Nilitafuta kitu cha kucheka leo, nimepata
Umeona eee
Nilitafuta kitu cha kucheka leo, nimepata
ficha upumbavu wako usifiche hekima yako mkuu
Wanatapatapa hao dadangu. Wakialika watu kwenye mikutano yao hawafiki sasa leo wamejipatia nyomi la kufa mtu siunajua sharo alikuwa famous kwahiyo inatarajiwa waombolezaji watakuwa wengi.
Usishangae siku za mbeleni picha za msiba wa sharo wakaja kuzitumia kutuonyesha jinsi mkutano wao ulivyofunika huko muheza.
CDM huwezi kuwaona hapo kwa kuwa aliyekufa siyo mwenzao katika imani.
Acha kupotosha watu bwana Nape ameshiriki mazishi ama ameongoza mazishi please fafanua.Nachojua mimi nape kashiri mazishi pamoja na wasanii wengine wa Bongo flava kama msanii na pia kama mwananchi mwingine yeyote alieguswa na msiba wa Sharo Milionea RIPCdm sijawaona Nape kaongoza mazishi na eneo zima limepambwa kwa rangi za kijani...kulikoni?
Mbona mazishi ya Mwangosi hakuwepo?Cdm sijawaona Nape kaongoza mazishi na eneo zima limepambwa kwa rangi za kijani...kulikoni?
Unataka kuumanisha nini?CDM huwezi kuwaona hapo kwa kuwa aliyekufa siyo mwenzao katika imani.
Nilitafuta kitu cha kucheka leo, nimepata
VIPI DK BILALI HAKUWEPO??
NAOMBA MWENYE PICHA YAKE KAMA ALIKUEPO HAPO MSIBANI ANIWEKEE HAPA,,
NATAKA TUH NIJITOSHELEZE AMEBEBA MKASI AU KAUSAHAU??
MR MKASI YULE JAMAAA,,
:madgrin: :madgrin:
We limbukeni kweli mkuu yani we muda wote akili yako inawaza K..!!!!!!!!!!!!!!WATU STAILI YAKO MIAK YA 1977 WALIKUWA WANTOSWA MTO KAGERA NA IDD AMIN DADAA
Nilitafuta kitu cha kucheka leo, nimepata
CDM huwezi kuwaona hapo kwa kuwa aliyekufa siyo mwenzao katika imani.