Nape asusia kikao cha CCM

We are here to discuss issues not peple. Concentrate kutoa mchango wako kwenye mada aliyoianzisha mhusika.

Sasa mbona na wewe unatoa mchango kwenye maada ya mtu mwingine? Alafu mbona siku hizi umepooza sana? Au haujapokea mshahara kutoka kwa Nepi?
 
Wale mavuvuzela sasa hatunawaona hapa jamvini tena bosi wao ndiyo kashakalia gunzi, usicheze na magamba wewe!
 
I feel sorry for this young man. He postponed the process of thinking and yet he wants to become a prominent politician. How could you allow other people to think on your behalf? That is a cardinal sin...sorry Nape you are in for it!!

Such people are called 'Parrots'. Can a parrot think for itself?
 
Amezoea kupayuka pumba ili apate coverage kwenye media pumba, wazee wa magamba wameshtuka............ Hivi ndio alitangaza kuenguliwa kwa Kilumbi? Yaani alikosa news ikabidi atafute kifaranga cha kuscrew ili mradi atokeze katika vyombo vya habari. Kweli ukichubua ngozi hata akili pia inaweza kuchubuka,,,,,,:rant:
 
Imekula kwake hiyoo! Wamemkamua kama bua la muwa sasa hana utamu tena wanalitupa tu ndio ccm hiyoo.
 
Mwongo KIlaza huyo. Amezuiwa na JK kuzungumza na waandishi wa habari na amezuiwa kutoa taarifa yoyote ya chama. Tumeambiwa pia kwamba mkakati wa kumshughulikia tayari umeiva. KIGUMU CHAMA CHA MAPINDUZI.
 
Kwa wenye negativity dhidi ya Nape pasipo kujali UKWELI [REALITY] ya mwenendo mzima wa Matendo ya CCM dhidi ya TAIFA hakika subilieni TUTAWATAFUTA KUWAKUMBUSHA MANENO YENU HUMU NDANI, ILI MKANE MLICHOONGEA MSISAHAU MANENO YA MTOTO WA BABA WA TAIFA KUWA RACHEL NINI?

Mheshimiwa Mwenyekiti sina tatizo na kaka Yangu Lowasa lakini ulipomuinua Mkono Uko Monduli site [Wananchi] wakasema HIKI NI NINI?
Mheshmiwa Mwenyekiti nampenda Ndugu yangu Chenge wanamuita Mzee wa Vijisenti hilo Mimi Sina Hakika Nalo ulipomuinua Mkono huko Maswa site [Wananchi] wakasema HIKI NDIO NINI?

Mheshimiwa Mwenyekiti anakotembele Rostam Mimi Nisifiki na Naye afiki Mimi nilipo, ulipomuinua Mkono uko IGUNGA site [Wananchi ] wakauliza HIKi NINI?

Sasa nyie mnaoshabikia PUMBA [Kisa Wanachadema] mnatupa shaka sie tusio wananchama wa chama chochote kweli nyie ni wapenzi wa Nchi.
Tunawasubilia manake kwa wanaojua michezo ya CCM tegemeeni Chochote Kipya wakati wowote.Time will tell.
 
When ur with Magamba, you must take care of yourself and your political status. hard time for Nape, he has to ride-through now!
 
Kususa tu haitoshi anapaswa kuonesha msimamo wake katika hilo(hiyo ni kama huo msimamo anao), coz hicho ndo kitu kinachotofautisha viongozi bora na wapayukaji! Kususia bila kutoa msimamo ni dalili ya woga, na unapotoa msimamo ni ujasiri wa kiuongozi!
Ila sijui hata angesemaje kwenye hiyo press conference! Labda angesema sio mimi nliyekuwa nazunguka nchi nzima, mliona vibaya:lol:!!
Napeeee kwishney, alizoea ule msemo wa ukiwa mnafiki ujanani, uzeeni utakuwa mchawi... nadhani ndicho anakoelekea sasa...
 
Nape lazima amei miss familia yake Dar kwa hiyo amewahi wala kijana wa watu hana tatizo na mtu hata juzi si mlimwona jamani akimsalimia rafiki yake EL. Ila pia ajue kama alipanda mchongoma ili watu wamsifiye kwa ushujaa ajue kushuka kwake itakuwa ngoma nzito na ajiandae kuwa kafara ya kumsafisha EL .

Kiongozi nimeipenda hii ya kupanda mchongoma kushuka kwake ni ngoma nzito; hilo ndilo hasa linalomtokeanhuyu bwa mdogo Nape sijui atauweka wapi uso wake!!
 
This is rather sad; hivi kweli tatizo la CCM ni NAPE. As a matter of fact Nape angepewa pongezi na kuungwa mkono na wana CCM wanaotaka mabadiliko ya kweli. Alichokifanya Nape hadharani hakijawahi kufanywa na kionogozi yeyote wa CCM. Wengi wa wale wanaojiita viongozi au wanajionesha kuwa niviongozi hawajawa na ujasiri wa kusimama na kuiita limau limau na chenza chenza! Tangu mwanzo wa sakata hili sikuwahi kusema lolote juu ya Nape lakini ukweli ni kuwa Nape amefanya kilichowashinda wengi na kama aliamua kuondoka kwenye vikao vyao pia ni uamuzi wa akili kwa sababu kwanini watu wakae mahali ambapo hawawezi kusimamia walichokisea. Kama watu wote wenye nguvu Tanzania wanakutanika kwenye chumba kimoja halafu wanashindwa kuchukua uamuzi ambao wanajua walipaswa kuukua bado wanaonekana wamefanya la maana?

Hivi kweli mnataka kusema ndani ya kundi zima la watu wa Kamati Kuu na NEC hakuna mtu aliyekuwa na uwezo wakujibu hoja zinazodaiwa kutolewa na Lowassa, really? Nape hata akijiuzulu kesho, atakuwa amejionesha kuwa amethubutu kufanya kilichomshinda fisi.
 
mkuu MM umesema vyema sana! Nape ameandika historia kusimamia ukweli! Hakuna mwana ccm alikuwa anaweza kumtaja lowasa hadharani! Binafsi naamini Nape ni mwanamageuzi anayethubutu! Bravo NAPE!
 
This is rather sad; hivi kweli tatizo la CCM ni NAPE. As a matter of fact Nape angepewa pongezi na kuungwa mkono na wana CCM wanaotaka mabadiliko ya kweli. Alichokifanya Nape hadharani hakijawahi kufanywa na kionogozi yeyote wa CCM. Wengi wa wale wanaojiita viongozi au wanajionesha kuwa niviongozi hawajawa na ujasiri wa kusimama na kuiita limau limau na chenza chenza! Tangu mwanzo wa sakata hili sikuwahi kusema lolote juu ya Nape lakini ukweli ni kuwa Nape amefanya kilichowashinda wengi na kama aliamua kuondoka kwenye vikao vyao pia ni uamuzi wa akili kwa sababu kwanini watu wakae mahali ambapo hawawezi kusimamia walichokisea. Kama watu wote wenye nguvu Tanzania wanakutanika kwenye chumba kimoja halafu wanashindwa kuchukua uamuzi ambao wanajua walipaswa kuukua bado wanaonekana wamefanya la maana?

Hivi kweli mnataka kusema ndani ya kundi zima la watu wa Kamati Kuu na NEC hakuna mtu aliyekuwa na uwezo wakujibu hoja zinazodaiwa kutolewa na Lowassa, really? Nape hata akijiuzulu kesho, atakuwa amejionesha kuwa amethubutu kufanya kilichomshinda fisi.

Mkuu with all due respect hakuna anayepinga kwamba Nape alichofanya ni kitendo cha kishujaa- nadahini wengi wetu tunamkubali ameweza kusema kile ambacho wengi ndani ya chama chao wameogopa kusema- tatitzo ni kwamba alishindwa kusoma mazingira kwani alitakiwa kujua waliomtuma ni watu wa aina gani, kiongozi wa juu aliyepo ni mnafiki kupindukia hilo alitakiwa kulijua na kuwa makini kwenye utendaji wake. Katibu mkuu aliwahi kumpinga hadharani kuhusiana na suala la kutaja majina, hakupata sapoti yoyote toka kwa mwenyekiti-kwangu mimi hiyo ilikuwa ni dalili tosha ya kuwa makini, EL alipozungumza na mzee Msekwa aliweka wazi kwamba hayo anyoambiwa siyo anayoambiwa na mwenyekiti pale wanapozungumza, mwenyekiti hakubisha na wala hakutolea ufafanuzi kauli hiyo! Sasa kwa akili ya kawaida usingeona kuna shida hapo?
 
Kwa wenye negativity dhidi ya Nape pasipo kujali UKWELI [REALITY] ya mwenendo mzima wa Matendo ya CCM dhidi ya TAIFA hakika subilieni TUTAWATAFUTA KUWAKUMBUSHA MANENO YENU HUMU NDANI, ILI MKANE MLICHOONGEA MSISAHAU MANENO YA MTOTO WA BABA WA TAIFA KUWA RACHEL NINI?

Mheshimiwa Mwenyekiti sina tatizo na kaka Yangu Lowasa lakini ulipomuinua Mkono Uko Monduli site [Wananchi] wakasema HIKI NI NINI?
Mheshmiwa Mwenyekiti nampenda Ndugu yangu Chenge wanamuita Mzee wa Vijisenti hilo Mimi Sina Hakika Nalo ulipomuinua Mkono huko Maswa site [Wananchi] wakasema HIKI NDIO NINI?

Mheshimiwa Mwenyekiti anakotembele Rostam Mimi Nisifiki na Naye afiki Mimi nilipo, ulipomuinua Mkono uko IGUNGA site [Wananchi ] wakauliza HIKi NINI?

Sasa nyie mnaoshabikia PUMBA [Kisa Wanachadema] mnatupa shaka sie tusio wananchama wa chama chochote kweli nyie ni wapenzi wa Nchi.
Tunawasubilia manake kwa wanaojua michezo ya CCM tegemeeni Chochote Kipya wakati wowote.Time will tell.

Sasa hapa ndio umesema nini? Hebu soma tena ulichokiandika uone kama hata mwenyewe utaelewa. Angalau umeonesha una kitu unataka kukisema lakini muhemuko na mapenzi yamekuzidi mpaka ukashindwa kujipanga na kukieleza ulichotaka kisema, au pengine kuchanganya lugha mbili ndiko kulikokuponza. Tumia lugha moja unayoielewa vyema lugha ambayo, unaweza ukamwambia mtu "nina hamu ya ukwaju" pasipo kutafuta maneno wala kughaya kisha wasilisha jakamoyo lako hapa.
 
This is rather sad; hivi kweli tatizo la CCM ni NAPE. As a matter of fact Nape angepewa pongezi na kuungwa mkono na wana CCM wanaotaka mabadiliko ya kweli. Alichokifanya Nape hadharani hakijawahi kufanywa na kionogozi yeyote wa CCM. Wengi wa wale wanaojiita viongozi au wanajionesha kuwa niviongozi hawajawa na ujasiri wa kusimama na kuiita limau limau na chenza chenza! Tangu mwanzo wa sakata hili sikuwahi kusema lolote juu ya Nape lakini ukweli ni kuwa Nape amefanya kilichowashinda wengi na kama aliamua kuondoka kwenye vikao vyao pia ni uamuzi wa akili kwa sababu kwanini watu wakae mahali ambapo hawawezi kusimamia walichokisea. Kama watu wote wenye nguvu Tanzania wanakutanika kwenye chumba kimoja halafu wanashindwa kuchukua uamuzi ambao wanajua walipaswa kuukua bado wanaonekana wamefanya la maana?

Hivi kweli mnataka kusema ndani ya kundi zima la watu wa Kamati Kuu na NEC hakuna mtu aliyekuwa na uwezo wakujibu hoja zinazodaiwa kutolewa na Lowassa, really? Nape hata akijiuzulu kesho, atakuwa amejionesha kuwa amethubutu kufanya kilichomshinda fisi.

Mwanakijiji, kutokana na hoja yako, kuwa Nape kafanya kile ambacho wengi ndani ya CCM kimewasinda, na matokeo yake ndiyo hayo yanayomfika, ili aweze kuthibitisha utofauti wake na wengine ndani ya CCM, anatakiwa afanye nini sasa?...what is his way forward, ambayo itazidi kumpambanua na wengine ndani ya CCM?

Nasubiri mchango wako.
 
This is rather sad; hivi kweli tatizo la CCM ni NAPE. As a matter of fact Nape angepewa pongezi na kuungwa mkono na wana CCM wanaotaka mabadiliko ya kweli. Alichokifanya Nape hadharani hakijawahi kufanywa na kionogozi yeyote wa CCM. Wengi wa wale wanaojiita viongozi au wanajionesha kuwa niviongozi hawajawa na ujasiri wa kusimama na kuiita limau limau na chenza chenza! Tangu mwanzo wa sakata hili sikuwahi kusema lolote juu ya Nape lakini ukweli ni kuwa Nape amefanya kilichowashinda wengi na kama aliamua kuondoka kwenye vikao vyao pia ni uamuzi wa akili kwa sababu kwanini watu wakae mahali ambapo hawawezi kusimamia walichokisea. Kama watu wote wenye nguvu Tanzania wanakutanika kwenye chumba kimoja halafu wanashindwa kuchukua uamuzi ambao wanajua walipaswa kuukua bado wanaonekana wamefanya la maana?

Hivi kweli mnataka kusema ndani ya kundi zima la watu wa Kamati Kuu na NEC hakuna mtu aliyekuwa na uwezo wakujibu hoja zinazodaiwa kutolewa na Lowassa, really? Nape hata akijiuzulu kesho, atakuwa amejionesha kuwa amethubutu kufanya kilichomshinda fisi.



Mkuu,
Nimekuelewa vzuri sana na ninakubaliana na wewe kabisa. Ninachotokea kwa Nape hasa ukiangalia michango ya wengi hapa ni huruma. Watu wanaoifahamu hii ccm ya sasa walishaona mapema kutokea kwa haya yanayotokea. Walijitahidi kumweleza achukue tahadhari na kujipanga vizuri ili asiangukie pua lakini hakusikia! Akapuuza ushauri wao ndio maana wanamkumbusha. Na kibaya zaidi ni yamemkuta yaleyale aliyoyapuuza. Ni hayo tu!
 
Back
Top Bottom