Nape, Mawaziri kufunika Kigoma

Nape, Mawaziri kufunika Kigoma

Mbona una kimbelembele kuwasemea watu wa Kigoma?au unawashwa?

Magamba,wamesaini kuwa mifuko yote ya pensheni ya umma,isitoe mafao kwa wafanyakazi mpaka mtumishi atakapofikisha umri wa miaka 55, wa kustaafu kwa hiari ,au 60 kwa lazima, nanukuu kutoka SSRA,sasa hela za kodi wanazotukata kwenye mishahara haziwatoshi ,mpaka wachukukue na NSSF,zetu?
 
Utawadanganya wachache mkuu, na wale uliowaandaa ndio watakuunga mkono. Toka lini binadamu akala matapishi yake?
 
ndugu huelewi kuwa halmashauri inaongozwa na chadema? nimekwambia kuwa watu wengi wanachukizwa na ukabila na udini wa chadema ndio maana wana amua kuhama chama hicho, wengi wanatoa sababu hizo.
Acha uzabi zabina wewe, Njombe na kigoma wapi na wapi? Wewe tunakujua uko njombe leo unadai upo kigona?! Shnzy taip
 
imekuwa ndio mazungumzo katika kila kona na vijiwe, wengi wao wamesema tumechoka na hiki chama cha cdm kwa ubaguzi wanaoufanya kwa zitto kabwe kwa kuwa tu katangaza nia yake ya kugombea urais anakuwa anapigwa vita na watu wa kaskazini, wanasema kigoma ilikuwa ngome ya chadema lakini sasa tumechoka na chama, tunaamua kurudi CCM kwanza wametekeleza kwa 90% yale yote waliyoahidi kwa mkoa wetu, hatuoni sababu ya kuendelea tena kukikumbatia chama kina choendesha endesha siasa zake kwa kutumia udini na ukabila!!! tunarejea kwa mama. walisema wakazi hao wa ujiji.
ukitaka kujua mdini Kama mkigoma hizi ndio hoja zao 1. Ukimwambia serikali ya sasa ni tofauti na ya awamu ya 1,2 na 3.Atakwambia kivipi wakati Jk kachukua nchi haina shule nyingi,wahitimu shule za juu sasa large in number..Ukimwamibi
 
Mkigoma acha unafiki wewe,wana Jf mimi nipo hapa Kigoma town kwanza niseme jana gari la matangazo la ccm lilitaka kupigwa mawe maeneo ya Mgatutu bahati nzuri dereva wenu alikimbia sana sababu kubwa watu walikasirishwa na nyimbo za hovyo zilizokua zikiimbwa na Komba wa Matangazo(Mbunge)leo hii unataka kuwadanganya watu ati watu wanaipenda ccm wakati Serukamba ameshindwa kupabotesha hapa Kigoma eg kero ya maji,barabara za ndani,kodi wanatozwa juu hawa wamama wa watu,hakika Kigoma town ccm wamechokwa kweli wananchi wanasema uchakachuaji wao ndio uliomfanya Serukamba awe hapa lakn hakika si Chaguo lao na wanasema 2015 ni mbali sana maana wamewachoka hawa ccm sasa wewe Mkigoma unataka kudanganya watu hapa? acha uongo huku ukidai umefunga hyo ndio hali halisi ya Kigoma CCM haikubaliki sema wizi wa kura ndio umewaweka hapo
Laurence.
 
imekuwa ndio mazungumzo katika kila kona na vijiwe, wengi wao wamesema tumechoka na hiki chama cha cdm kwa ubaguzi wanaoufanya kwa zitto kabwe kwa kuwa tu katangaza nia yake ya kugombea urais anakuwa anapigwa vita na watu wa kaskazini, wanasema kigoma ilikuwa ngome ya chadema lakini sasa tumechoka na chama, tunaamua kurudi CCM kwanza wametekeleza kwa 90% yale yote waliyoahidi kwa mkoa wetu, hatuoni sababu ya kuendelea tena kukikumbatia chama kina choendesha endesha siasa zake kwa kutumia udini na ukabila!!! tunarejea kwa mama. walisema wakazi hao wa ujiji.


Hizi ndizo siasa za bongo bwana,kwasababu tukipanda majukwaani tunafunua biblia na kuanza kusoma mistari siyo?na kuanza kuongea kilugha hii vita ya udini na ukabila mmeianzisha wenyewe na itawamaliza,kuhusu swala la urais hata zitto anajua mda bado n ukifika taratibu zq chama zitafatwa siyo mkurupukaji kama wewe na hao unaosema wakigoma mnavyodhani.mwisho wakumbushe kuchangia maoni yao kuhusu katiba mpya hasa kipengele cha umri kama wanamtaka kamanda zitto achukue nchi 2015
 
Wananchi wameshaamua kwamba hawadanganyiki tena na CCM.
 
imekuwa ndio mazungumzo katika kila kona na vijiwe, wengi wao wamesema tumechoka na hiki chama cha cdm kwa ubaguzi wanaoufanya kwa zitto kabwe kwa kuwa tu katangaza nia yake ya kugombea urais anakuwa anapigwa vita na watu wa kaskazini, wanasema kigoma ilikuwa ngome ya chadema lakini sasa tumechoka na chama, tunaamua kurudi CCM kwanza wametekeleza kwa 90% yale yote waliyoahidi kwa mkoa wetu, hatuoni sababu ya kuendelea tena kukikumbatia chama kina choendesha endesha siasa zake kwa kutumia udini na ukabila!!! tunarejea kwa mama. walisema wakazi hao wa ujiji.
Kadi bandia zimeisha chapishwa CCM wanatayari mazingira ya kuhalalisha hilo mbona hawasubiri zirudishwe na watuonyeshe ndiyo waseme!?
 
Mkigoma hapo usha haribu jipange kwnza ndo uje kutudanganya tena, CDM oyeeeeee!
 
Aibu waloipata Sumbawanga hawajakoma, wameamua kwenda kwenye mkoa uliochoshwa kabisa na nyinyiem kuliko mikoa yote Tanzania, mkipigwa mayai viza huko msisingizie chama dume Chadema.

Kaka nafikiri kilichotokea Mpanda siku moja baada ya Sumbawanga, ni zaidi ya aibu....watu walianza kuondoka nusu saa baada ya mkutano kuanza....hakukuwa na lolote zaidi ya propaganda za Nape na Mwigulu kuanza kuporomosha matusi kwa viongozi wa CDM....Nguoja tusubiri ya KG...sijui kwa nini wanaiga Mbinu za CHADEMA japo hawaziwezi naoni ccm imekuwa chama pinzani kabla ya muda wake kufika....tusibiri updatesss......!!!!
 
njooni huku tuwakadhi hizi kadi za chadema muwapelekee huko moshi, tumekichoka chama hiki kwa ukabila na udini.


Shame on you....umeona hata aibu kutaja n wapi ulipo..."HUKU" ndio eneo gani la dunia hii...!!!!???? Usizirudishe Moshi...tuletee hata hapa Mpanda tumeishiwa kabisa kadi za CHADEMA....na watu wanazitafuta kama almasi....tuletee mtu wangu....!!!
 
Kigoma inavamiwa na genge la wahuni, walaghai na mafisadi.
 
ndugu huelewi kuwa halmashauri inaongozwa na chadema? nimekwambia kuwa watu wengi wanachukizwa na ukabila na udini wa chadema ndio maana wana amua kuhama chama hicho, wengi wanatoa sababu hizo.
kwa hiyo kilicho kuamisha cuf ni ukabila na udini?
Mbona unaanza ku urgue kama mwingulu?
 
kazi ya handcachif inajulikana na ya tolet paper inajulikana,sasa ukiona handcachif inafanya kazi iliyokuwa ifanywe na toiletpaper jua kuna smething wrong.
 
nimekwambia mimi nipo hapa nyumbani ujiji kigoma nawasikia wanaongea, mimi nilichofanya ni kuripoti kosa langu ni lipi? mpaka unitukane? mwezi wa mfungo huu.

Kaka hiyo post yako imeonyesha saa kumi na mbili na dk 26 ina maana hapo kigoma watu awajalala wanazungumzia kurudisha kadi za chadema usiku kucha? kweli wana kigoma mnaipenda ccm vp jk alisema anataka kuigeuza kama dubai hivi kumeshafikia hata kuwa kama dsm ndugu yangu? haya ndo mambo ya kujadili yale ya kugeuza kigoma kuwa dubai sio watu wameichoka cdm mtani wangu muongo wewe.
 
ndugu huelewi kuwa halmashauri inaongozwa na chadema? nimekwambia kuwa watu wengi wanachukizwa na ukabila na udini wa chadema ndio maana wana amua kuhama chama hicho, wengi wanatoa sababu hizo.
mkutano haujafanyika ndio kwanza unatarajiwa kufanyika leo jioni lakini umesha jua watakao rudisha kadi ni cdm!! ikitokea wakarudisha kadi wengi ni NCCR itakuwaje? au wengi wakawa CUF? unajua siku hizi watu wanadhani kuwa kwenye siasa hakuna kufikiri hii siyo kweli.kwa kila jambo tanguliza kutumia akili,hekima na busara.
 
Ni kweli leo wanaccm watarudisha kadi za chadema walizopewa na Nape
 
ukitaka kujua mdini Kama mkigoma hizi ndio hoja zao 1. Ukimwambia serikali ya sasa ni tofauti na ya awamu ya 1,2 na 3.Atakwambia kivipi wakati Jk kachukua nchi haina shule nyingi,wahitimu shule za juu sasa large in number..Ukimwamibi
Hebu malizia kwanza sentensi yako..
 
nipo kgoma...akuna k2 kama hicho, vjsent vya nape ninakuwasha pole wee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom