Nape alinunua kadi za CHADEMA

Tanzania ya Leo hakuna kijana angethubutu kujiunga na chama ambacho kipo hoi. Watu wapo makini sana.
 
Hivi kadi zinawasumbua? Kila chama cha siasa huwa kinatumia kadi za wapinzani wao kupiga propaganda. Nilikuwa kwenye chama fulani miaka ya nyuma kwenye mikutano tulikuwa tukipanga vijana wetu maeneo tofauti tofauti pale uwanjani na wanarudisha kadi ambazo ni fake ili kuwavuta watu. Kwa hakika katika kufanya hivyo walipatikana wanaorudisha kadi ki ukweli. Hizo ndizo siasa wala msihangaike na watu kurudisha kadi; uongo huwa mwingi kuliko ukweli.
 
kadi zenyewe mpyaaa....

Mie nilikuwepo mkutano wa cdm,kadi za ccm zilizorudishwa ni za zamani ambazo zimechakaa,lkn hizi za jangwani jana ni kweli zote mpyaa nyingine hazina majina kabisa,hazina hata hologram!! Ccm wamechemka!!
 
Acheni kuweweseka, atleast jipangeni mje na uongo mmoja kuliko kila siku mara kadi feki, zimeibiwa. Nape mwib

Ukwl huwa unauma, nyie ndio mjipange kwn hatutakubal ifikapo 2015 muwe wapinzan mfu, 2nataka nanyi 2wajenge ili pind CHADEMA itakapoingia ikulu nany muweze kutoa changamoto.
 
Mkuu Kodemu kwa hiyo kwenye post yako ya kwanza unachotaka kusema ni kwamba siku CDM wanafanya mkutano walivuna wanachama fake na jana CCM wakarudisha wanachama wao au siyo? Hivyo ngoma drooo au? Hiyo yote ni michezo ya kisiasa. Wageni kwenye siasa ndio mnashangaa haya. Mwanzoni wakati tunaanzisha vyama vya siasa tuliitumia sana mbinu hii kuonyesha kwamba tunavuna wanachama toka CCM. Ila kuna wakati mbinu hiyo hizaa matunda kwa kuwa kwenye msafar wa mamba unakuta na kenge na mijusi wamo; unavuna.
 
Last edited by a moderator:
Nimeshindwa kuelewa kama chama kikongwe kama CCM wanaweza fanya upuuzi wa kiwango hiki cha kuwabambika watu wenye kadi mpya na nyingi hazijaandikwa chochote kabisa eti ionekane wanachama wa vyama vya upinzani wamerudisha kadi za vyama vyao na kujiunga na CCM.

Picha hii ambayo ipo pia kwenye blog ya bwana michuzi inadhihirisha uhuni waliofanya kuwahadaa Watanzania.

View attachment 56011

Duh! hii ni mbombonyafu!.
 
CCM HAWAACHI KUOTA MCHANA KWEUPE,KATIKA KAMPENI ZAO ZA KUWAPUUZA WATANZANIA WAMEANDAA ULAGHAI MWINGINE ILI WAPATE KURA ZA WAPUMBAVU.
1.KUANZISHWA BENKI YA WAKULIMA
2.KUANZISHA BENKI YA VIJANA
KATIKA UANZISHWAJI BENKI HIZO SERIKALI INA MPANGO WA KUWAHADAA WATZ KWA KUWAAMBIA WATAWAKOPESHA MIKOPO YENYE RIBA NAFUU,KUANZIA MILLION 1MPAKA 15.LAKINI KATIKA UOMBAJI HUO UNAHUSISHA WAJUMBE WA NYUMBA KUMI KAMA MAWAKALA WAO ILI UPATE MKOPO,CHA KUCHEKESHA ZAIDI INAAMINIKA CCM IMEJIPANGA KUTUMIA KITAMBULISHO CHA URAIA NA HASA CHA KUPIGIA KURA KAMA MTAJI WA KUWAPATA HAO WALENGWA.NA KUHAKIKISHA WANAOCHUKUA MIKOPO WOTE WATAIPIGIA CCM UCHAGUZI KUANZIA UDIWANI WA 2014 NA UCHAGUZI MKUU 2015.LAKINI WAJUMBE WENGI WANA WASIWASI KUWA VIJANA WALIO WENGI WAMEELEVUKA SANA NA WATAKULA PESA ZAO NA KUWAPIGIA WAPINZANI.CCM ILITUMIA MKUTANO WA JANGWANI KAMA KIPIMA JOTO SASA WAMEANZA KUINGIWA NA WASIWASI MAANA MKUSANYIKO ULE HAUKUKAMILIKA BILA YA PESA SASA WANAJIULIZA BILA VIKINDI VYA SANAA KWELI WATAKUBALIKA,MJUMBE ALIYE KARIBU NA NAPE KASEMA CHADEMA INAWANYIMA USINGIZI KULIKO HATA MAGONJWA YA WAZAZI WAO AU WANANDOA WAO.
BINTI MREMBO LUMUMBA CCM
:confused2:
kama unavyosema ni kweli..mpango huu hautafanikiwa kwani benki hazitoi mikopo kwa kufuata itikadi za vyama...kila mtanzania ana haki ya kupata mkopo kutoka katika benki yoyote..bila kuangalia ametoka chama gani...na masharti ya mikopo hayaangalii vyama.....
 
watu kama unategemea wafanye nini?
wasira%252520chapa%252520usingizi%2525204%255B1%255D.jpg
 
Yan ni kiangalia card yangu na card za hapo juu, yani inabidi nicheke na kumuonea huruma wassira na nape.

Nawaomba nyinyiemu wajaribu kumpa binu nape za kudanganya watu hizi anazo tumia kwakweli ni njia za watoto.
 
please please...kama kuna watu wa magazeti makini humu (e.g TZ daima au Mwananchi) wapeni hizi picha waweke kwenye front page ya magazeti yao kesho ili kila mtanzania aliyekuwa anaangalia TV jana na kuhadaika aone ushenzi huu wa kipumbavu unaofanywa na hawa ccm....hii ndo njia pekee ya kupambana na upuuzi kama huu...yaani kuuanika hadharani kwa umma wote kuona....maana watazitumia tena hizi kadi kwenye mikutano yao kuhadaa umma(wameshasema jana haikuwa mwisho).....hivyo tafadhali watumieni wahariri wa magazeti hizi picha waweke kwa front page za magazeti yao...kama walivyofanya walipomweka wassira akipiga usingizi bungeni na ikawa funzo kwake......hii ndo dawa pekee ya kupambana na hila.....

attachment.php


Mkuu
magazeti makini nayo yamepungua sana, labda mwanahalisi
Subiri tuone
 
Mkuu
magazeti makini nayo yamepungua sana, labda mwanahalisi
Subiri tuone

Mkuu kipindi hiki watu wengi wamekuwa waelewa sana. hata vijijini wameshakataa kuonyeshwa picha za Rambo (za kivita) kipindi cha kuelekea uchaguzi.

So hili haliitaji ushaidi ili wananchi waelewe kuwa ni sanaa za ccm. Hilo la kadi feki na wanachama feki lilitarajiwa. jamaa ni ma bingwa wa kuchakachua eg. karatasi feki za kupigia kura.
 
Mbinu hizo ni matokeo ya kutoka usingizini na kudhani hawaoni kuwa ulikuwa unakoroma
 
Back
Top Bottom