Nape: Kingunge afanye anachotaka

Nape: Kingunge afanye anachotaka

Nape kakata mpaka jina la Mwandosya? Huyu kijana hatariii sana

Aliyekata majina yuko anakula bata majuu..... si mlisikia kuwa kwenye kikao cha CC alitoa karatasi mfuko wa nyuma badala ya kutumia minutes za kamati ya maadili!! With CCM, kanda za kaskazini na Nyanda za juu wasahau kuliongoza hili Taifa. Nafikiri CCM wana siri ambayo hawataki kutueleza Watanzania.
 
Kila mtu ana uhuru wa mawazo yake, nadhani tatzo ni wapi unapoyasemea hayo mawazo yako.
 
Gefu

Wakubwa hawapendi kukosolewa, wanapenda kusifiwa
 
Last edited by a moderator:
Acha wachakachuane wao kwa wao, si wamezoea kunyonga..
 
Kuni zimwagiwe petroli moto uzidi kukolea,na wengine wapate upenyo,wasipoparulana na kutuoana macho watapata nafasi ya kujipanga.
Vita vya panzi furaha ya kunguru.
 
Hvi hiki kiajuza na hilo lilowasa lake kwa nini wasihame chama kama wanaona wameonewa?
 
Wacheni wanaowajua CCM waseme huenda ni kweli anatetea maslahi lakini msisahau siri za genge haramu mwisho huwekwa wazi na wanachama wa genge hilohilo wakati wa hujuma kwa wananchi unaelekea mwisho mzee tuambie yote mnavyopataga ushindi wenu wa kishindo wala usiwahofu haokinakinepi ni kitoto sana kwako
 
Hakuna mpasuko. Si mara moja au mbili kumekuwa na mawazo pinganifu na hatukusema mpasuko. Lowassa na Kingunge ni wanachama tu kama wengine if hawajaridhika wanaweza kuhamia vyama vingine au kuanzisha chao
..........Mawazo yako ni mazuri ila kama ya kitoto vile; kama kila mwenye mawazo pinganifu ahame chama, hili ni wazo duni kabisa!!!!!!!!!
 
Nape ni janga la kitaifa, Kingunge nae anlilia maslahi yake yamekatwa
SINA IMANI NA UKAWA
 
Nidhamu ya nape na makonda hazina tofauti
naona sasa hivi lowassa na kingunge ni kama lulu kwa UKAWA, mwaka huu mtajibeba, Huku lumumba ni mbele kwa mbele. mnashindwa kuongelea mambo ya viongozi wenu wachumia tumbo UKAWA mnakesha na CCM, subiri aibu ya karne october 2015.
 
Nape hana adabu kwa wazee. Hata kama kingunge kakosea sio kuonyesha dharau hivyo.

Babu kashikwa pabaya lazima alalame. Anadai taratibu zilikiukwa. Wakati yeye ndio wa kwanza kuzikiuka kwenda kumfanyia kampeni EL wakati kampeni bado. Yeye anataka CCM iwe kama ile ya zamani. Akisema mkulu basi wote sawa mzee. Aache vijana wachape kazi. Hana pa kusema ila kwenye vyombo vya habari. Kama anajua taratibu si kuna vikao vyao vya chama angeenda kusemea huko.
 
CCM hawafai ninani anafaa kukabiziwa hii nchi? hawa waliomwambia lowasa fisadi pale mwembe yanga na leo wanamwona siyo fisadi tena? baada ya kuona pombe atawachakaza?

napata shida sana kuamini kama kweli kuna viongozi wenye kulilia taifa hili masikini apate haki yake sawa na tajiri.atibiwe sawa na tajiri.
 
CCM hawafai ninani anafaa kukabiziwa hii nchi? hawa waliomwambia lowasa fisadi pale mwembe yanga na leo wanamwona siyo fisadi tena? baada ya kuona pombe atawachakaza?

napata shida sana kuamini kama kweli kuna viongozi wenye kulilia taifa hili masikini apate haki yake sawa na tajiri.atibiwe sawa na tajiri.

Mtazidi kuweweseka sana mwaka huu
 
Back
Top Bottom