Matatizo ya wana-ccm yatatuliwe na wana-ccm wenyewe. Alichofanya Kingunge ni u-toto, kijifanya haelewi taratibu cha chama ambapo kwa miaka yake yote katika chama aliishi hivyo. Alichofanya ni kupeleka malalamiko kwa wana-ukawa na wengine ambao hawatamsaidia kwa lolote. Hongera sana nape, jibu lako ni sahihi, afanye atakacho. Yeye si hatima ya ccm. Najua wana-ukawa wa kingunge mtazodoa na hili.