NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,853
Sijaja kwa kebehi wala maudhi ila nahitaji upembuzi juu ya hili la mito ya pombe mbinguni,
Quran 47:15 - Mfano wa Pepo walio ahidiwa wachamngu ina mito ya maji yasiyo vunda, na mito ya maziwa isiyo haribika ladha yake, na mito ya pombe yenye ladha kwa wanywao, na mito ya asali iliyo safishwa.
Binasfi hapa nimetathmini sana na nimepandwa na hasira, Kilicho haramu kikiruhusiwa mbinguni kuna utofauti upi gani na kula kitimoto, au nacho kimefichwa ili iwe surprise ya kushushia hizo pombe mbinguni ?
Naumiza kichwa na nashindwa kupata jibu, nijuavyo mimi pombe ilikaazwa kwasababu ina madhara mengi
Tuajadiliane Hali hii ni vipi na inakuwaje sawa kwa Allah kuweka majaribu mbinguni?
Quran 47:15 - Mfano wa Pepo walio ahidiwa wachamngu ina mito ya maji yasiyo vunda, na mito ya maziwa isiyo haribika ladha yake, na mito ya pombe yenye ladha kwa wanywao, na mito ya asali iliyo safishwa.
Binasfi hapa nimetathmini sana na nimepandwa na hasira, Kilicho haramu kikiruhusiwa mbinguni kuna utofauti upi gani na kula kitimoto, au nacho kimefichwa ili iwe surprise ya kushushia hizo pombe mbinguni ?
Naumiza kichwa na nashindwa kupata jibu, nijuavyo mimi pombe ilikaazwa kwasababu ina madhara mengi
- Huchochea uzinzi (huwa inashuka chini)
- Ugomvi - hupunguza uwezo wa kucontroll hasira.
- Kutukana matusi - Mdomo utasema unachotaka
- addiction / uraibu
- imefanya wengi kufukuzwa kazini hadi mawaziri
- Kuzima
- Kutembea kwa kupepesuka bila balance
- kujisaidia hadharani
- Maumivu ya kichwa
- Magonjwa ya figo, presha, kansa, n.k.
Tuajadiliane Hali hii ni vipi na inakuwaje sawa kwa Allah kuweka majaribu mbinguni?