Nape: Kingunge afanye anachotaka

Nape: Kingunge afanye anachotaka

Hakuna mpasuko. Si mara moja au mbili kumekuwa na mawazo pinganifu na hatukusema mpasuko. Lowassa na Kingunge ni wanachama tu kama wengine if hawajaridhika wanaweza kuhamia vyama vingine au kuanzisha chao

OK,kama mnalijua hilo mbona mnawaandama kila kukicha?
 
kamati ya maadili na usalama na nape wanapasua chama ,muda wa mabavu na nguvu umepitwa na wakati.kitendo cha kuwakata maponteal kama muhongo,nwandosya na kumpitisha
makamba na membe less potential ni kejeli kwa wananchi.kamati ya maadili iligundua makosa gani kwa hawa mpaka ikaamua kuwakata na kuwanyima haki yao ya kimsingi ya kujadiliwa na kamati kuu na kuchujwa .kwa Mambo haya CCM lazima isambaratike tusubiri muda
 
kamati ya maadili na usalama na nape wanapasua chama ,muda wa mabavu na nguvu umepitwa na wakati.kitendo cha kuwakata maponteal kama muhongo,nwandosya na kumpitisha
makamba na membe less potential ni kejeli kwa wananchi.kamati ya maadili iligundua makosa gani kwa hawa mpaka ikaamua kuwakata na kuwanyima haki yao ya kimsingi ya kujadiliwa na kamati kuu na kuchujwa .kwa Mambo haya CCM lazima isambaratike tusubiri muda

Huyo mmoja angepatikanaje kama si watu kukatwa?
 
Gefu

sasa kikipasuka si ndio furaha yako sasa,kelele za nini,
 
Last edited by a moderator:
Hicho kizee kitunze mdomo, nadhani huyo mzee hata familia itamshinda. Tangu akatae jina lake la dini akaiga wachina, Tazama sasa hivi hao wachina wanaibukia kwenye dini ipi, na majority yao sasa ni dini ipi. Wenzake aliowaiga sasa wanabadilika nae abadilike kwanza. Na awe zaidi mtu wa dini. Msikitini haendi wala kanisani,mti huangukia ulipolegea. Take care.
 
HV hii midomo watanzania au HAWAKUZALIWA NA KUFUNZWA NA MAMA ZAO??

HESHMA GANI HZ KWA WAZEE WETU.

JUKUMU LA WAZEE NI KUONDOA DOSARI NDANI YA CHAMA,

MZEE WETU AMEONA DOSARI ....
***ASIIZUNGUMZE KWA HAPA SIYO SAWA.......

**SHORT AN CLEAR CCM IPO MIFUKONI MWA WACHACHE SANA..../ii
 
kamati ya maadili na usalama na nape wanapasua chama ,muda wa mabavu na nguvu umepitwa na wakati.kitendo cha kuwakata maponteal kama muhongo,nwandosya na kumpitisha
makamba na membe less potential ni kejeli kwa wananchi.kamati ya maadili iligundua makosa gani kwa hawa mpaka ikaamua kuwakata na kuwanyima haki yao ya kimsingi ya kujadiliwa na kamati kuu na kuchujwa .kwa Mambo haya CCM lazima isambaratike tusubiri muda

Afadhali ijifie tupumzike
 
Hicho kizee kitunze mdomo, nadhani huyo mzee hata familia itamshinda. Tangu akatae jina lake la dini akaiga wachina, Tazama sasa hivi hao wachina wanaibukia kwenye dini ipi, na majority yao sasa ni dini ipi. Wenzake aliowaiga sasa wanabadilika nae abadilike kwanza. Na awe zaidi mtu wa dini. Msikitini haendi wala kanisani,mti huangukia ulipolegea. Take care.

Unajionyesha jinsi husipo kuwa na nidhamu na heshima kwa chama chako na wakuu wako,wewe unaonyesha dharau kwa kingunge wakati hata Mwenyekiti wako wa chama anamuogopa?sasa tulia uone jinsi chama chenu kinavyosambaratika na kufutika ndani ya siasa za Tanzania.
 
Huyo babu ni sawa na boti iliyozimika injini katikati ya bahari yenye kina kirefu....
 
sasa kikipasuka si ndio furaha yako sasa,kelele za nini,

Ccm itabakia kuandikwa na gazeti la Uhuru na mzalendo na kusikilizwa na wasikilizaji wake kupitia radio Uhuru tu,
 
Nape na wewe una adabu,kwani mtu akitoa mawazi ambayo ni tofauti na mtazamo wenu ndio umjibu namnahiyo.AAcha na yeye atumie demokrasia yake kama mtanzania.Si msapoti Lowasa but naye anaweza kutoa mtazqmo wake

nape alisha waambia mwenye malalamiko apeleke ktk ngazi husika sasa kingunge bado anapia domo lala hadharani
 
Nape alisha laaniwa zamani aliposema wazee watatangulia kufa kabla ya vijana
CCm bwana!! waogope sana, hasa vijana kama Nape na Makondakta sijui makali.o gani sijui.......kujipendekeza hatari sana. Kigunge na Lowassa leo wanatukanwa, Mzee Warioba nae alitukanwa.....Sijui hii ji CCM ya wapi haina adabu hii......sijui ikalambe ndimu na magadi hii??!!
 
Back
Top Bottom