Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 58,033
- 134,278
utapigwa mimba ya wima wewe,kila mda Slaa...Slaana wengine akina Lowassa na Slaa
utapigwa mimba ya wima wewe,kila mda Slaa...Slaana wengine akina Lowassa na Slaa
Kwa ccm nifah kuanzia miaka 50 kwenda mbele ndo ujana unapoanza.. ukiwa na kati ya miaka 30-40 wewe ni chipukizi..
Katika hali ya kuonyesha mpasuko ni dhahiri ndani ya CCM, jana Nape amefunguka kuhusu msimamo na kauli za Kingunge na kumwambia afanye anachotaka kufanya.
Nionavyo ubabe huu lazima CCM watavuna walichopanda na wanacho kipalilia. katika hali isiyo ya kawaida katibu mkuu mstaafu Mzee Makamba kaibuka na kumzodoa Kingunge kwamba anatetea maslahi yàke.
Acha mpambano uendelee.
Khaa!! Jamani mbona kuna vijana wa jana!Dah, nimeshangaa sana eti Magufuli mwenye miaka 56 ni kijana!
Wenzetu hawataki kukubali kua jioni yao imeshafika.
Nape yupo Kwa magufuli kinafiki tu wala hana mzuka naye kwani Chaguo lake la kwanza lilikuwa membe na pili lilikuwa January Makamba .
Nape funga mdomo,Kingunge anajua fitna na siri nyingi za chama.Lowasa anajua wizi mwingi wa chama,wakisema hawa mtaficha wapi sura zenu
Kingunge ndo mganga wa ccm. Ameshasema wasipoyamaliza kwa kumuomba msamaha lowassa, wasahau kushinda
Umbea ungeacha tungeweza kuita binadamu...kingunge kang'ang'ania kwa lowassa kwa ajili ya maslahi