Nape: Kingunge afanye anachotaka

Nape: Kingunge afanye anachotaka

Katika hali ya kuonyesha mpasuko ni dhahiri ndani ya CCM, jana Nape amefunguka kuhusu msimamo na kauli za Kingunge na kumwambia afanye anachotaka kufanya.



Nionavyo ubabe huu lazima CCM watavuna walichopanda na wanacho kipalilia. katika hali isiyo ya kawaida katibu mkuu mstaafu Mzee Makamba kaibuka na kumzodoa Kingunge kwamba anatetea maslahi yàke.

Acha mpambano uendelee.

Kingunge ni mnafiki anamtetea Lowasa maana wamesha pigwa chini . Kwa mara ya kwanza niungane na Nape kwa kusema kama kweli Kingunge anajua CCM yake imevunja katiba yao na kanuni zao basi aende mahakamani akapinge kila kitu CCM waanze upya na kama hawezi basi anatupotezea muda .
 
Mzee Kinvunge haki yake ya kusema haya anayoyasema ilikoma pale alipoonyesha kumuunga mkono mgombea mmoja tu kati ya wengi. Mbona Pinda, Sitta, Mwanosa, Ngeleja nk nk hawana wa kuwasemea. Sie tunajua angepita Lowasa hata kama ingekuwa kama hivi kikao kilivyofanyika, aasingelalamika
 
Nape hana heshima kwa wazee wake hata kama kakosea uyooo mzee lakinii anatakiwaa awe n'a kauli nzurii kwa wazee wake
 
Nasema haya maana Ccm kimeanza kuparanganyika kila kona ya nchi,Na hili haliwezi kuwa jambo jipya kwa watz.Mwalimu nyerere alishasema kabla,Mpinzani wa ccm atatoka ndani ya Ccm.Na ccm ni jidudu kubwa kulikata katikati inahitaji muunganiko wenye nguvu,Na guvu yenyewe imeeanza kuonekana kwa Lowassa kuizika rasmi ccm mwaka huu.
 
CCM na imeguke tu. Tumeichoka sasa na uroho wao wa madaraka bila kutaka kuachia miaka 50. Khaaa!
 
Nasema haya maana Ccm kimeanza kuparanganyika kila kona ya nchi,Na hili haliwezi kuwa jambo jipya kwa watz.Mwalimu nyerere alishasema kabla,Mpinzani wa ccm atatoka ndani ya Ccm.Na ccm ni jidudu kubwa kulikata katikati inahitaji muunganiko wenye nguvu,Na guvu yenyewe imeeanza kuonekana kwa Lowassa kuizika rasmi ccm mwaka huu.
mtahangaika sana na hayo maigizo yenu. lakini Magufuli ndo rais ajaye.
aendelee na yale maigizo yake hata kwa wale wazee wa bagamoyo waliomfuata dodoma nao watangaze kwenda chadema
vipi yule fisadi wako mramba unayemteteaga humu anaendeleaji? naona sasa hivi umehamia kwa fisadi mwengine lowasa.
nashindwa kuelewa dhana nzima ya nyie wanachadema juu ya vita yenu mnayojidai ya ufisadi. kumbe ni illusion.
 
Back
Top Bottom