Duble Chris
JF-Expert Member
- May 28, 2011
- 3,481
- 564
japo waliongea ni wala rushwa na mafisadi lakini kama kuna uhalisia flani ivi
ni lini chadema wataacha siasa za ukanda??
hii ni fedheha sanaa..
ni siasa za aina gani hizi tena mkuu ??
japo waliongea ni wala rushwa na mafisadi lakini kama kuna uhalisia flani ivi
ni lini chadema wataacha siasa za ukanda??
hii ni fedheha sanaa..
na kuishi nyumba ya mkwe, chezea brigedia we!mi napenda jinsi nape anavozidi kunawiri...chezea ruzuku ya chama
Ni kichaa tu au mtu mwenye mtindio wa ubungo anaweza kutoa tamko la kipumbavu kama hili.Chonde CDM msijibu huu ujinga!