Nape amvaa Dr. Slaa

Nape amvaa Dr. Slaa

yaani leo nimecheka sana, kwa hii kauli ya nepi, sorry Nape. amevaa taulo halafu anataka uingia kwwenye mbio za mita mia.
 
Ujinga wa nepi mnyauwe katika kiwango chake pu.mb.vu
 
I usually talk straight, uchukie ukweli wangu, sio mm...kwani sio kweli Dr. Slaa kapora mke wa Mahimbo...!? Kwani sio kweli Dr. Slaa kaenda Ulaya kuomba fedha za uchaguzi..!? Kwani sio kweli Dr. Slaa kaisaliti ndoa yake na Rose Kamili na watoto kawatelekeza...!? Kwani sio kweli Dr. Slaa alikuwa padre akaachishwa baada ya kujulikana anafanya ufuska au uzinzi wakati yeye ni padre...!! Unajua kilichomwachisha upadre...!? Unajua ni vigumu mnoo mnooo mnoooooo kuachishwa upadreee....!!? Sasa nimekosa nn hadi useme siko timamu...!? Au naongea uongo..!? Nikupe namba ya Mwana mama Rose Kamili uongee nae ujue machungu anayopata katika maisha yake..!? Kamtesa sana mwanamke wa watu...Dr. Slaa ni janga....kwnn unafikiri juu juu tu...!!! Nasema kweli daima...!!!
kwa hiyo wewe na Tamko la Baraza la maaskofu kuhusu Slaa na upadre wake tukuamini wewe zaidi? Acheni utoto hasa mnapogusa masuala ya kiimani. Kuhusu hilo la kifamilia tuwaache wenyewe maana hata sie wengine tunayo yetu na tunamalizana wenyewe.
Sio kila tunalosikia kwenye familia za watu tuyachukulie kwa uzito na ndio maana yaliyosemwa kuhusu yule aliyeimba wimbo wa SEYA tunayapoteza tuu.
ila ukirudi kwenye post yako niliyo ku quote umeongea matusi yasiyostahili.
 
Pumba za Domokaya katika kufunika kombe mwanahalamu apite. Mwaka huu utaolewa sana Nnyabe Nnaule.
 
I usually talk straight, uchukie ukweli wangu, sio mm...kwani sio kweli Dr. Slaa kapora mke wa Mahimbo...!? Kwani sio kweli Dr. Slaa kaenda Ulaya kuomba fedha za uchaguzi..!? Kwani sio kweli Dr. Slaa kaisaliti ndoa yake na Rose Kamili na watoto kawatelekeza...!? Kwani sio kweli Dr. Slaa alikuwa padre akaachishwa baada ya kujulikana anafanya ufuska au uzinzi wakati yeye ni padre...!! Unajua kilichomwachisha upadre...!? Unajua ni vigumu mnoo mnooo mnoooooo kuachishwa upadreee....!!? Sasa nimekosa nn hadi useme siko timamu...!? Au naongea uongo..!? Nikupe namba ya Mwana mama Rose Kamili uongee nae ujue machungu anayopata katika maisha yake..!? Kamtesa sana mwanamke wa watu...Dr. Slaa ni janga....kwnn unafikiri juu juu tu...!!! Nasema kweli daima...!!!
Nimekudharau sana mkuu .
 
kwa hiyo wewe na Tamko la Baraza la maaskofu kuhusu Slaa na upadre wake tukuamini wewe zaidi? Acheni utoto hasa mnapogusa masuala ya kiimani. Kuhusu hilo la kifamilia tuwaache wenyewe maana hata sie wengine tunayo yetu na tunamalizana wenyewe.
Sio kila tunalosikia kwenye familia za watu tuyachukulie kwa uzito na ndio maana yaliyosemwa kuhusu yule aliyeimba wimbo wa SEYA tunayapoteza tuu.
ila ukirudi kwenye post yako niliyo ku quote umeongea matusi yasiyostahili.
mkuu hakuna haja na kuhangaika na mtu duni kama huyo , jikite kwenye uzi .
 
Nape yuko sawa: Viongozi wetu wa kisiasa iwe wa ccm au upinzani, wanapaswa kutueleza kwa ukamilifu pesa wanazopewa ma mataifa ya magharibi zina masilahi gani lwa vyama vyao na taifa letu.

Kwa nini kama wanapokea misaada isiwekwe wazi.

Kwa mtazamo wangu muda si mrefu tutawekewa vinaraka.
 
Aachane na Dr.slaa, mimi naona umuhim Atuambie inakuaje bajeti ya maendeleo inakua trilion 5 tu!na trilion 16 iwe matumiz ya ofis ikiwemo vitafunwa.
 
Nape ni janga la kitaifa. Chuki anazopanda yeye na mjomba wake membe ni anguko la taifa letu. Bahati mbaya chama changu Sisiem kimejaza viongozi wa kuokotekeza mtaani /vijiweni nape makonda na wengine wengi. Hivi kweli vyombo vyetu vya usalama vinatimiza wajibu wake sawasawa?
 
Katibu wa itikadi n uenezi wa chama cha mpinduzi (ccm) Nape Nnauye amemtaka katibu kuu wa chadema dr. Wilboard Slaa kuwaeleza Watanzania fedha ambazo amepewa na nchi za Ulaya kwa ajili ya uchaguzi mkuu na masharti yake ni yapi na asipoeleza CCM itayaweka bayana.

Nape alitoa kauli hiyo jana wakati akizungumza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyikakijiji cha Biharamulo mkoani Kagera amabapo alisema wanaushahidi wa masharti aliyopewa Dr. Sla kwa niaba ya chama chake na lengo za nchi hizo la kufanikisha uchaguzi mkuu

Alisema kabla ya kuanza kutumia fedha hizo ni vemaDr. Slaa akawaambia watanzania masharti gani amepewa ili wapime na kuona dhamira ya chama hicho kinyume CCM itaeleza kila kitu hatua kwa hatua na kutaja masharti yote amabayo Dr. Slaa amepewa na waliotoa fedha hizo

Akifafanua, Dr. Slaa yupo nchi za Ulaya na kilichompelek ni kutafuta fedha kwa ajili ya uchaguzi mkuu na tayari nchi kadhaa zimempa fedha tayari kwa kwa masharti ambayo lazima wayatekeleze na ccm tayari imepata masharti hayo, hivyo kabla ya kuwaambia Watanzania, Dr. Slaa aseme akishindwa hawatakaa kimya.

Alisem kwa sehemu kubwa fedha amabazo zimetolewa na baadhi ya nchi za ulaya kwa chadema hazina nia njema kwa Watanzania ndio maana wanataka Dr. Slaa awe mkweli kwa kueleza masharti gani aliyopewa.

Chanzo: jamboleo

June 16, 2015

Hapa mtu-mzima anatishiwa nyau. Kama kweli ana data azimwage ili tumjue vizuri dr au ...........
 
Nape...ajitathimini..dr.slaa siyo saiz yake ataaibika
Amesahau kinana alikimbia mdahalo pale Itv...na ndio wanamwona kichwa
 
Katibu wa itikadi n uenezi wa chama cha mpinduzi (ccm) Nape Nnauye amemtaka katibu kuu wa chadema dr. Wilboard Slaa kuwaeleza Watanzania fedha ambazo amepewa na nchi za Ulaya kwa ajili ya uchaguzi mkuu na masharti yake ni yapi na asipoeleza CCM itayaweka bayana.

Nape alitoa kauli hiyo jana wakati akizungumza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyikakijiji cha Biharamulo mkoani Kagera amabapo alisema wanaushahidi wa masharti aliyopewa Dr. Sla kwa niaba ya chama chake na lengo za nchi hizo la kufanikisha uchaguzi mkuu

Alisema kabla ya kuanza kutumia fedha hizo ni vemaDr. Slaa akawaambia watanzania masharti gani amepewa ili wapime na kuona dhamira ya chama hicho kinyume CCM itaeleza kila kitu hatua kwa hatua na kutaja masharti yote amabayo Dr. Slaa amepewa na waliotoa fedha hizo

Akifafanua, Dr. Slaa yupo nchi za Ulaya na kilichompelek ni kutafuta fedha kwa ajili ya uchaguzi mkuu na tayari nchi kadhaa zimempa fedha tayari kwa kwa masharti ambayo lazima wayatekeleze na ccm tayari imepata masharti hayo, hivyo kabla ya kuwaambia Watanzania, Dr. Slaa aseme akishindwa hawatakaa kimya.

Alisem kwa sehemu kubwa fedha amabazo zimetolewa na baadhi ya nchi za ulaya kwa chadema hazina nia njema kwa Watanzania ndio maana wanataka Dr. Slaa awe mkweli kwa kueleza masharti gani aliyopewa.

Chanzo: jamboleo

June 16, 2015

Katika masharti aliyopewa ni pamoja na kupambana na rushwa, kuwafikisha mahakamani mafisadi wote, kuwafilisi mafisadi na kurejesha mali za umma walizopora, ......Mengine nimesahau kidogo mnaweza muongezea mnaokumbuka ili tumsaidie Nape
 
Nepi ni nepi tu hata ikiitwa pampas, weka hapa jf huo mkataba tuone we simesema unaushaidi, unajua ni vigumu kujua mtoto mwenye nepi kama kaharisha au lah
 
Back
Top Bottom