Nape awapasua vichwa CHADEMA

Ukiangalia trend ya mijala na thread mbalimbali JF na mitandao mingine ya kijamii including magazeti Nape anaonekana anawaumiza sana kichwa CDM. Matusi , kejeli na kila aina ya shutuma, ukiziangalia kwa undani utagundua ni kwa jinsi gani dogo anawaumiza CDM. Kwa sisi tusio na vyama hii si dalili njema kwa chama makini kama CDM kuhangaika kiasi hichi na huyu dogo, mnampa umaarufu asiostahili. Achaneni naye, anawapotezea muda mwingi sana bila sababu!


Hahahaaaaaaaaa!!! Uwiii!
 
Sred Nyingine ni kupotezeana Muda tu! .. Ah inauma Mtu kupitisha muda Na macho yako kwenye pumba..

Mateja hadi JF.. Ah
 
Ni kweli kabisa maneno yako......

attachment.php

kama huna hoja ya msingi nyamaza,sio kukurupuka sasa hiyo picha hapo juu inauhusiano gani na mada yako?au ndio unatuonesha mikutano ya ccm na wanafunzi wa shule za msingi.jipange ndio uje upya.
 
Ukiangalia trend ya mijala na thread mbalimbali JF na mitandao mingine ya kijamii including magazeti Nape anaonekana anawaumiza sana kichwa CDM. Matusi , kejeli na kila aina ya shutuma, ukiziangalia kwa undani utagundua ni kwa jinsi gani dogo anawaumiza CDM. Kwa sisi tusio na vyama hii si dalili njema kwa chama makini kama CDM kuhangaika kiasi hichi na huyu dogo, mnampa umaarufu asiostahili. Achaneni naye, anawapotezea muda mwingi sana bila sababu!

Hivi kumbe Maige nae ni CDM?
 
Ukiangalia trend ya mijala na thread mbalimbali JF na mitandao mingine ya kijamii including magazeti Nape anaonekana anawaumiza sana kichwa CDM. Matusi , kejeli na kila aina ya shutuma, ukiziangalia kwa undani utagundua ni kwa jinsi gani dogo anawaumiza CDM. Kwa sisi tusio na vyama hii si dalili njema kwa chama makini kama CDM kuhangaika kiasi hichi na huyu dogo, mnampa umaarufu asiostahili. Achaneni naye, anawapotezea muda mwingi sana bila sababu!

Asante kwa ushauri wa bure usio na maana!! wewe kama huna cha kuandika kaa kimya. hata Nape mwenyewe unayejaribu kumtetea anependa kujibu some posts, and that is healthy engagement! of course we need to keep them objective and focused on issues rather than personalising them and being abusive.
 
Ukiangalia trend ya mijala na thread mbalimbali JF na mitandao mingine ya kijamii including magazeti Nape anaonekana anawaumiza sana kichwa CDM. Matusi , kejeli na kila aina ya shutuma, ukiziangalia kwa undani utagundua ni kwa jinsi gani dogo anawaumiza CDM. Kwa sisi tusio na vyama hii si dalili njema kwa chama makini kama CDM kuhangaika kiasi hichi na huyu dogo, mnampa umaarufu asiostahili. Achaneni naye, anawapotezea muda mwingi sana bila sababu!
wewe usiye na chama au wewe kibaraka,umekosa cha kusema,Nape anamuumiza MAIGE.cdm haiwezi kuhangaika na mpuuzi kama nape.ni kondoo wa kafara kama hukujua.
 
Mukama, Maige, Sitta, Rostam, EL na wengineo wanaosema ni gamba linalotakiwa kung'oka CCM wamekuwa wafuasi wa CDM lini......?????. AKILI ZIKIFUNIKWA NA MAGAMBA BWANA, HATA TOFAUTI KATI YA MCHANA NA GIZA HAUJUI..!!!

Ukiangalia trend ya mijala na thread mbalimbali JF na mitandao mingine ya kijamii including magazeti Nape anaonekana anawaumiza sana kichwa CDM. Matusi , kejeli na kila aina ya shutuma, ukiziangalia kwa undani utagundua ni kwa jinsi gani dogo anawaumiza CDM. Kwa sisi tusio na vyama hii si dalili njema kwa chama makini kama CDM kuhangaika kiasi hichi na huyu dogo, mnampa umaarufu asiostahili. Achaneni naye, anawapotezea muda mwingi sana bila sababu!
 
Wa Nauye anashangilia matunda ya miaka 50 ya uhuru wa Tanganyika kati ya watoto wasio na nguo wala viatu, hivyo kufurahishwa na kitendo cha watoto hao kugombea senti anayowachonganisha nayo.
 
Hivi na wewe mtoa mada tukuite ni Great Thinker? Si bora ungemshauri Nape kufanya mambo ya
maana kama kwenda kuona wagonjwa kama Mzee Mwandosya atapata baraka,kuliko anavyendelea
kujimaliza na makelele yaso na tija"
 
We kama si mwandishi wa magazeti ua Uhuru na Mzalendo, basi utakuwa msomaji mzuri wa hayo magazeti ndo maana hata fikra zako zishakuwa hivyo!!!!
 
huna chama wakati unaonekana wazi ww ni gamba! yaani waumize kichwa kwa lipi hasa analolifanya.
 
Ukiangalia trend ya mijala na thread mbalimbali JF na mitandao mingine ya kijamii including magazeti Nape anaonekana anawaumiza sana kichwa CDM. Matusi , kejeli na kila aina ya shutuma, ukiziangalia kwa undani utagundua ni kwa jinsi gani dogo anawaumiza CDM. Kwa sisi tusio na vyama hii si dalili njema kwa chama makini kama CDM kuhangaika kiasi hichi na huyu dogo, mnampa umaarufu asiostahili. Achaneni naye, anawapotezea muda mwingi sana bila sababu!


Unatunga hadithi mbovu, lakn inakusisimua mwenyewe na unaiamini kuwa ni kisa cha kweli!!

Hizo ni dalili za kwenda Mirembe......!
 
Back
Top Bottom