Naona kabisa Depression na stress zinakwenda kuniua

Naona kabisa Depression na stress zinakwenda kuniua

Hellow JF

Naomba hata kama kuna Mtaalamu wa masuala ya psychology anisaidie kuniweka sawa.

nimepata ajali na bajaj yangu sijui itachukua muda gani kurudi barabarani..

Lakini sijui marejesho YANGU yatasimama au vipi, na sijui ikipona ntarudi tena au ndio wataichukua moja kwa moja.
Ntakuwa nimekosa vyote yani niko hopeless

Yani Daaah sina ABC wala D
Msaada wa mawazo please.
WAsiwasi wako mwingi ni kutokana na kukosa taarifa tu , ikiwa kama ulikopa kwenye bank au taasisi ya mkopo inayoeleweka na bajaji yako ndio inaelweka kama ndio chanzo cha marejesho na sasa hivi haifanyi kazi basi unayo haki ya kwenda kuomba marejesho yako yasimamishwe kwa muda huo au yasogezwe mbele , chukua document zako za ajali kama za polisi , picha, report ya bima halafu andika barua kuomba kusimamishiwa marejesho mpaka chombo kitakapokuwa kimekamilika matengenezo hakikisha barua inakuwa stamped na bank au acknowledged kuwa imepokelewa na bank husika . Kwa upande wa bima kama ni bima kubwa na uliripoti kwa wakati basi asilimia kubwa ni kuwa utalipwa . Hamna haja ya kuwa na wasiwasi kwa kiwango hiko
 
WAsiwasi wako mwingi ni kutokana na kukosa taarifa tu , ikiwa kama ulikopa kwenye bank au taasisi ya mkopo inayoeleweka na bajaji yako ndio inaelweka kama ndio chanzo cha marejesho na sasa hivi haifanyi kazi basi unayo haki ya kwenda kuomba marejesho yako yasimamishwe kwa muda huo au yasogezwe mbele , chukua document zako za ajali kama za polisi , picha, report ya bima halafu andika barua kuomba kusimamishiwa marejesho mpaka chombo kitakapokuwa kimekamilika matengenezo hakikisha barua inakuwa stamped na bank au acknowledged kuwa imepokelewa na bank husika . Kwa upande wa bima kama ni bima kubwa na uliripoti kwa wakati basi asilimia kubwa ni kuwa utalipwa . Hamna haja ya kuwa na wasiwasi kwa kiwango hiko
Ushauli mzuri
 
Mshana Jr yupo sahihi,
Binadamu kama mnyama yeyote yule ameumbwa na asili ya ushindani na ulinganishaji

Tunapata umaana wetu Kwa kujiliganisha na wengine

Tunajitanbua zaidi sisi wenyewe pale tunapowafanya wenzetu kuwa kioo chetu
Ukiwa na tatizo unaweza kuliona kubwa kabla hujaona la mwenzako... Kuna watu wana hali ngumu kuliko zetu na bado wanapambana hawakati tamaa
 
Ili Tanzania ifike mbali yatakiwa Ubepari uenee zaidi.
Ikifika wakati kila kitu kinahitaji pesa,wazazi watasomesha watoto wao na kuwakazania wasome ili wagundue vitu au kuanzisha biashara.



Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Ndo hivi Sasa nasio kuchunguzana tabu za wengine, hayo maisha ya ujamaa alikufa nayo nyerere tu
 
WAsiwasi wako mwingi ni kutokana na kukosa taarifa tu , ikiwa kama ulikopa kwenye bank au taasisi ya mkopo inayoeleweka na bajaji yako ndio inaelweka kama ndio chanzo cha marejesho na sasa hivi haifanyi kazi basi unayo haki ya kwenda kuomba marejesho yako yasimamishwe kwa muda huo au yasogezwe mbele , chukua document zako za ajali kama za polisi , picha, report ya bima halafu andika barua kuomba kusimamishiwa marejesho mpaka chombo kitakapokuwa kimekamilika matengenezo hakikisha barua inakuwa stamped na bank au acknowledged kuwa imepokelewa na bank husika . Kwa upande wa bima kama ni bima kubwa na uliripoti kwa wakati basi asilimia kubwa ni kuwa utalipwa . Hamna haja ya kuwa na wasiwasi kwa kiwango hiko
Nashukuru sana mkuu
Ahsante sana Jumatatu napeleka hizo document.
Bima nilitoa taarifa kwa wakati wakasema kuwa nipeleke zile taarifa zote za polisi na sasa nimemaliza kila kitu Jumatatu napeleka ushukuriwe sana.
 
Kwa sababu wanawake wakiteseka tunawasaidia basi hicho ndio kikakufanya na wewe jana ukapandisha bandiko lako kuwa unatamani ungezaliwa Mwanamke? Kuna wanawake wanapita ktk wakati mgumu kiasi kwamba wewe ukipewa hayo majukumu yao hata masaa mawili hutoboi.
Hajui tu huyu
 
Ukweli huu

Kuna wana JamiiForums wenzetu wanapitia nyakati ngumu mno
 

Kuna wana JamiiForums wenzetu wanapitia nyakati ngumu mno
Sema wewe jamaa una Akili Sana kuhusu Maisha , Mungu Aendelee kukubariki umefanya njia katika Maisha ya watu wengi Sana Allah Akutunze.
 
Ukiwa na tatizo unaweza kuliona kubwa kabla hujaona la mwenzako... Kuna watu wana hali ngumu kuliko zetu na bado wanapambana hawakati tamaa
Asome kitabu Cha Jean-Paul Sartre Cha No Exit,ajioneee


Watu wengine ndiyo utuonesha tulivyo,aidha kama tumefanikiwa au laa,kama hatuvutii au tunavutia

We unafiki zile adjectives za bad\good,ugly\beautiful chanzo chake ni nini!?

Ni hicho kitendo Cha kuwageuza wenzetu vioo Ili Tuone tumefanikiwa au tumefeli msishani
 
Back
Top Bottom