Unajionyesha jinsi husipo kuwa na nidhamu na heshima kwa chama chako na wakuu wako,wewe unaonyesha dharau kwa kingunge wakati hata Mwenyekiti wako wa chama anamuogopa?sasa tulia uone jinsi chama chenu kinavyosambaratika na kufutika ndani ya siasa za Tanzania.
Ukweli utakuweka huru, kwenye ukweli weka ukweli. 'Ukweli ni kitu gani' kama ungekuwa sio kipofu ungekubali uone lakini kwa kuwa ni kipofu evil remain.
Nape na wewe una adabu,kwani mtu akitoa mawazi ambayo ni tofauti na mtazamo wenu ndio umjibu namnahiyo.AAcha na yeye atumie demokrasia yake kama mtanzania.Si msapoti Lowasa but naye anaweza kutoa mtazqmo wake
Kwi kwi kwi kwi!
Kweli chadema chama cha matukio.mnashabikia kingunge na Lowassa badala ya kupanga safu za ukawa?
CCm bwana!! waogope sana, hasa vijana kama Nape na Makondakta sijui makali.o gani sijui.......kujipendekeza hatari sana. Kigunge na Lowassa leo wanatukanwa, Mzee Warioba nae alitukanwa.....Sijui hii ji CCM ya wapi haina adabu hii......sijui ikalambe ndimu na magadi hii??!!
Magamba na mawakala wao mwaka huu watakonda sana
Only your head is thatCCM vipande-vipande
2015 ni mwisho wa Magamba CCM..tunawapuputa wote wanakimbilie kwa kubwa la magamba chadema-Mbowe
Btw...mmesahau jezi zenu huku
Katika hali ya kuonyesha mpasuko ni dhahiri ndani ya CCM, jana Nape amefunguka kuhusu msimamo na kauli za Kingunge na kumwambia afanye anachotaka kufanya.