Nape alinunua kadi za CHADEMA

Nape alinunua kadi za CHADEMA

watu kama unategemea wafanye nini?
wasira%252520chapa%252520usingizi%2525204%255B1%255D.jpg

Hii picha itamtafuna Wassira hadi anaingia Kaburini!

 
kuna tatizo la mabo magumu kuwa marahisi, kuna polisi, kuna takukuru, hii ni kazi yao kujua hii ni hujuma , prosecution inatakiwa kwenye suala hili si kuachia kupita.Ilitakiwa , kufuatilia walizipata wapi na kwa nani na kwa makusudi gani.najua ccm wataziba hili
 
"People who do and those who claim credit" TWO TYPE OF PEOPLE
Hon:TIBAIJUKA
 
Amefanya kile hata Chadema wanafanya, maana nao huwa wananunua kadi za CCm ili kuonyesha uma kuwa wanaCCm wamerudisha kadi.
The unseen is illustrated by the seen.
Nina uhakika 100% kwamba maelezo haya ni UONGO, kama mambo haya huwa yanafanyika Dar sijui, lkn hapa Mtwara CDM ilipiga ki ukweli kabisa mkuu, hakukuwa na sanaa..!
 
Ukwl huwa unauma, nyie ndio mjipange kwn hatutakubal ifikapo 2015 muwe wapinzan mfu, 2nataka nanyi 2wajenge ili pind CHADEMA itakapoingia ikulu nany muweze kutoa changamoto.

Japo unaota ila umeongea jambo hakuna mwana CDM including viongozi wenu anaweza kuwa na akili nzuri kama zako, maana wenyewe wako bize kutaka kuuwa hata hvyo vyama vya upinzani vilivyopo.
 
Kafanya mchezo kama ule tunaona kwenye mikutano ya injili VIPOFU KUONA,VILEMA KUTEMBEA ndicho nape alichofanya jana!kwa usawa huu wa mchele kilo sh 3000 nani ataipenda ccm?

Je unamfahamu yeyote kati ya hao walio jifanya vipofu nk? Hali yake kabla ilikuwaje? Thibitisha hayo.
 
mie naona hata kadi za CCM zipo hapo pia
 
Amefanya kile hata Chadema wanafanya, maana nao huwa wananunua kadi za CCm ili kuonyesha uma kuwa wanaCCm wamerudisha kadi.
The unseen is illustrated by the seen.
Lakini kwa Hilo umepotea step. Kwa CHADEMA, wanaojitoa CCM wanatangazwa na kujisemea wenyewe ushuhuda wao, lakini hawa tunaoambiwa eti wamejitoa CHADEMA na kujiunga CCM kwa kurudisha kadi basi wataje angalau namba za kadi zilizorudishwa hata Kama hawatataja majina. Huu siyo usanii bali ni hadaa tupu. CCM mnazidi kuumbuka.
 
chama kilichoshika dola na kujiamini hakipaswi kuweweseka,ccm in tatizo gani kama sio imechoka toka juu ahdi chini
 
Lakuvunda halina ubani mbinu zao mbaya zina mwisho.
 
aaaa! mabasi yote haya, mimi sisemi kitu maana ccm inajipendekeza kwa watu ili waonekane wana huruma sana kumbe ni mafisadi utaona tu wafidia kwenye bajeti
 
hizo card zote hamna hata moja ya chadema yenye sticker ya kung'aa. hata nyingine zilikuwa hazija jazwa sehemu ya majina wala hazina sahihi wala mhuri. zote hizo fake. Mia
 
Back
Top Bottom