Nape asusia kikao cha CCM

Nape asusia kikao cha CCM

hee jamani wana jamvi sio kwamba namtetea ila kaja dar kudefend masters yake mzumbe lol! na kaifanya jana na mpaka unadefend kuna maandalizi ikiwa kurekebisha thesis yako then uidefend upewe go ahead ya kutengeneza vitabu.
 
hee jamani wana jamvi sio kwamba namtetea ila kaja dar kudefend masters yake mzumbe lol! na kaifanya jana na mpaka unadefend kuna maandalizi ikiwa kurekebisha thesis yako then uidefend upewe go ahead ya kutengeneza vitabu.

kilaza ni kilaza tuu .. hata ukinunua masters degree na phd haubadilishi kitu
 
ndugu Nape alitaka kufanya press conference na waandishi wa habari mara baada ya kumalizika kwa kikao cha NEC lakini alizuiwa na wakubwa wa CHAMA kuwa hakuna haja hali iliyopelekea Nape kususia kikao cha viongozi wa Chama na habari zaidi nilizopata ni kwamba amerejea Dar mapema zaidi hata kabla ya wenzie kutawanyika.

Kumbe hata yeye anasusia kama wale wabunge wa CDM? Ila ukiangalia kwa makini yeye kama katibu wa uenezi anatakiwa aeneze mambo yanayojadiliwa na kukubaliwa na vikao vya viongozi akiwemo yeye. Sasa ikiwa wakubwa walikuwa hawajakutana kukubaliana cha kuenezwa yeye alitaka kueneza nini? Hivi hata baada ya uzoefu wa kueneza dhana ya kujivua magamba ya akina Lowassa bado hajajifunza tu kuwa siyo kila kitu kinatakiwa kuenezwa?
 
Waachie WanaCCm na CCM yao tafuta chama chako upate kusema utakavyo.
 
Jakaya Kikwete KIGEUGEU-aliwageukia Mkapa na Mawaziri wakuu wastaafu,baadae akajirudi tena,Akamgeukia swahiba wake EL,na sasa anajirudi so Mkuu ni kigeugeu,na tena ni kigeugeu.Usimwamini hata siku moja.Alimgeukia Hamad Masauni,alimgeukia Msomali Bashe,na bado atawageukia wengi tu
 
Nape na ccm ni kama mtualiyeko kwenye ndoa lakini kimsingi hampendi mwenzake, akitoka nje ataanza kuyasema mabaya ya huyo mwenizake akirudi ndani anajibaraguza. Mwenzake keshamtambua hivo kamwekea mtego angoja anase. Nape yupo katika mtego na anakaribia kunaswa. Namshauri apime kwanza upepo uendavyo kisha afanye uamuzi baadae au aombe ushauri kwa wajuzi wa mambo ama sivo ndoa yake na ccm itamshinda. Nape ajue ccm ipo mara mbili, yaani kikundi kidogo sana cha wahodhi na kundi kubwa la wasindikzaji. Wahodhi ndio ambao wameshamtega.
 
hivi nepi akipigwa chininataenda chama gani?coz katukana kila chama cha upinzani labda CCM B(CUF)
 
Ushauri wa bure kwa nape. Amekuwa kafara na watamfukuza na kama watamuacha watamtema awe kama ng'enda. Hata jk kamgeuka. Kweli ccm inatisha1 yeye alidhani ni genuine business. Sasa ndiye anaonekana mkosaji na el anauliza huyu aliyenichafua kwa miezi 6 afanyeweje? Jk amesema akionekana alifanya makosa ataadhibiwa! Nani alimtuma kama siyo jk!
 
Back
Top Bottom