Makala Jr
JF-Expert Member
- Aug 25, 2011
- 3,395
- 1,112
Tangu lini Nape aishiwe tuhuma dhidi ya CHADEMA wakati analipwa kupitia tuhuma, Mwenyekiti wake ndiye Amiri jeshi mkuu kwanini hamwambii ili wahusika wachukuliwe hatua? Anapiga domo ili kuwatisha wananchi wasihudhurie mikutano ya CHADEMA kwa shutuma za uongo na porojo za kipuuzi zinazodhalilisha vyombo vya usalama.Hivi walimpaje cheo huyu?