wakawa hawana pa kukimbilia.

Halafu inaonekana nape IQ ni kama ya @NYC kwa sababu kama alitaka kucheza siasa huwezi kwenda kichwa kichwa namna hiyo. Lazima uwe mtu wa kutest hata meseji zako kabla hujaingia kichwa kichwa na hapa jf ni free area ya kufanya hivyo. Sasa hawa wanajifanya kujua sana na siasa hawaziwezi. Angalia mchezo wa CDM na kutaja tinga tinga ilikuwa ni move kali sana sasa yeye na mke wake fyatu. Bado hao vigogo wanne waliobaki + na huyo mfadhili wao.

Duniani watu wa kuchukiwa ni ndumila kuwili, kuna afadhali hao mafisadi kuliko hawa kwani fisadi ukimkuta kwenye kumi na nane humwachi!
 
Mambo yanapamba moto. Huku nape amepigwa tatu bila na cdm
 
Sijui, lakini kulingana na maelezo yake naona alikuwepo kama mamuluki wa ccm ili kubaini wanaojiunga na ccj na kukiua kabisa. Maana amempa homework Mpendazoe akajiulize ni kwa jinsi ipi chama hicho kilikufa.

Kilikufa kwa sababu mbili kubwa

1. kigogo aliyekuwa ni kiongozi wa hicho kikundi alifyata mkia na kumbuka alikuja kufyata tena mara ya pili baada ya uchaguzi. Huyu alikuwa ni mtu muhimu sana fedha zota zilizochangwa alikuwa nazio yeye ana believe me aliingia nazo mtini kufanyia kampeni ya ubunge.

2. Nape allipopata nakala ya watu wa usalama ambayo kigogo huyo aliitoa ikabidi na mkia wake upotee kabisa. of course copy zipo only time will tell
 
Kilikufa kwa sababu mbili kubwa

1. kigogo aliyekuwa ni kiongozi wa hicho kikundi alifyata mkia na kumbuka alikuja kufyata tena mara ya pili baada ya uchaguzi. Huyu alikuwa ni mtu muhimu sana fedha zota zilizochangwa alikuwa nazio yeye ana believe me aliingia nazo mtini kufanyia kampeni ya ubunge.

2. Nape allipopata nakala ya watu wa usalama ambayo kigogo huyo aliitoa ikabidi na mkia wake upotee kabisa. of course copy zipo only time will tell

Mkuu,
Mie sina detail , lakini hao usalama wa taifa wana report kwa nani, mbona rais ameendelea kumpa shavu
 
Nape akae kimya tu, yakianikwa hapa na vi note vyake pamoja na mfadhili wake (IPP) basi ataumbuka sana. Kaingizwa mtegeno na obsession yake ya kutaka ku revenge kwa EL. Kila siku wanaswahili wanasema "hasira hasira" au wanjanja kabisa wanasema "hasira ni za Bwana"

Kumbuka kuwa mafisadi huwa wanakodi mpaka ma consultant kuwa kuwatengenezea njia. usije shangaa kuona kuwa huu ulikuwa ni mpango mzima. Kwa sababu doc kutoka usalama wa taifa ilishawaeleza wote hata nape kuwa ni mwanzilishi wa CCJ. Inakuwaje sasa anapewa vyeo kama sio process ya kuwatoa nje wote sita na wakawa hawana pa kukimbilia.

Halafu inaonekana nape IQ ni kama ya @NYC kwa sababu kama alitaka kucheza siasa huwezi kwenda kichwa kichwa namna hiyo. Lazima uwe mtu wa kutest hata meseji zako kabla hujaingia kichwa kichwa na hapa jf ni free area ya kufanya hivyo. Sasa hawa wanajifanya kujua sana na siasa hawaziwezi. Angalia mchezo wa CDM na kutaja tinga tinga ilikuwa ni move kali sana sasa yeye na mke wake fyatu. Bado hao vigogo wanne waliobaki + na huyo mfadhili wao.

Duniani watu wa kuchukiwa ni ndumila kuwili, kuna afadhali hao mafisadi kuliko hawa kwani fisadi ukimkuta kwenye kumi na nane humwachi!
Shalom

Kwa maelezo yako inaonesha unajambo fulani muhimu ila kama ulivyosema time will tell, unaweza kufafanua kwenye bold maana Mpendazoe kasema walikuwa sita sasa hapa wewe umesema wamebaki 4 ina maana 1. Mpendazoe 2. Nape 3.Tingatinga ......4?.....5?......6?
 
nape nashindwa kutofautisha kujiingiza katika malumbano na kujibu hoja, kumbe mnafki tu, mpendazoe tunaomba utupe zaid unafki wa huyu jamaa. kama vp Nape arudi CCJ kwa kukiombea usajili upya mbona Tendwa hana tabu atawapa usajili tu
 
- I mean ni Demokrasia at work, tatizo ni kama Mpendazoe kwa kujitoa CCM na kuingia Chadema amevunja sheria ya jamhuri au mnafiki, none ishu kama chama changu naona kinakosa mwelekeo ninayo haki ya kutumia kila njia za kisiasa kutafuta attention ya kusikilizwa na chama changu, kwani CCM haijui waliotaka kuanzisha CCJ?

- National politics ndivyo zinavyochezwa, CCM waliwajua sana wale wote walioshiriki CCJ, lakini inafanyika tathmin ya chama ya kisiasa, kuona umuhimu wao wakiachiwa watoke, chama kinaona haikwezi kua-afford, kwa hiyo wanaitwa na kuulizwa tatizo lao wanasema na sometimes wanapewa nafasi katika chama kurekebisha waanayoona hayafai, that is how national politics is played, Mpendazoe was not a threat to CCM wakamruhusu aondoke na wengine wote walioruhusiwa kuondoka, it has nothing to do na unafiki it is simply how national politics are played!


Es!

kwa hiyo kwa huu ufunuo bado mpendazoe bado si tishio?
 

Nape Nnauye
aaahh CHANDIMU na JF yao wamechanganyikiwa mpaka wanatengeneza picha kujaribu kuhalalisha uongo...... shame on you!!! dawa ya deni kulipa

Mike McKee Daaah!! 18 minutes ago · LikeUnlike

Patrick Patsung Tunahitaji majibu yako katika hilo la CCJ mh Katibu wa Itikadi na uenezi.

James Rock Mwakibinga Kaka Nape we acha 2 ,sijui 2wafanyeje..mdogo wako hpa


Mabrouck Rajabu wasikushuhulishe wote tunawajua hao 14 minutes ago


James Rock Mwakibinga Vijana tupewe vipaumbele katika Wilaya,kata,Matawi,mpaka Mkoa kaka watu wanakiua chama huku Kawe makatibu kata 14 minutes ago ·


James Rock Mwakibinga ALAMA ZA NYAKAT KWA VIJANA NI CHACHU YA MAENDELEO KWA TAIFA LETU,m.H katibu 13 minutes ago ·


Evans Ngolly Nakushauri achana na JF itakusumbua sana 13 minutes ago ·


Salim Al-khasas Jr Evans umeongea. . Kama utasimama kumtupia jiwe kila mbwa anayebweka kutakucha hujafika safari yako 11 minutes ago · LikeUnlike



WANAMSHAURI ASIFUATILIE JF ina Maana ni Mwanachama hapa...
 
hii picha ni kama ile ya Dr salim na mwananchi haiwezekani alihojiwa halafu habari isivuje aliyetengeneza mod mlambe ban

Kama ulikuwepo akilini mwangu. Habari hii ilifichwaje wakati waandishi waliijua na hawakuiripoti na ije itoke leo baada ya mwaka mmoja na ushee?
 
Wengine watakaotajwa na Mpendazoe hivi karibuni (kama siyo kesho) ni samuel Sitta, Harrison Mwakyembe, na Makonda wa mmkoa wa Kilimanjaro UVCCM.

Nadhani pia kuna Selelii. Tusubiri maana hawa CDM wanajua namna ya kutoa habari kwa njia ya piece-meal -- kuwatesa kisaikolojia hayo magamba yaliyokubuhu.

There is nothing worthy torturing any body's mind. What is a big deal about forming a political party? This is not treasonable.
 
mambo ya JF hayajibiwi FB...pls bro calm down na uje humu upangue hoja kwa hoja...picha isiwe issue...yale maneno ya mpendazoe tunahitaji kusikia side B ili tubalance story
 
Strategy ya CCM ya kuanza kupambana na vitu kama JF au kujiingiza kwenye mitandao mingine ya kijamii bila maandalizi kuitaiharibia sana CCM pamoja na watetezi wake. Wangefanya maandalizi kwanza manake hoja za CCM zinazotolewa hivi sasa kwenye mitandao zinakosa DIRA. Hii JF ilianza zamani na imekomaa sasa kutaka kupambana nayo bila maandalizi mwisho wa huyo mpambanaji unaweza kuwa mbaya mno.
 
Back
Top Bottom