Kweli kabisa, huyu jamaa yawezekana kabisa alikuwa anaota! Au katumwa kutaga hayo aliyonayo kwa manufaa ya aliyemtupia ili atageKama huna cha kuandika sioni sababu ya kutokuwa msomaji wa thread za wenzako tuu kuliko kuandika upambaf Kama huu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa, huyu jamaa yawezekana kabisa alikuwa anaota! Au katumwa kutaga hayo aliyonayo kwa manufaa ya aliyemtupia ili atageKama huna cha kuandika sioni sababu ya kutokuwa msomaji wa thread za wenzako tuu kuliko kuandika upambaf Kama huu
Ukiangalia trend ya mijala na thread mbalimbali JF na mitandao mingine ya kijamii including magazeti Nape anaonekana anawaumiza sana kichwa CDM.
Matusi , kejeli na kila aina ya shutuma, ukiziangalia kwa undani utagundua ni kwa jinsi gani dogo anawaumiza CDM. Kwa sisi tusio na vyama hii si dalili njema kwa chama makini kama CDM kuhangaika kiasi hichi na huyu dogo, mnampa umaarufu asiostahili.
Achaneni naye, anawapotezea muda mwingi sana bila sababu!
anaumiza magamba wenzake kichwa au CDM. Hivi Kisumo, Maige na wengine wanaokosoa siasa za Nepi nao Ni CDM! kaka wa wap wewe!
Huwezi kusema Nape anaipasua kichwa CDM kwasababu maoni unayoyasoma kwenye jf ni maoni ya wanamtandao na wala si maoni ya CDM kama chama. Ukweli, anayeumizwa ni Nape kwa jinsi CDM inavyopeta.Ukiangalia trend ya mijala na thread mbalimbali JF na mitandao mingine ya kijamii including magazeti Nape anaonekana anawaumiza sana kichwa CDM.
Matusi , kejeli na kila aina ya shutuma, ukiziangalia kwa undani utagundua ni kwa jinsi gani dogo anawaumiza CDM. Kwa sisi tusio na vyama hii si dalili njema kwa chama makini kama CDM kuhangaika kiasi hichi na huyu dogo, mnampa umaarufu asiostahili.
Achaneni naye, anawapotezea muda mwingi sana bila sababu!
Salamu wana JF,
Napenda kujumuika nanyi kwa mara nyingine tena juu ya uwezo na ushujaa alionao kijana mzalendo Mh.Nape kwa kazi ngumu aliyokabidhiwa na CCM,kwanza kabisa amefanikiwa kuwatingisha mafisadi nguli ndani ya chama kwa kipindi kifupi alochoongoza pia anapambana na kelele za CHADEMA zenye nia ya kumkatisha tamaa ambazo bila shaka zinapata support ya MAGAMBA waliopo CCM ambao hawataki kutii amri ya kujivua ili chama kibaki salama bila kuleta chuki kama alivyofanya RA.
Kwa ujasiri alionao bila shaka anatakiwa apewe meno zaidi ya kuwashughulikia mafisadi pamoja na njama za CHADEMA kutumia mgongo wa MAGAMBA,CCM inaiimarika kila siku,watu wanafanyakazi kwa uadilifu,mfumo unabadilishwa ili kukidhi matarajio ya wananchi kupata huduma bora.
NAPE ni moto mkali kwa CHADEMA ndiyo maana hawalali bila kuuliza Mh.NAPE katoa kauli gani kila siku ili wabuni njia mpya ya kumkatisha tamaa...mfano mzuri ..VUA GAMBA VAA GWANDA.....huu ni upuuzi wa copy & paste !
Nilitegemea CHADEMA wawe focus kupata wanachama waadilifu badala ya kusubiri magamba wajiunge kwao.....HONGERA sana Mh.NAPE kwa kuwapa dozi nzito ya kuvua MAGWANDA wavae UZALENDO kama WEWE !
Tunahitaji viongozi wenye UTASHI wa KIZALENDO zaidi badala ya CHAMA kama Mh.ZITTO,Mh.KAFURILA,Mh.MACHAL I,Mh.FILIKUNJOMBE,Mh.MKOSAMALI ,Mh.MNYIKA nk
CHAMA kitumeke kama njia ya kupazia sauti tuuu na si ushabiki wakijinga kama anavyofanya WENJE,LEMA na baadhi ya wanaCDM....
Salamu wana JF,
Napenda kujumuika nanyi kwa mara nyingine tena juu ya uwezo na ushujaa alionao kijana mzalendo Mh.Nape kwa kazi ngumu aliyokabidhiwa na CCM,kwanza kabisa amefanikiwa kuwatingisha mafisadi nguli ndani ya chama kwa kipindi kifupi alochoongoza pia anapambana na kelele za CHADEMA zenye nia ya kumkatisha tamaa ambazo bila shaka zinapata support ya MAGAMBA waliopo CCM ambao hawataki kutii amri ya kujivua ili chama kibaki salama bila kuleta chuki kama alivyofanya RA.
Kwa ujasiri alionao bila shaka anatakiwa apewe meno zaidi ya kuwashughulikia mafisadi pamoja na njama za CHADEMA kutumia mgongo wa MAGAMBA,CCM inaiimarika kila siku,watu wanafanyakazi kwa uadilifu,mfumo unabadilishwa ili kukidhi matarajio ya wananchi kupata huduma bora.
NAPE ni moto mkali kwa CHADEMA ndiyo maana hawalali bila kuuliza Mh.NAPE katoa kauli gani kila siku ili wabuni njia mpya ya kumkatisha tamaa...mfano mzuri ..VUA GAMBA VAA GWANDA.....huu ni upuuzi wa copy & paste !
Nilitegemea CHADEMA wawe focus kupata wanachama waadilifu badala ya kusubiri magamba wajiunge kwao.....HONGERA sana Mh.NAPE kwa kuwapa dozi nzito ya kuvua MAGWANDA wavae UZALENDO kama WEWE !
Tunahitaji viongozi wenye UTASHI wa KIZALENDO zaidi badala ya CHAMA kama Mh.ZITTO,Mh.KAFURILA,Mh.MACHAL I,Mh.FILIKUNJOMBE,Mh.MKOSAMALI ,Mh.MNYIKA nk
CHAMA kitumeke kama njia ya kupazia sauti tuuu na si ushabiki wakijinga kama anavyofanya WENJE,LEMA na baadhi ya wanaCDM....
Salamu wana JF,atuitaji salam yako
juu ya uwezo na ushujaa alionao kijana mzalendo Mh.Nape kwa kazi ngumu aliyokabidhiwa na CCM,kwanza kabisa amefanikiwa kuwatingisha mafisadi nguli ndani ya chama{nimafisadi wangapi kawatoa ndani ya chama? kwa kipindi kifupi alochoongoza{kumbe Nape nikiongozi?} pia anapambana na kelele za CHADEMA {CDM nikama maji usipo yakoga utayanywa}zenye nia ya kumkatisha tamaa ambazo bila shaka zinapata support ya MAGAMBA waliopo CCM ambao hawataki kutii amri ya kujivua ili chama kibaki salama bila kuleta chuki kama alivyofanya RA.
Kwa ujasiri alionao bila shaka anatakiwa apewe meno zaidi ya kuwashughulikia mafisadi pamoja na njama za CHADEMA kutumia mgongo wa MAGAMBA,CCM inaiimarika kila siku,watu wanafanyakazi kwa uadilifu,mfumo unabadilishwa ili kukidhi matarajio ya wananchi kupata huduma bora.
NAPE ni moto mkali kwa CHADEMA ndiyo maana hawalali bila kuuliza Mh.NAPE katoa kauli gani kila siku ili wabuni njia mpya ya kumkatisha tamaa...mfano mzuri ..VUA GAMBA VAA GWANDA.....huu ni upuuzi wa copy & paste !
Nilitegemea CHADEMA wawe focus kupata wanachama waadilifu badala ya kusubiri magamba wajiunge kwao.....HONGERA sana Mh.NAPE kwa kuwapa dozi nzito ya kuvua MAGWANDA wavae UZALENDO kama WEWE !
Tunahitaji viongozi wenye UTASHI wa KIZALENDO zaidi badala ya CHAMA kama Mh.ZITTO,Mh.KAFURILA,Mh.MACHAL I,Mh.FILIKUNJOMBE,Mh.MKOSAMALI ,Mh.MNYIKA nk
CHAMA kitumeke kama njia ya kupazia sauti tuuu na si ushabiki wakijinga kama anavyofanya WENJE,LEMA na baadhi ya wanaCDM....
hivi ndio anavyowakosesha usingizi? LMAO!!!!!!!
Huu ***** kawadanganye wapemba
Ni kweli kabisa maneno yako......