TEMILUGODA
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 1,389
- 285
Anzeeshwa na shangingi lile, linamwendesha litakavyo, ndo maana wanaiba pesa za cdm kila kukicha.....uwezo wa kumkuna yule shangingi hana anachofanya sasa ni kumridhisha kwa pesa halafu kuna chalii kitaa anamsaidia kukuna.... Bhana we! Kwanini asizeeke kwa kasi....chezea sukari weweeeeee
Kwa hiyo hayo ndo maneno ya great thinkers toka ccm? Kaaaaaaazi kwelikweli.