Huyu jamaa ndiye tuliambiwa ni kichwa lakini kwa maoni yangu naona ni mtu wa hivyo sana kwa kuthubutu kuudanganya umma wa Watanzania kwamba uchimbaji wa uranium hau na madhara yoyote. Kuna ushahidi wa kutosha kabisa katika nchi nyingi duniani ambako madini hayo yanachimbwa jinsi yalivyoathiri afya za binadamu na mazingira lakini huyu "msomi" wetu anadai kwamba uchimbaji wa madini ya uranium hauna madhara yoyote kwa binadamu!!!!
Huyu jamaa ndiye tuliambiwa kwamba ni "kichwa" anathubutu kuudanganya umma wa Watanzania kwamba uchimbaji wa madini ya Uranium hauna madhara yoyote kwa binadamu. Kuna ushahidi wa kutosha katika nchi nyingi duniani ambako madini hayo ya uranium yanachimbwa jinsi yalivyoathiri binadamu na mazingira, lakini yeye "msomi" wetu anadai kwamba si kweli!!! Anazidi kujishushia hadhi yake ndogo iliyobaki miongoni mwa Watanzania walio wengi.
Muhongo Muongo Mkubwa
dada nsiande nani kakwambia urani(i suppose ndio uranium)tutachimba wenyewe?marekani will do itKama tutatumia teknolojia ya kisasa ya uchimbaji na uhifadhi pia matumizi sahihi ya urani, hakuna madhara
Swali: je tumejipanga sawia ?
Nyie CDM vipi nini jema kwenu aaaahhh mnakera sana mnapinga kila kitu
Nyie CDM vipi nini jema kwenu aaaahhh mnakera sana mnapinga kila kitu
Huyu jamaa ndiye tuliambiwa ni kichwa lakini kwa maoni yangu naona ni mtu wa hivyo sana kwa kuthubutu kuudanganya umma wa Watanzania kwamba uchimbaji wa uranium hau na madhara yoyote. Kuna ushahidi wa kutosha kabisa katika nchi nyingi duniani ambako madini hayo yanachimbwa jinsi yalivyoathiri afya za binadamu na mazingira lakini huyu "msomi" wetu anadai kwamba uchimbaji wa madini ya uranium hauna madhara yoyote kwa binadamu!!!!
Huyu jamaa ndiye tuliambiwa kwamba ni "kichwa" anathubutu kuudanganya umma wa Watanzania kwamba uchimbaji wa madini ya Uranium hauna madhara yoyote kwa binadamu. Kuna ushahidi wa kutosha katika nchi nyingi duniani ambako madini hayo ya uranium yanachimbwa jinsi yalivyoathiri binadamu na mazingira, lakini yeye "msomi" wetu anadai kwamba si kweli!!! Anazidi kujishushia hadhi yake ndogo iliyobaki miongoni mwa Watanzania walio wengi.
Mkuu hiyo hatari ya madhara ya uranium ni hadi inaporutubishwa kwa mchakato wa kisayansi ikichanganywa na vitu vingine, uchimbaji hauna madhara mkuu. Futa kauli yako kwamba kadanganya, kasema ukweli!
.... huku akiwaponda wanaharakati kwa madai kuwa wanapotosha Umma.
Hivi karibuni Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC),kiliitaka ...Alisema utafutaji na uchimbaji wa madini ya urani, siyo kitu kigeni duniani na kwamba Tanzania siyo nchi ya kwanza kuchimba madini hayo.
...kwa nini Tanzania tusichimbe?" .....je, Watanzania tunajua tunachokishabikia?"
Akizungumzia maandalizi ya uchimbaji huo, Profesa Muhongo alisema kuwa kampuni zinazojiandaa kuchimba urani, zimepitia taratibu zote, ikiwa ni pamoja na kupata cheti cha mazingira kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais, Mazingira, taratibu za mionzi na kupata kibali cha tume ya mazingira.
..taratibu zote za kimataifa zitafuatwa ikiwa ni pamoja na kulinda mazingira na kupima kiwango cha mionzi na hatari yake wakati wa uchimbaji. ....
Mwananchi: Kitaifa - Gazeti la habari za kiswahili la kila siku Tanzania, linaongoza
.