Nape alinunua kadi za CHADEMA

Mkuu siku nyingine picha zenye kutia kichefuchefu kama hizo uwe unabandika usiku wa manane...wengine bado hatujala...

Inakutia kichefuchefu kwa lipi? Au kwa kuwa yeye ni toleo la zamani? shukuru Mungu kama wewe ni toleo jipya.
The unseen is illustrated by the seen.
 
Walishindwa tu kupeleka ambulance iwalete wagonjwa kutoa ushuhuda
 
SAM_2334.JPG
 
kuchakachu hawajaanza leo wana shahada za uchakachuzi hawa watu yaani magamba tabu sana
 

Attachments

  • shahada.jpg
    shahada.jpg
    51.6 KB · Views: 56
Mbona Mbowe hua anatembea na fuko la kadi za ccm kila anapokwenda...mlishamuuliza anakozitoa?
 
ama kweli tanzania inaenda wapi ukienda madukani unakutana na vitu feki.mabarabara feki. dawa feki. hata mkutano nao mnabumba? hiyo ndio tz
 
i was among the cdm card registrar and seller that day angalien kad yenye sahih truely it has my signature.ccm this wil nat promote you further
 
Guys tell me something. When do Tanzanians go to work? It seems to me that they have political meetings everyday. I wonder why we need foreign investors down there.
 
MKUU INJILI inaingiaje hapa? Ni kweli kwa Jina la YESU vipofu wanaona, viwete wanatembea, na watu wanafunguliwa. Btn, kama ndo mchezo alocheza Nape basi hesabu zimeungua!!!!! Kama wapo wanaojiita wahubiri wanacheza hivyo muda wao pia Mungu aliyeHAI atawaumbua wakati ukifika.
Kafanya mchezo kama ule tunaona kwenye mikutano ya injili VIPOFU KUONA,VILEMA KUTEMBEA ndicho nape alichofanya jana!kwa usawa huu wa mchele kilo sh 3000 nani ataipenda ccm?
 
Siku nyingi nimekuwa najiuliza, hivi chama hivi sasa hakina mtu wa mikakati na propaganda??, nasema hivi kwa sababu, hatua ambayo CCM wanafanya ya kutaka kujibu MAPIGO kila CDM wanapofanya shughuli zao, inaonyesha kwa kiasi kikubwa anakosa kina. ni cheap kwa kushangaza. Napenda kuwauliza walioandaa mkutano huu wa juzi, kwa nini walikurupuka? kwa nini wametumia agenda ya kupambana na Chadema? lakini kubwa zaidi ni hili la kukusanya kadi feki. Hii inanikumbusha kisa cha mbuni na kuficha kichwa wakati mwili wote uko nje. CCM nawashauri kubadilisha mikakati na hasa kutumia wataalaumu wanaoweza kusoma mazingira/hali na kuitafsiri katika mkakati]

Nimeshindwa kuelewa kama chama kikongwe kama CCM wanaweza fanya upuuzi wa kiwango hiki cha kuwabambika watu wenye kadi mpya na nyingi hazijaandikwa chochote kabisa eti ionekane wanachama wa vyama vya upinzani wamerudisha kadi za vyama vyao na kujiunga na CCM.

Picha hii ambayo ipo pia kwenye blog ya bwana michuzi inadhihirisha uhuni waliofanya kuwahadaa Watanzania.

View attachment 56011
[/QUOTE]

mimi nachoona kadi nyingi hapo ni za CCM B "NCCR" maana lao si moja!! wanajisumbua tu.
 
Ni kweli mkuu pia walitengenezesha nyingine ndio maana Nape alitaka zichomwe lakini kinana akakataa lakini hawezi kuzirudisha CDM wataumbuka


Kinana na Nepi wake ni mabwege ntozeni!

Hivi kwa hali halisi ilivyo kwa sasa CCM wanataka kumdanganya nani kwa faida yao? I think they're wasting their precious time which they can use to solve poverty and economic hardships faced by majority of Tanzanians. Ndiyo maana NEPI anaambiwa kila siku na vigogo wenzake ndani ya chama chao kwamba anaua chama.

CCM kama mna busara mtimueni huyo NEPI wenu maana ukweli ni kwamba chama chenu cha magamba anakikaanga!
 
SAM_2398.JPG SAM_2398.JPG

Hawa wananchi wa Mabwe Pande hawana tofauti na Wana wa Israel kule Jangwani walipotoka Misri.

Baada ya kupew Mana na nyama ya ndege walisema Tutamwabudu Mungu peke yake, na walipokosa kumuona Mussa walisema Mussa ametutosa na Mungu wake, hivyo tutengeneze Mungu wetu tukamuabudu = wakachonga sananu ya Mungu.

Hawa kwa sababu serikali imewapa viwanja vile vya dhuruma, wanasema eti jimbo la Kawe watalichukua!!!!!

Mshindwe na mregeeeeee Jimbo la Kawe lina wenyewe na hao ndio wafuasi na wanachama wa CDM.

Nyinyi toka mabondeni mmekuja mmekuta watu wanaishi hiyvo mgeni usitake kujifanya unajua kuliko mwenyeji.


Kule Jangwani mmekimbia Kaburi la CCM View attachment 56242


MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!
 
Hakika nashukuruni kwa kunijuza maana mwisho wao ndio umefika! wamedanganya vya kutosha na huyo mama wa Nyumba na ardhi sijui anafanya nini? anajigamba tu nimefanya UN habitat, nini cha maana kafanya huyo shomile? Ardhi kumeoza jamani nenda kafuatilie hati ya Kiwanja ndio utajua uoza wa watu wa radhi eti.
 
Kafanya mchezo kama ule tunaona kwenye mikutano ya injili VIPOFU KUONA,VILEMA KUTEMBEA ndicho nape alichofanya jana!kwa usawa huu wa mchele kilo sh 3000 nani ataipenda ccm?

Nafikiri hapa umevuka mstari. Sijui mkutano uliohuduhuria wewe, lakini mimi nimewhi kuhudhuria mikutano ambayo watu waliponywa na ni wazima hadi leo. Naweza kukupa contact zao ukacheck former medical records zao, ukawahakikisha hali zao za sasa na kujiridhisha. Naomba uni pm nitakupa ushahidi.
 
Kafanya mchezo kama ule tunaona kwenye mikutano ya injili VIPOFU KUONA,VILEMA KUTEMBEA ndicho nape alichofanya jana!kwa usawa huu wa mchele kilo sh 3000 nani ataipenda ccm?
waulizeni waliopitia kariakoo walizomewa balaaaaa ni kijani zao,halafu eti mkutani uliwahi kuisha ila wale waliofatwa morogoro wawahi kufika kwao.duh,bora kukosa pesa ukawa na akiri.nape nikilaza balaa.nani clasmte wake atupe historia??kinana ndo zoba kabisaaaaa,wasira yeye ni kichaa ametoroka milembe,alfu sikujua kama magufuli nae anakwashakoo ya mawazo.
masikini yule mama mti mkavu ndo zezeta wa mawazo,sijui alifundishwa atakachosema.kweli amewezeshwa.ila wawezeshaj ni vilaza.
 
Back
Top Bottom