Nape aja na Tuhuma nzito dhidi ya CHADEMA

Nape aja na Tuhuma nzito dhidi ya CHADEMA

Dawa ya akina nape ni hawa jamaa hapa..

579467_491180207622244_2003823761_n.jpg
 
Ccm wanaona wajitakase kidogo kwa kuwasingizia cdm uuaji ili angalao iwe droo match au cdm ionekane wamezidi. Hii yote ni guilty consciousness. Kama mioyo yao inawauma ndani, si waache kuua, mbona wanataka kukwepa na kuwapaka wengine?!
 
Duh, hii inatia hofu. Kwa nini vyama visiendeshe siasa safi kwa manufaa na mstakabali wa Taifa.

Kuna faida gani kupata madaraka kwa njia za kishetani?.

Why they are so desperate for power?.

kwani hawafahamu kama nchini kuna demokrasia ya kupata viongozi kwa njia ya kura?.

why all this?. Why, why, why?.

Hawa watu wanaudhi sana kwa kuwa wanatakiwa kueleza yale waliyofanya, watakayofanya na ni kwa jinsi gani wataendelea kumalizia ahadi zao. Lakini kinyume chake wanatafuta kila kukicha kukamatana uchawi. Bora tuanzishe chama ambacho kiko serious kwa kuwa na watu serous. Wote wameamua kufanana na Nape. I am bored stiff. Halafu sasa katika kuhakikisha kweli kuna unyama na ugaidi innocent people are losing their lives. This is unacceptable. CCM chma kizee hakipaswi hata moja kuleta ngonjera as if kinatafuta uongozi wakati kiko madarakani. These guys are a really bore.
 
Back
Top Bottom