Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
Hakuna mpasuko. Si mara moja au mbili kumekuwa na mawazo pinganifu na hatukusema mpasuko. Lowassa na Kingunge ni wanachama tu kama wengine if hawajaridhika wanaweza kuhamia vyama vingine au kuanzisha chao
OK,kama mnalijua hilo mbona mnawaandama kila kukicha?