Nape aja na Tuhuma nzito dhidi ya CHADEMA

Nape aja na Tuhuma nzito dhidi ya CHADEMA

Wananchi wameshaamka!wangekomalia kumaliza ahadi walizoahidi ambazo hazitekelezeki!badala kuomba huruma toka kwa wananchi!acha wananchi wataamua wenyewe chama makini ni kipi!wanajichanganya sana kwa wanavyopoteza muda na nguvu nyingi kupambana na CDM badala na ahadi zao!wasubiri kupoteza viti vingi sana sana!
 
Akaripoti polisi huyo Nepi kama ana uhakika na hili. Vinginevyo ni ccm wanapanga kufanya mauaji kama ilivyo kawaida yao ili wawasingizie CDM


Kweli CCM wamechoka na itakuwa Ufala kwa mtu yoyote mwenye akili timamu kuamini maneno kama hayo.

Yaani chama kinachoendesha dola kinapanda jukwaani kulalamika badala ya kupanda Jukwani kutangaza kuwa wamewakamata wapanga njama ya kuleta vujo na kuwapeleka Mahakamani kwenye haki.

Wasiwapotezee wananchi muda wa kuhangaikia mlo wa siku huko wao wakila na kusaza kwa Jasho la walalahoi.



Katika mkutano huo, Nape alisema kuwa kumekuwa na mipango inayoratibiwa na CHADEMA kwa takribani mwezi mmoja sasa ya kufanya maandamano ambayo yataambatana na mauaji dhidi ya askari Polisi na wananchi wa mji huo na maeneo tofauti.
 
Tabia na hila walizowafanyia CUF na NCCR katu ujinga huo CHADEMA hawawezi kuukubali
 
Duh, hii inatia hofu. Kwa nini vyama visiendeshe siasa safi kwa manufaa na mstakabali wa Taifa.

Kuna faida gani kupata madaraka kwa njia za kishetani?.

Why they are so desperate for power?.

kwani hawafahamu kama nchini kuna demokrasia ya kupata viongozi kwa njia ya kura?.

why all this?. Why, why, why?.

Unapoandika haya una uhakika na Taarifa Hii? na itakapokuja gundulika kuwa sio kweli haya uliyoyaandika utayapereka wapi?
 
Swali la Mashaka ! MwanaDiwani , thatha na Jicho la 3 ni ndugu ?
 
na watahaha sana magamba. Matumbo yanawachemka, kiti cha moto, madaraka matamu lkn mwishowe watayatema tu. Mtanzania wa leo hadanganyiki ng'o!
 
Nafasi aliyokabidhiwa Nape ni kubwa mno, haimudu, ukilinganisha na historia ya elimu yake pamoja na ufahamu wake. CCM rasilimali watu imewaishia kiasi cha kukabidhi majukumu mazito kama haya kwa watu wepesi kama Nape au!!?
 
lengo limejulikana ni kuwatisha wananchi wasihudhurie maandamano na mikutano ya cdm.kaazi wanayo
 
Mleta habati abadilishe kichwa cha habari. Nape hajawahi kuibua tuhuma bali hutangaza majungu. Kichwa cha habari kingekuwa, 'Nape atangaza majungu mengine'

mbona umbea tu..................M4C inawachanganya CCM
 
Kweli CCM wamechoka na itakuwa Ufala kwa mtu yoyote mwenye akili timamu kuamini maneno kama hayo.

Yaani chama kinachoendesha dola kinapanda jukwaani kulalamika badala ya kupanda Jukwani kutangaza kuwa wamewakamata wapanga njama ya kuleta vujo na kuwapeleka Mahakamani kwenye haki.

Wasiwapotezee wananchi muda wa kuhangaikia mlo wa siku huko wao wakila na kusaza kwa Jasho la walalahoi.

Mkuu andiko hili limekaa kipropaganda zaidi na lengo kubwa inawezekana kabisa Maandamano waliyokuwa wakiyafanya CDM yalikuwa na impact inayoijenga CDM hivyo kwa andiko la Tuhuma hizi ni moja kwa moja CDM hawatafanya maandamano hayo kama kweli waliyapanga na hivyo kwa upande wa CCM watakuwa wamefanikiwa kusitisha maandamano hayo.
 
Bado CCM wanaendelea na makosa yaleyale! Ni vyema wakatumia muda wao kujielekeza kwa wananchi na matatizo yao!
 
Huyu Nape Nnauye ni mliberali na mpangamaujaji tu kisha kusingizia wengine hana lolote. Amekua kama pepo na mwenzake Mwigulu wanatumwa bila kujua impact ya wanachofanya, ila mwisho wao umekaribia na uzandiki wao utaisha
 
Kuna siku moja nikiwa chuoni pale UDSM nilisikia kada muumini mmoja wa CHASO akisema kuwa yeye ni chadema damu, lakini mbinu wanazoziandaa za kuwahandaa watanzania zinaweza kuhatarisha amani ya nchi. Inawezekana mbinu zenyewe ndo hizi nini? ee mungu tuepushe na balaa hili.

Jichola3, Kinana, Nape, Nchimbi wote mnafikiri kwa kutumia ubongo wa FISH! Si kuna majeshi ya ulinzi na usalama wa raia kwanini wasiyatumie hayo kama kuna hizo njama? Ikulu ilimtesa Ulimboka hamjalidhika, Mkamuua Mwangosi bado hamjaridhika! Kibanda mmetoa JICHO (nafikiri ndilo hilo wewe umejiongezea na kuwa nayo matatu!!) bado hamjaridhika!! Sasa bado manatuletea matapishi yenu hapa?? Hao TISS, POLISI kazi yao nini??
 
Kweli unatia huruma hivi katika maandamano ya Chadema wewe kama msomi nani anaua raia??Hapa ondoa mambo ya siasa na ushabiki usio na maana nani kauwa raia Arusha,Morogoro na Iringa??Hapa huhitaji Master au kuwa msomi.Je kama mikutano na maandamano ya Chadema italindwa vizuri na Police wasiingilie na kuripua mabomu na risasi za moto kweli kutatokea mauaji?Je maandamano na mikutano iliyofanya na Chadema pasipo kuingiliwa na Police kulitokea vifo???Kwenye picha ya mauaji ya mwandishi wa habari uliwaona wanachama wa Chadema wakimshambulia Daud Mwangosi???Mbona tunapenda kudanganyana bana,Hii habari ya Nape mbona atakuwa ameongelea chama chake CCM kwani wao si ndio wanatumia Police kukandamiza Demokrasia au Nape anataka kuwaona wananchi wajinga?Kama Chadema ndio wanang'oa watu kucha na kuuwa waandishi wa habari kwa nini wasiwakamate wakati wanawafahamu nkuwa ndio wauaji?Mbona Dr Ulimboko alimtaja ofisa wa Ikulu na hadi leo hajahojiwa pia Dr Ulimboka mwenyewe hajahojiwa hapa kuna nini?Je serikali na vyombo vyake vya dola inawalinda Chadema??Amka/amkeni Watanzania CCM inawahadaa kila kukicha na nyie mnazidi kulala ooh!!Poor Tanzanian

Huyo P..I..M..B Jichola3 hawezi kukuelewa
 
Nape yeye kama kiongozi wa ngazi ya juu kabisa , tena wa CHAMA TWAWALA ,ameshindwa vipi kumuona John Tendwa ili aifute CDM ? (Kama walivyopangwa awali ) Si ana Ushahidi usio na shaka ?
 
duh, hii inatia hofu. Kwa nini vyama visiendeshe siasa safi kwa manufaa na mstakabali wa taifa.

Kuna faida gani kupata madaraka kwa njia za kishetani?.

Why they are so desperate for power?.

Kwani hawafahamu kama nchini kuna demokrasia ya kupata viongozi kwa njia ya kura?.

Why all this?. Why, why, why?.
nape ni kiboko yao chadema anawapa kiwewe ile mbaya we unaFikiri kwa nini babu slaa alimkimbia pale itv?
 
Kuna siku moja nikiwa chuoni pale UDSM nilisikia kada muumini mmoja wa CHASO akisema kuwa yeye ni chadema damu, lakini mbinu wanazoziandaa za kuwahandaa watanzania zinaweza kuhatarisha amani ya nchi. Inawezekana mbinu zenyewe ndo hizi nini? ee mungu tuepushe na balaa hili.

Chuoni ulipita kufanya nini? Nawe unasoma hapo? Kama ni 'NDIYO', UDSM imekwisha! Mpango wa selection kupitia TCU ukomeshwe, UDSM wasingekupa nafasi ya kusoma pale, wewe ni KILAZA wa nguvu! Hii story umeitunga.
 
Back
Top Bottom