Ndugu wana jf,
Napenda niwape taarifa ambazo nimezipata kwa rafik mkubwa sn na Nape. Siku ya mkutano wa CHADEMA pale Jangwani, Nape alikuwa ameandaa vijana na kuwalipa ili waendee kwny mkutano wa chadema wakachukuwe kad. Nape aliwaagiza vijana hao wahakikishe wanapata kad za chadema ili siku nao wakiandaa mkutano wao waweze kujigamba na kuwahadaa wananch kuwa kuna kad za chadema zimerudishwa.
Kama huamin jaribu kuangalia kadi zilizorudishwa kwny registration yake ni tarehe ya siku chadema iliyofanya mkutano wake.
Nawasilisha!
Napenda niwape taarifa ambazo nimezipata kwa rafik mkubwa sn na Nape. Siku ya mkutano wa CHADEMA pale Jangwani, Nape alikuwa ameandaa vijana na kuwalipa ili waendee kwny mkutano wa chadema wakachukuwe kad. Nape aliwaagiza vijana hao wahakikishe wanapata kad za chadema ili siku nao wakiandaa mkutano wao waweze kujigamba na kuwahadaa wananch kuwa kuna kad za chadema zimerudishwa.
Kama huamin jaribu kuangalia kadi zilizorudishwa kwny registration yake ni tarehe ya siku chadema iliyofanya mkutano wake.
Nawasilisha!