BABU KIDUDE
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 1,587
- 918
Huyu nape vipi? Aseme kwanza wale wachina wanaojenga Lumumba pale wanania gani na masharti ni gani
duh! nyie watu noma? au wewe ndiyo yule jamaa wa kiume unayevaa pampus na na kutembea kwa mikogo ya kike wakati ndume?Kuna jamaa kanipa hiyo nyeti kuwa baada ya jaribio la yule Mlinzi wa Dr Slaa, aliyetegewa simu ili aonekane alitaka kumuua Dr, basi Josephinr akashauri wabadilishe na mpishi, jamaa akaniambia kuwa eti umeula..kwa sasa wewe ndio mpishi mkubwa nyumbani kwa Mama junior.
Huyu Slaa huyu atatuletea balaa...hivi kwanini asikamatwe afungwe.
Dr Slaa hawezi kujibizana na Nape ni Bwana mdogo sana.Nape saizi yako ni Lowassa..........
Lowasa yule anatetemeka mwili mzima kama mgonjwa wa kifafa hana uwezo wa kushinda na Dr.Slaa.Kisiasa BABU Slaa ni mtoto mdogo sana kwa LOWASSA. Mafuriko hayazuiliki kwa kiganja cha mkono, baada ya kitambo kidogo utafahamu maana ya neno hili.
Mkuu kichwa slaa kimechoka kweli hawezi kujibu hoja za nape kwa kuwa slaa kichwani mweupe kabisa hana anachojua zaidi ya kupanga mipango ya kuteka watu.Dr Slaa hawezi kujibizana na Nape ni Bwana mdogo sana.Nape saizi yako ni Lowassa..........
Slaa fisadi sana... kafisidi hadi mke wa mtu...!!! Sasa kaenda kupewa mapesa na makameroon sijui atalipaje...!!! Maana masharti yao hao makameroon wanakupiga kabaang...wallaah hatukubali huo mchezo mchafu...Noo..!!!
Naona unajifariji na ujingaKisiasa BABU Slaa ni mtoto mdogo sana kwa LOWASSA. Mafuriko hayazuiliki kwa kiganja cha mkono, baada ya kitambo kidogo utafahamu maana ya neno hili.
Huyo Babu Slaa akisikia jina la Nape, kombati inamvuka.
Wale majambazi wa Epa,Richmond na Escrow ndo wagombea uraisi kupitia ccm?Hivi Kesi ya SLAA kumteka, kumtesa na kumminya korodani bwana Khalid Kagenzi imefikia wapi?
Slaa akicheza hii kesi itamfunga.
Hivi Kesi ya SLAA kumteka, kumtesa na kumminya korodani bwana Khalid Kagenzi imefikia wapi?
Slaa akicheza hii kesi itamfunga.
Kwani sheria za Tanzania zinaruhusu kupokea fedha direct kutoka nje ya nchi kuja kwenye chama chochote cha siasa?.
Nape ana hoja zaidi taarabu hii inaonyesha kiasi wana ccm mlivyo weupe vichwani mwenu.Mkuu kichwa slaa kimechoka kweli hawezi kujibu hoja za nape kwa kuwa slaa kichwani mweupe kabisa hana anachojua zaidi ya kupanga mipango ya kuteka watu.
Mkuu kichwa slaa kimechoka kweli hawezi kujibu hoja za nape kwa kuwa slaa kichwani mweupe kabisa hana anachojua zaidi ya kupanga mipango ya kuteka watu.
Katibu wa itikadi n uenezi wa chama cha mpinduzi (ccm) Nape Nnauye amemtaka katibu kuu wa chadema dr. Wilboard Slaa kuwaeleza Watanzania fedha ambazo amepewa na nchi za Ulaya kwa ajili ya uchaguzi mkuu na masharti yake ni yapi na asipoeleza CCM itayaweka bayana.
Nape alitoa kauli hiyo jana wakati akizungumza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyikakijiji cha Biharamulo mkoani Kagera amabapo alisema wanaushahidi wa masharti aliyopewa Dr. Sla kwa niaba ya chama chake na lengo za nchi hizo la kufanikisha uchaguzi mkuu
Alisema kabla ya kuanza kutumia fedha hizo ni vemaDr. Slaa akawaambia watanzania masharti gani amepewa ili wapime na kuona dhamira ya chama hicho kinyume CCM itaeleza kila kitu hatua kwa hatua na kutaja masharti yote amabayo Dr. Slaa amepewa na waliotoa fedha hizo
Akifafanua, Dr. Slaa yupo nchi za Ulaya na kilichompelek ni kutafuta fedha kwa ajili ya uchaguzi mkuu na tayari nchi kadhaa zimempa fedha tayari kwa kwa masharti ambayo lazima wayatekeleze na ccm tayari imepata masharti hayo, hivyo kabla ya kuwaambia Watanzania, Dr. Slaa aseme akishindwa hawatakaa kimya.
Alisem kwa sehemu kubwa fedha amabazo zimetolewa na baadhi ya nchi za ulaya kwa chadema hazina nia njema kwa Watanzania ndio maana wanataka Dr. Slaa awe mkweli kwa kueleza masharti gani aliyopewa.
Chanzo: jamboleo
June 16, 2015
Dr Slaa hawezi kujibizana na Nape ni Bwana mdogo sana.Nape saizi yako ni Lowassa..........
Kweli Mkuu, yule Mzee hana achowaza cha maana chenye maslahi kwa nchi zaidi ya kutafuna ruzuku.