Head teacher
JF-Expert Member
- Mar 10, 2012
- 1,796
- 411
R.i.p nyinyiem
Siyo mazuzu tu, ni mataahira pia.
kadi zenyewe mpyaaa....
Acheni kuweweseka, atleast jipangeni mje na uongo mmoja kuliko kila siku mara kadi feki, zimeibiwa. Nape mwib
Nimeshindwa kuelewa kama chama kikongwe kama CCM wanaweza fanya upuuzi wa kiwango hiki cha kuwabambika watu wenye kadi mpya na nyingi hazijaandikwa chochote kabisa eti ionekane wanachama wa vyama vya upinzani wamerudisha kadi za vyama vyao na kujiunga na CCM.
Picha hii ambayo ipo pia kwenye blog ya bwana michuzi inadhihirisha uhuni waliofanya kuwahadaa Watanzania.
View attachment 56011
kama unavyosema ni kweli..mpango huu hautafanikiwa kwani benki hazitoi mikopo kwa kufuata itikadi za vyama...kila mtanzania ana haki ya kupata mkopo kutoka katika benki yoyote..bila kuangalia ametoka chama gani...na masharti ya mikopo hayaangalii vyama.....CCM HAWAACHI KUOTA MCHANA KWEUPE,KATIKA KAMPENI ZAO ZA KUWAPUUZA WATANZANIA WAMEANDAA ULAGHAI MWINGINE ILI WAPATE KURA ZA WAPUMBAVU.
1.KUANZISHWA BENKI YA WAKULIMA
2.KUANZISHA BENKI YA VIJANA
KATIKA UANZISHWAJI BENKI HIZO SERIKALI INA MPANGO WA KUWAHADAA WATZ KWA KUWAAMBIA WATAWAKOPESHA MIKOPO YENYE RIBA NAFUU,KUANZIA MILLION 1MPAKA 15.LAKINI KATIKA UOMBAJI HUO UNAHUSISHA WAJUMBE WA NYUMBA KUMI KAMA MAWAKALA WAO ILI UPATE MKOPO,CHA KUCHEKESHA ZAIDI INAAMINIKA CCM IMEJIPANGA KUTUMIA KITAMBULISHO CHA URAIA NA HASA CHA KUPIGIA KURA KAMA MTAJI WA KUWAPATA HAO WALENGWA.NA KUHAKIKISHA WANAOCHUKUA MIKOPO WOTE WATAIPIGIA CCM UCHAGUZI KUANZIA UDIWANI WA 2014 NA UCHAGUZI MKUU 2015.LAKINI WAJUMBE WENGI WANA WASIWASI KUWA VIJANA WALIO WENGI WAMEELEVUKA SANA NA WATAKULA PESA ZAO NA KUWAPIGIA WAPINZANI.CCM ILITUMIA MKUTANO WA JANGWANI KAMA KIPIMA JOTO SASA WAMEANZA KUINGIWA NA WASIWASI MAANA MKUSANYIKO ULE HAUKUKAMILIKA BILA YA PESA SASA WANAJIULIZA BILA VIKINDI VYA SANAA KWELI WATAKUBALIKA,MJUMBE ALIYE KARIBU NA NAPE KASEMA CHADEMA INAWANYIMA USINGIZI KULIKO HATA MAGONJWA YA WAZAZI WAO AU WANANDOA WAO.
BINTI MREMBO LUMUMBA CCM:confused2:
please please...kama kuna watu wa magazeti makini humu (e.g TZ daima au Mwananchi) wapeni hizi picha waweke kwenye front page ya magazeti yao kesho ili kila mtanzania aliyekuwa anaangalia TV jana na kuhadaika aone ushenzi huu wa kipumbavu unaofanywa na hawa ccm....hii ndo njia pekee ya kupambana na upuuzi kama huu...yaani kuuanika hadharani kwa umma wote kuona....maana watazitumia tena hizi kadi kwenye mikutano yao kuhadaa umma(wameshasema jana haikuwa mwisho).....hivyo tafadhali watumieni wahariri wa magazeti hizi picha waweke kwa front page za magazeti yao...kama walivyofanya walipomweka wassira akipiga usingizi bungeni na ikawa funzo kwake......hii ndo dawa pekee ya kupambana na hila.....
wewe ndio zuzu namba moja mbona hamkuwahi kulalamika? au ndio yale ya kuiga kila kitu cha cdm? mmebakia kuiga kuwa chama cha upinzani!!
Kwenye post kama hizi ni vigumu kuwaona akina ritz,rejao,mafilili,niko hapa,watu8,na wale wenye tatizo kama lao
Mkuu
magazeti makini nayo yamepungua sana, labda mwanahalisi
Subiri tuone