LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
Acha aikimbie kbs! Itamwakia na hata mgongoni. Jinga MTU yule:
......hili ndilo tatizo la kutofikirisha ubongo, anasema (anaropoka) kila analotumwa, huku akijua wazi bosi wake anakwenda kama upepo unavyovuma, kama ni kusi-kasi naye anvuma hivyo hivyo, huyo ndiye JK, kwake la mhimu ni kilikanyaga na la hovyo hulinyanyua, huyo ndiye rais wetuhana akili anapigana vita asivovijua nd matokeo yake hayo...
We are here to discuss issues not peple. Concentrate kutoa mchango wako kwenye mada aliyoianzisha mhusika.
kwani wamesha maliza kumtumia...
We are here to discuss issues not peple. Concentrate kutoa mchango wako kwenye mada aliyoianzisha mhusika.
atasema haja wahi kuikana CCJ...
tena huyu mwenzetu alikuwa anatumia saburiUkiwa unatumia masaburi kufikiria lazima ile kwako
lakini amefaidi vijisenti maana posho za kuzunguka nchi nzima si mchezo...
Kamaliza kazi yake huko hajasusa, wasusaji si wanajulikana. Unanchekesha!
tena huyu mwenzetu alikuwa anatumia saburi
moja la kushoto kufikiri maana la kulia halifanyi kazi tena ya kufikiri
wote tuna masaburi...tatizo matumizi yake ndo tunatofautiana...