Nape aja na Tuhuma nzito dhidi ya CHADEMA

Nape aja na Tuhuma nzito dhidi ya CHADEMA

nape tafuta baba yako kwanza ndo uje kuongea hapa..
 
Kufanya siasa za kawaida sik hizi haiilipi ccm, masingiziano n fitina umekuwa mbadala..
 
Changa la macho kuficha tuhuma za kumfungulia Lissu kesi...yaani kwa namna CCM walivochokwa!hata waseme nini...mikutano yao inajaa watu wanaosombwa kwa malori,wakati Chadema watu waenda kwa hiyari
 
Josephine Mushumbusi anamfanya Dr.Slaa awe too desperate.

Siasa za mauaji hazifai...
 
CHADEMA wana mbinu za hatari sana zenye kuhatarisha amani na usalama wa nchi, wanadhani upuuzi wao huu utawapa tu umaarufu? hii ni dhambi ya mauaji ya kukusudia, kamwe haipotei. CHADEMA kumbukeni malipo ni hapa hapa duniani kabla ya kwenda kutiwa moto wa kudumu kwa dhambi zenu hizi.
 
Ifike mahara ccm wakubali mabadiliko mbona KANU walikubali baada ya kusoma alama za nyakati.
 
Katibu mkuu wa itikadi na uenezi wa CCM, NAPE Hnauye amesema kuwa kumekuwepo na mipango inayoratibiwa na CHADEMA kwa takribani mwezi mmoja sasa ya kufanya maandamano ambayo yataambatana na mauaji dhidi ya askari polisi na WAnanchi katika mji wa MAKAMBAKO na maeneo mengine huku nape akiwasihi watanzania wanaoishi maeneo ambayo CHADEMA watafanya maandamano kuchukua tahadhari.

Source: Mtanzania la leo 2/6/2013

ccm acheni utoto, wananchi msitufanye watoto wasio na tafakuri juu ya mambo yanavyo endelea.

Mwigulu alikuja na isue ya ugaidi wa Lwax,mkatengeneza mkanda wa aibu.mlikuwa mnatengeza mazingira ya kufanya unyama mlioupanga wa kunyofoa meno kucha na macho ya watu wasio na hatia ili watu waamini kwamba ni chadema. Sasa mnakuja na hili jipya, ni kama ya mwigulu. Mko tayari kufanya lolote ili mbaki madarakani, mnadhani nyny ndo mlioandikiwa na mungu kuongoza nchi hii?

Msidanganye watu kwa uongo unaotangulia kuandaa mazingira ya ujambazi wenu juu ya wananchi.

Mbona mmechanganyikiwa hivo?
Sijui kama bado mnakwenda misikitini na makanisani kweli kwa dhati maana sasa mnaonekana kabisa mnaongozwa na shetani.
Au ndo mmeamua kumsujudia shetani ili awape vyooote chini ya dunia pamoja na watu wake?
Mtadanganya sana
mtaua sana
mtafunga watu kwa uongo sana
lakini mwisho utafika na mtaondoka kwa aibu.
Nape, Muogopeni Mungu kwani hata shetani anamuogopa sana.
 
Hii habari imeenea sana vyo vikuu tangu siku nyingi na inaonekana CCM ndo wanaipata leo, na inasemekana na mambo ya kweli, kwa wale ambao hamshabikii mambo kuna haja ya kuchukkua tahadhari kuliko kutanguliza ushabiki.

umbea tu.............
 
CCM wamebaki kufanya siasa za kujihami zaidi kutokana na kibano wanachopata badala ya kujikita kwenye kupanga mikakati na namna ya kutekeleza ahadi lukuki walizozitoa kwa wananchi mwaka 2005 na 2010.
 
Maalezo ya Nape ni kwamba anafanya kazi ya uenezi kwamba Chadema ni chama kilichoshikillia dola na ccm ni wapinzani wanaoshikilia nafasi ya kuilalamikia chadema.
What a nice move for Chadema!
.
 
Nadhani nape hana hadhi tena ya kuongea na binadamu timamu,huenda kuna siku ataongea upuuzi wake na nyasi kwani hana jipya ,ccm wanabahati mbaya kuwa na watu aina ya nape. Yani anazidi kupoteza imani ya ccm kwa watanzania ,badala ya kuongelea kero za watanzania kama chama tawala anaongelea uzushi,
 
Wakati mko busy kuishughulikia CDM muungano ndo huo unavunjikia mikononi mwenu.. 2015 CCM nayo kusambaratika mikonononi mwenu.. Ama kweli JK atakumbukwa kwa njia maalum.. Ya Mikhael Gorbachev..
 
Nape bana, anafikiri huko aliko ni mbali sana, na watu huko hawaelewi kuwa Kamuhanda ni Policcm, huyu ndir aliyeuwa mwandishi wa habari.
 
too low....wananchi siku hizi wanaakili, tofauti na zamani
 
nape kama wewe ni mkristo ujue kabisa ukimfanyia mwenzako fitana nawe utaanguka kwa fitina ...kwa fitina hizo za ktunga tambua kabisa anguko lako limekearibia
 
Kila njama wanazopanga zinatibuliwa sasa wameona waanze kujitibua wenyewe.
 
Inashangaza kusikia Nape anasema Chadema ni genge la watoa kucha. Anadhani kuna Watanzania wataamini kuwa ni Chadema ndio walimtoa kucha Ulimboka? Mbona IGP alisema ni swala la Usalama Wa Taifa?

Nadhani kama Kinana amekwenda kukutana na Nchimbi basi kuna mkakati wa kutumia vyombo vya dola kuwakamata viongozi wa Chadema.

Fujo zote alizotaja Nape zilianzishwa na Polisi, na mauaji yalifanywa na polisi. Yaani Nape anataka kusema ni Chadema ndio walimpiga bomu Mwangosi?

CCM inazidi kujidhalilisha mbele ya macho ya Watanzania.
 
Wakati mko busy kuishughulikia CDM muungano ndo huo unavunjikia mikononi mwenu.. 2015 CCM nayo kusambaratika mikonononi mwenu.. Ama kweli JK atakumbukwa kwa njia maalum.. Ya Mikhael Gorbachev..
Muungano ukivunjika kutakuwa na CCM-Tanganyika, CCM-Unguja na CCM-Pemba.
 
Mambo ya RWANDA yalianza hivi hivi, nilisha sema Tanzania siyo kisiwa - kwani vyama hivi vikigizungumzia sera zao za kweli na kila chama kionyeshe wazi wazi tofauti zao za kisera ni zipi hasa, hicho ndicho raia wako interested kujuwa, lakini tukianza kijikita katika kuzungumzia horror FILMS masaa yote - watu wanye akili zao timamu wataanza kututilia mashaka sana.

Hivi kuna chama chochote ambacho kinaweza kuhandaa mikutano ambayo inaweza kukifanya kifungiwe/kufutwa maisha?? Mambo mengine tijaribu kuwa makini wakati mwingine i.e kauli zetu zinaweza wakati mwingine zika-backfire tikajikuta tunajidhalilisha au Taifa letu likajikuta linajivunjia heshima au kutengwa Kimataifa kutokana na kutotafakali mambo kwa umakini zaidi, nalisema hili kwa nia njema tu. Jamani tusifike HUKO - mimi ndio ushauri WANGU.
 
Wewe Nape maneno mengine unahangaika bure sema haya ya chini ndipo wanainchi watakuelewa vizuri

By ebaeban katika ziala yenu ya majukwaani mkoa wa njombe pambaneni na chadema kisayansi bahati nzuri mtakutana na mwenzenu mzoefu deo filikunjombe, kamwe msiitete serikali kama inakosea na wala mda mwingi msiutumie kuitaja taja chadema. Waelezeni wanainchi maana ya:


  1. maisha bora kwa kila mtanzania sera hii ya ccm ni nzuri sana ikitekelezwa ipasavyo ila chama kinakwamishwa na watumishi wasiowaaminifu wa halimashauri zipatazo 136, maana wanakwiba hela zote zinazotumwa katika halimashauri zao ili kutekeleza miradi ya maendeleo, hii ni fursa nzuri kwenu(kinana, nape ) kuwasisitiza madiwani wasimamie vizuri hela za miradi, waambieni madiwani wawaangalie sana watendaji na wahoji hizo nyumba na magari wanayonunua.
  2. pia ni fursa kwenu kuwaambia wanainchi jinsi serikali yao inavyoshghurika na kudhibiti mfumko wa bei kwani nao ni kikwzo katika utekelezaji wa sera ya maisha bora kwa kila mtanzania
  3. kwamwe msijihusishe na matusi hasa wewe nape mambo yako ya kusema eti chadema ni nguruwe kamwe wanainchi hawawezi kukuelewa na ndo utalikoroga kabisaaaa
  4. pia waelezeni wanainchi jinsi serikali yao inavyojishughulisha na kupiga vita masuala ya rushwa ambayo imeshamili kiasi taasisi nzima kama bunge linahongwa.


mwisho waelezeni wanainchi namana serikali yao inavyoshughurika na wale wanaofuja raslimali ya taifa kama majangili wanaouwa tembo na kusafirisha vipusa, masuala ya kusaini mikataba mibovu ya kinyonyaji na wale wanaotorosha hela na kuweka banki za inje wote hawa wanakwamisha utekelezaji wa sera ya maisha bora kwa kila mtu.

Mukisema yote haya majukwaani bila matusi hakika chadema kwisha na tegemeeni kuvuna kadi nyingi sana toka upinzani,

nawatakia kazi njema

ebaeban
tel.aviv.
 
Back
Top Bottom