Tatizo la kufanya jambo kisha unafikiri badala ya kufikiri kwanza ndo unatenda jambo,huyu dogo alikuwa anauchonga sana hakujua kwamba wanaomtuma walimweka kama vuvuzela tu la kusemea akidhani yuko pamoja nao,Nape anauchonga tu lakini ni empty magazine,siasa ndani ya CCM ni ngumu sana maana hazina wa kumwamini,alikuwa anachombezwa nae akaona amemaliza,mwisho wenzie wakamwambia hawajakutana road,bado hakujifunza kitu,na nilisha wahi kusema Nape hatoshi na alikuwa anajiongopea tu,na sijui anaishi wapi ndani ya hii dunia na sijui yuko chama gani,HIVI NAPE ULITEGEMEA KABISA UKIZUNGUKA NCHI NZIMA NA UKASIMAMA MAJUKWAANI KUSEMA EL NI FISADI ANGETOKA CCM?HAKUNA WA KUMFUKUZA EL NA VJISENTI NDANI YA CCM,Angalia Nape utamwagishwa unga japo unakula ndani ya chama cha kifisadi.
Kwani alitakiwa kutoa taarifa gani muhimu kwa taifa letu? Naaona alivyofanya ni vizuri tu akarudi kwao aongee na familia yake nani anataka kumsikuliza kigeugeu huyo leo anasema hili kesho anageuka anasema vinginevyo. Kama unaakili huwezi kutamani kumsikiliza mtu kama huyo.
We are here to discuss issues not peple. Concentrate kutoa mchango wako kwenye mada aliyoianzisha mhusika.Ha ha ha ndio wameshamaliza kutumia toilet paper yao sasa wameitupa chooni. Bado CUF , Faiza fox, Rejao,Mwita, kipepeo, genius na Wausau wote waliokuwepo kwenye payroll ya Nepi
ndugu Nape alitaka kufanya press conference na waandishi wa habari mara baada ya kumalizika kwa kikao cha NEC lakini alizuiwa na wakubwa wa CHAMA kuwa hakuna haja hali iliyopelekea Nape kususia kikao cha viongozi wa Chama na habari zaidi nilizopata ni kwamba amerejea Dar mapema zaidi hata kabla ya wenzie kutawanyika.