MTAZAMO
Platinum Member
- Feb 8, 2011
- 19,990
- 34,839
Kuna kiongozi mmoja wa ccm niliwahi kumwambia anachojaribu kufanya Nape hakiwezekani! Mwisho zigo atabaki nalo! Nape alianza kumgusa lowasa wazi wazi toka uvccm! Na recently amekuwa akijaribu kujenga taswira ya kutenganisha chama na mafisadi lakini hili hata wanajf walimuonya maana CCM ilipofikia ni kama yule mdudu ambaye ili maisha yaendelee lazima afe kwa kupasuka tumbo na watoto kutoka ccm imefika mwisho na wamegawanyika sana! Nape amethubutu mfupa mgumu sana!Mkuu with all due respect hakuna anayepinga kwamba Nape alichofanya ni kitendo cha kishujaa- nadahini wengi wetu tunamkubali ameweza kusema kile ambacho wengi ndani ya chama chao wameogopa kusema- tatitzo ni kwamba alishindwa kusoma mazingira kwani alitakiwa kujua waliomtuma ni watu wa aina gani, kiongozi wa juu aliyepo ni mnafiki kupindukia hilo alitakiwa kulijua na kuwa makini kwenye utendaji wake. Katibu mkuu aliwahi kumpinga hadharani kuhusiana na suala la kutaja majina, hakupata sapoti yoyote toka kwa mwenyekiti-kwangu mimi hiyo ilikuwa ni dalili tosha ya kuwa makini, EL alipozungumza na mzee Msekwa aliweka wazi kwamba hayo anyoambiwa siyo anayoambiwa na mwenyekiti pale wanapozungumza, mwenyekiti hakubisha na wala hakutolea ufafanuzi kauli hiyo! Sasa kwa akili ya kawaida usingeona kuna shida hapo?