kichema
Senior Member
- Mar 31, 2015
- 137
- 39
Kikwetu ukikuta baba yako kalewa yuko uchi unatafuta majani unamfunika funika wasimcheke. Wakimcheka ni sawa na wamekucheka wewe. Ila pombe zikimuisha unamweka kitimoto na kumtolea uvivu.Nidhamu ya nape na makonda hazina tofauti
Nape wape wape vibano ulevi umekwisha ulikwa kule Conventional Center DOM, Sasa hivi waelimishwe CCM yetu wote. Nilisikitika sana mtu mmoja akasema mimi na chama changu, badala yakusema Mimi na chama chetu..
CCM OYEE UKAWA JUU