Nape waheshimu wazee wako.
Katika hali ya kuonyesha mpasuko ni dhahiri ndani ya CCM, jana Nape amefunguka kuhusu msimamo na kauli za Kingunge na kumwambia afanye anachotaka kufanya.
Nionavyo ubabe huu lazima CCM watavuna walichopanda na wanacho kipalilia. katika hali isiyo ya kawaida katibu mkuu mstaafu Mzee Makamba kaibuka na kumzodoa Kingunge kwamba anatetea maslahi yàke.
Acha mpambano uendelee.
wapi nimepoteza heshima ndugu?Tafadhari wewe mtu, kuwa na heshima kidogo. Unataka kuanzisha uzi mpya?
mtahangaika sana na hayo maigizo yenu. lakini Magufuli ndo rais ajaye.Nasema haya maana Ccm kimeanza kuparanganyika kila kona ya nchi,Na hili haliwezi kuwa jambo jipya kwa watz.Mwalimu nyerere alishasema kabla,Mpinzani wa ccm atatoka ndani ya Ccm.Na ccm ni jidudu kubwa kulikata katikati inahitaji muunganiko wenye nguvu,Na guvu yenyewe imeeanza kuonekana kwa Lowassa kuizika rasmi ccm mwaka huu.