Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,183
Hivi Nape ana mke? Maana kutwa kucha kizurura na Kinana tu kupiga porojo.
kwanza atuambie baba yake halisi ni Nani wote twajua Nauye ni wakufikia tu.
Matusi hayasaidii...jifunzeni kuwa na heshima.Nilijua aliyezungumza ni mtu mwenye akili timamu kumbe ni Nape anajulikana kua ni mgonjwa wa akili.
Katika mambo yanayoshusha hadhi na heshima ya mtu ni pamoja na kuweka rehani ufahamu wako na ukaacha matamanio ya nafsi yatawale akili yako, kwa mimi na yeyote anayekujua anashangazwa na comment nyepesi kiasi hiki, ni kwa sababu moja kuu umeweka mahaba mbele katika hili.CCM nayo ifafanue haya kwa wananchi:
1. Ofisi za CCM Nchi nzima (wilaya na mikoa) zimeandaliwa land cruisers Mpya (Kilimo kwanza), Je fedha hizi ni ruzuku? Hapana, ni wizi wa Kodi za wananchi.
2. Ofisi za uvccm Nchi nzima zimeandaliwa Toyota Rav 4s mpya, je Fedha hizi ni ruzuku? Hapana, ni wizi wa kodi za wananchi.
3. CCM imejenga ukumbi wake Mpya wa mikutano Dodoma uliogharimu mabilioni Ya shillingi. Je, fedha hizi ni ruzuku? Hapana, mtuhumiwa wa kuhujumu uchumi (mfanyabiashara) ndiye aliyesaidia ujenzi huo. Hii ni Aibu katika kipindi hiki ambacho Akina nape wanajitapa kama majemedari wa vita dhidi ya ufisadi.
Itaendelea...
Hivi Nape ana mke? Maana kutwa kucha kizurura na Kinana tu kupiga porojo.
Nape amalizane kwanza na Lowasa.
watanzania tuwaogope wanaopewa masharti na wale wenye kale kmchezo kachafu ka kugezana