Fahamu kwamba CCM ni chama kikubwa. Pia elewa kuwa chama si Lowassa wala Kingunge.Hata wakitoka ndani ya chama hawana athari yeyote kwanza hao ni wezi tu. Mzee Kingunge analopoka tu sasa pesa alizopewa na Lowassa zinamsumbua. CCM itaendelea kuwepo daima.
[/QUOTE]
[/QUOTE]