Nape, Kadi ya CCJ Ulimrudishia Nani?

Nape, Kadi ya CCJ Ulimrudishia Nani?

Tafadhali mkuu, Niliposema mi ni mtaalamu sikumaanisha kwamba najifunza kama profesa wetu Muhongo au nahitaji internet kuyajuwa haya. Nilikuongoza uangalie uhusiano wa Uranium na gesi ya radon. Naona wewe unanirudisha kwenye mawe yenye traces za uranium. nini kinatokea baada ya kuyabeba mawe hayo? Hapo ndo tunaonyesha tofauti zetu. Hebu jiulize mazingira ya machimbo ya uranium. Kitu ambacho hujakiangalia ni Mtiririko ktk machimbo. Unakuwa hivi; Uranium 238 >>Radium 226 >>Radon 222 (+alpha particle). Radon ni gesi. Unaivuta ikiwa ni 'pure' na wala hutasubiri ku-concentrate uranium ili upate madhala. Ukizubaa tena Radon 222 >>Polonium 218 (+alpha particle). Muulize Muhongo atawaweka wapi wananchi maskini wanaouzunguka mgodi ktk nchi ambayo hata mabomu ya Mbagala na G'ngolamboto hayatunziki. Hatuhitaji mifano ya malawi na kote africa, huenda hawana cha kuuza kingine. Mbona hata dhahabu haileti faida kwetu?
Natural hizi rections zinatokea na huku ardhini kwa hiyo si haba kukuta traces za Radon ,polonium etc kwa miaka yote dunia imekuwepo, so pockets hizo zitakuwepo. Wanasayansi wa mwanzo waliokutana na Uranium kwa mara ya kwanza na mwishowe kuanza fanya tafiri walikuwa cancer. Na kauli za hawa wasomi ni kwamba hakuna ushahidi wa madhara, ila baada ya miaka mingi kuna vitu vingi sana huwa vinakuja gundulika ni shida sana.Hata maziwa yenyewe ya unga yalisemwa kuwa salama sama ila miaka si mingi iliyopita tulishuhudia dunia ilivyokimbizana na vifo vya watoto, na kuna ambiwa kuwa substance inanyotumika ina asili ya plastic na hatari kw aafaya ila wanasema ni kiasi kidogo sana kuweza umiza mwili.Ila kila mtu anajua kila mtu ana kiasi chake kidogo.
 
Alirudisha kwa babu pale kinondoni. Ajabu ya musa cdm kukomalia yasiyo wahusu,kumbe isue ya kadi ya babu imewatatiza sana,ndo siasa.
 
Natafuta chama jamani chama kipi ni ahueni?
 
Back
Top Bottom