Nape amvaa Dr. Slaa

Nape amvaa Dr. Slaa

Huyu nape vipi? Aseme kwanza wale wachina wanaojenga Lumumba pale wanania gani na masharti ni gani
 
Kuna jamaa kanipa hiyo nyeti kuwa baada ya jaribio la yule Mlinzi wa Dr Slaa, aliyetegewa simu ili aonekane alitaka kumuua Dr, basi Josephinr akashauri wabadilishe na mpishi, jamaa akaniambia kuwa eti umeula..kwa sasa wewe ndio mpishi mkubwa nyumbani kwa Mama junior.
duh! nyie watu noma? au wewe ndiyo yule jamaa wa kiume unayevaa pampus na na kutembea kwa mikogo ya kike wakati ndume?
 
Huyu Slaa huyu atatuletea balaa...hivi kwanini asikamatwe afungwe.

Mkuu ilitakiwa mumfunge kwenye ile ishu ya list ya kutia kinyaa pale mwembe yanga, ila mafisadi walivyoufyata nikajua hapa wakubwa wamepewa za uso na wamezikubali.
 
Dr Slaa hawezi kujibizana na Nape ni Bwana mdogo sana.Nape saizi yako ni Lowassa..........

Kisiasa BABU Slaa ni mtoto mdogo sana kwa LOWASSA. Mafuriko hayazuiliki kwa kiganja cha mkono, baada ya kitambo kidogo utafahamu maana ya neno hili.
 
Kisiasa BABU Slaa ni mtoto mdogo sana kwa LOWASSA. Mafuriko hayazuiliki kwa kiganja cha mkono, baada ya kitambo kidogo utafahamu maana ya neno hili.
Lowasa yule anatetemeka mwili mzima kama mgonjwa wa kifafa hana uwezo wa kushinda na Dr.Slaa.
 
Hivi Kesi ya SLAA kumteka, kumtesa na kumminya korodani bwana Khalid Kagenzi imefikia wapi?

Slaa akicheza hii kesi itamfunga.
 
Dr Slaa hawezi kujibizana na Nape ni Bwana mdogo sana.Nape saizi yako ni Lowassa..........
Mkuu kichwa slaa kimechoka kweli hawezi kujibu hoja za nape kwa kuwa slaa kichwani mweupe kabisa hana anachojua zaidi ya kupanga mipango ya kuteka watu.
 
Slaa fisadi sana... kafisidi hadi mke wa mtu...!!! Sasa kaenda kupewa mapesa na makameroon sijui atalipaje...!!! Maana masharti yao hao makameroon wanakupiga kabaang...wallaah hatukubali huo mchezo mchafu...Noo..!!!

Hakuna jipya chini ya CCM eti.
 
Hivi Kesi ya SLAA kumteka, kumtesa na kumminya korodani bwana Khalid Kagenzi imefikia wapi?

Slaa akicheza hii kesi itamfunga.
Wale majambazi wa Epa,Richmond na Escrow ndo wagombea uraisi kupitia ccm?
 
Kwani sheria za Tanzania zinaruhusu kupokea fedha direct kutoka nje ya nchi kuja kwenye chama chochote cha siasa?.
 
Kwani sheria za Tanzania zinaruhusu kupokea fedha direct kutoka nje ya nchi kuja kwenye chama chochote cha siasa?.

Sheria inaruhusu mafisadi wa ccm kuweka pesa nje ya nchi?
 
Mkuu kichwa slaa kimechoka kweli hawezi kujibu hoja za nape kwa kuwa slaa kichwani mweupe kabisa hana anachojua zaidi ya kupanga mipango ya kuteka watu.
Nape ana hoja zaidi taarabu hii inaonyesha kiasi wana ccm mlivyo weupe vichwani mwenu.
 
Mkuu kichwa slaa kimechoka kweli hawezi kujibu hoja za nape kwa kuwa slaa kichwani mweupe kabisa hana anachojua zaidi ya kupanga mipango ya kuteka watu.

Kweli Mkuu, yule Mzee hana achowaza cha maana chenye maslahi kwa nchi zaidi ya kutafuna ruzuku.
 
Katibu wa itikadi n uenezi wa chama cha mpinduzi (ccm) Nape Nnauye amemtaka katibu kuu wa chadema dr. Wilboard Slaa kuwaeleza Watanzania fedha ambazo amepewa na nchi za Ulaya kwa ajili ya uchaguzi mkuu na masharti yake ni yapi na asipoeleza CCM itayaweka bayana.

Nape alitoa kauli hiyo jana wakati akizungumza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyikakijiji cha Biharamulo mkoani Kagera amabapo alisema wanaushahidi wa masharti aliyopewa Dr. Sla kwa niaba ya chama chake na lengo za nchi hizo la kufanikisha uchaguzi mkuu

Alisema kabla ya kuanza kutumia fedha hizo ni vemaDr. Slaa akawaambia watanzania masharti gani amepewa ili wapime na kuona dhamira ya chama hicho kinyume CCM itaeleza kila kitu hatua kwa hatua na kutaja masharti yote amabayo Dr. Slaa amepewa na waliotoa fedha hizo

Akifafanua, Dr. Slaa yupo nchi za Ulaya na kilichompelek ni kutafuta fedha kwa ajili ya uchaguzi mkuu na tayari nchi kadhaa zimempa fedha tayari kwa kwa masharti ambayo lazima wayatekeleze na ccm tayari imepata masharti hayo, hivyo kabla ya kuwaambia Watanzania, Dr. Slaa aseme akishindwa hawatakaa kimya.

Alisem kwa sehemu kubwa fedha amabazo zimetolewa na baadhi ya nchi za ulaya kwa chadema hazina nia njema kwa Watanzania ndio maana wanataka Dr. Slaa awe mkweli kwa kueleza masharti gani aliyopewa.

Chanzo: jamboleo

June 16, 2015

Nilijua aliyezungumza ni mtu mwenye akili timamu kumbe ni Nape anajulikana kua ni mgonjwa wa akili.
 
Dr Slaa hawezi kujibizana na Nape ni Bwana mdogo sana.Nape saizi yako ni Lowassa..........

Lowasa mwenyewe alimshindwa sembuse kwa gwiji na mtu mzito mwenye uadilifu wa hali ya juu kama Dr Slaa. Nape size yake ni kina Kibajaj na jah pipo.
 
Kweli Mkuu, yule Mzee hana achowaza cha maana chenye maslahi kwa nchi zaidi ya kutafuna ruzuku.

Kama Lowasa anavyo waza kuendelea kuwaibia watanzania hatutaki mafisadi ikulu tena .
 
Back
Top Bottom