Nape: Kingunge afanye anachotaka

Nape: Kingunge afanye anachotaka

Bora huyu aliyejenga barabara mbovu ila yule aliyetuahidi mvua ya mabomu iko wapi?

Haki ikikosekana vita na machafuko utokea.Makoleo ni mgombea wa mfukoni so maccm lazima yauane.Pombe hafai mkurupukaji Piga Mbizi ukishindwa
 
Nape funga mdomo,Kingunge anajua fitna na siri nyingi za chama.Lowasa anajua wizi mwingi wa chama,wakisema hawa mtaficha wapi sura zenu

Kwani Lowasa sura yake kaificha wapi? :-D eti imebuma ndo useme na huyu niliiba nae....
 
Mwendelezo wa hizi kauli zenu za kibabe Nape na Mzee Kingunge zisipokemewa yaani the Hague naiona ile pale ,sipati picha kesho Mzee Kingunge atamjibu vipi Nape
 
Huyu babu kingunge angekuwa Wa maana asingejihusisha kwenye siasa chafu za makundi ktk umri ule. Wanasema uzee ni hazina ila Wa kingunge ni debetupu.
 
Kwani Mwandosya ni nani kwake?

Huu ndio ukomavu wa kisiasa.kumkata mzazi au rafiki wa karibu kwa maslahi ya kulinda msisimamo wa kisiasa siyo jambo baya.tatizo lake ni kutoa matamko ya chama nje ya vikao vya maamuzi vya chama.nani kamtuma nape kueleza hayo yote nje ya vikao.hata hivyo akumbuke siasa sharti ziheshimu uhuru wa mawazo ya mtu na utashi wake kisiasa.Hakuna sababu ya kumtolea macho mzee kingunge kwa kile anachoona yeye siyo sahihi katika medali za siasa za chama chake.kufanya hivo ni kujifanya kuwa miungu watu ndani ya chama.viongozi wa chama sharti wakubali kukosolewa na kukikosoa chama ili kutoa nafasi ya kujisahihisha na kujipima kwa mawimbi ya kisiasa yanayokizunguka.Kwa mwanamapinduzi.kujikosoa au kukosolewa siyo kitendo cha.kujidhalilisha bali kujisahihisha.tuijenga nyumba kwa dhamira moja bila mpasuko!
 
Hivi ile video clip ta nyerere akimuongelea lowasa umeisikiliza. Mungeisikiliza kwanza
 
katika hali ya kuonyesha mpasuko ni dhahiri ndani ya ccm, jana nape amefunguka kuhusu msimamo na kauli za kingunge na kumwambia afanye anachotaka kufanya.

Nionavyo ubabe huu lazima ccm watavuna walichopanda na wanacho kipalilia. Katika hali isiyo ya kawaida katibu mkuu mstaafu mzee makamba kaibuka na kumzodoa kingunge kwamba anatetea maslahi yàke.

Acha mpambano uendelee.
nani kakwambia cm kuna mpasuko au ndi timu wale mlio tumwa kuichafuwa ccm ktk mitandao acha izo mkubwa mbona tunawatambuwa sana
 
Katika hali ya kuonyesha mpasuko ni dhahiri ndani ya CCM, jana Nape amefunguka kuhusu msimamo na kauli za Kingunge na kumwambia afanye anachotaka kufanya.

Nionavyo ubabe huu lazima CCM watavuna walichopanda na wanacho kipalilia. katika hali isiyo ya kawaida katibu mkuu mstaafu Mzee Makamba kaibuka na kumzodoa Kingunge kwamba anatetea maslahi yàke.

Acha mpambano uendelee.
Nape akiwa Dsm akitoka Ofisini lazima aende kwanza Kwa Membe kisha Kwa mpambe wa membe Jack Gotham mratibu wa Goli la mkononi ambalo lilifeli baada ya wajumbe kumkataa Membe, Kuna Siri nyingi sana hapa juu ya njama za Nape, January Makamba na huyo Jack ambaye ndiye anazihifadhi baadhi ya Pesa za Marehemu Gadafi na huyo huyo ndiye alisuka line zote za kupoteza ushahidi ikiwemo kumpoteza balozi wa Libya ambaye alikuwa na Siri zote za Mali za Gadafi na mapesa yake. Nape alipokea majina 5 toka kamati ya maadili akiwemo makongoro Nyerere na bilal , Nape na wazee wake wakachakachua faster wakayakata hayo majina wakampachika January na Membe kimagumashi wakiamini kutumia Goli la mkononi kumpa Ugombea wa cc Membe lakini wajumbe wakagoma na kuamua kupiga kura za kumkomesha Membe wakampa magufuli Kwa lazima pasipo kujali nini kitatokea mbeleni . Magufuli hakuwa Chaguo Lao la Goli la mkono isipokuwa ilibidi wajipendekeza haraka ili kuficha Aibu ya Chaguo Lao Membe kutupwa kapuni. Hivyo Nape yupo Kwa magufuli kinafiki tu hana upendo wowote kwani hakuwa Chaguo lake.
 
Nape hakuwa akitarajia kuwa magufuli atafika hapo kwani hakuwa Chaguo lake, Nape alikuwa akiamini kuwa Goli la mkono litamfanya Membe aibuke kidedea lakini wajumbe wakamuumbua , sasa kahamia Kwa magufuli kinafiki tu lakini moyoni Hana upendo na magufuli .
 
Sidhani...kama ana chembe ya kuheshimu mtu, si ndiye huyu aliyesema 'wazee wanasubiri kwenda mbele ya haki..!' Nappe kimeo kweli ndani ya chama.

Nape kaleweshwa na mabilion ya Gadafi ambayo amepewa na Membe baada ya kufanikisha Fitna juu ya Lowasa , sasa Nape anajiandaa kuwa mfanyabiashara mkubwa ataachana na Siasa baada ya kugundua kuwa alifanya kosa kubwa kufanya magumashi kwenye mchakato wa mchujo wa watia Nia wa ccm .
 


Huyu Kijana naona mwisho wake ni Oct.2015

Hicho kizee Makamba huwa ni kigeugeu ndiyo maana walikitupa ccm kikaludi kijijini , Wakati wa heka heka za Dodoma yeye alikuwa busy na Vigagula alitumia mda mwingi kuwaloga Wajumbe yaani Kwa kifupi wajumbe wana hasira sana na huyo Mzee baada ya kupata taarifa kuwa alikuwa akiwaroga sana.


Makamba bila haya aibu! Hajui mwanaye naye alikuwa sehemu ya wagombea-kwa hiyo yeye hakuwa na Masilahi binafsi?

Jeuri ya CCM ni uwapo wa vijana na watu wazima wa aina hii alafu watu oyeeeeeeeeeeeeee ! Maisha Bora kwa kila mtanzania.





Hili la viuno haikutosha likaja ;
 
Nape akiwa Dsm akitoka Ofisini lazima aende kwanza Kwa Membe kisha Kwa mpambe wa membe Jack Gotham mratibu wa Goli la mkononi ambalo lilifeli baada ya wajumbe kumkataa Membe, Kuna Siri nyingi sana hapa juu ya njama za Nape, January Makamba na huyo Jack ambaye ndiye anazihifadhi baadhi ya Pesa za Marehemu Gadafi na huyo huyo ndiye alisuka line zote za kupoteza ushahidi ikiwemo kumpoteza balozi wa Libya ambaye alikuwa na Siri zote za Mali za Gadafi na mapesa yake. Nape alipokea majina 5 toka kamati ya maadili akiwemo makongoro Nyerere na bilal , Nape na wazee wake wakachakachua faster wakayakata hayo majina wakampachika January na Membe kimagumashi wakiamini kutumia Goli la mkononi kumpa Ugombea wa cc Membe lakini wajumbe wakagoma na kuamua kupiga kura za kumkomesha Membe wakampa magufuli Kwa lazima pasipo kujali nini kitatokea mbeleni . Magufuli hakuwa Chaguo Lao la Goli la mkono isipokuwa ilibidi wajipendekeza haraka ili kuficha Aibu ya Chaguo Lao Membe kutupwa kapuni. Hivyo Nape yupo Kwa magufuli kinafiki tu hana upendo wowote kwani hakuwa Chaguo lake.
Maongezi ya vijiweni wakati mwingine muwe mnayaweka akiba!
Simpendi Nape , lakin wakati mwingine mnampa umaarufu asiostahili.
 
Hakuna mpasuko. Si mara moja au mbili kumekuwa na mawazo pinganifu na hatukusema mpasuko. Lowassa na Kingunge ni wanachama tu kama wengine if hawajaridhika wanaweza kuhamia vyama vingine au kuanzisha chao

Ni sawa na ushabiki wa mpira tu ukiona tean yako inakuzingua hama na hii ndo maana yake ...na kingunge hata akihama ni sawa sawa na kuchota maji ndoo moja kwenye bahari...nothing will loose
 
Nape shut up...

Kingunge ni mzee wa heshima na mwanzilishi wa KANU, hadi CCM, anajua haki, taratibu na kanuni za CCM kuliko ww mtoto mdogo unanuka maziwa...

Uwe na adabu, Nape hana adabu kabisa, na anatumika vibaya, na wananchi wanamchukia sana, alafu ndio anategemewa na CCM apige kampeni... CCM itaambulia mabua mwaka huu... kifo kiko wazi
 
Back
Top Bottom