Dr wa Kaliua
JF-Expert Member
- Sep 20, 2020
- 1,634
- 3,880
Hellow JF
Naomba hata kama kuna Mtaalamu wa masuala ya psychology anisaidie kuniweka sawa.
Nimepata ajali na bajaj yangu sijui itachukua muda gani kurudi barabarani..
Lakini sijui marejesho YANGU yatasimama au vipi, na sijui ikipona ntarudi tena au ndio wataichukua moja kwa moja.
Ntakuwa nimekosa vyote yani niko hopeless
Yani Daaah sina ABC wala D
Msaada wa mawazo please.
Naomba hata kama kuna Mtaalamu wa masuala ya psychology anisaidie kuniweka sawa.
Nimepata ajali na bajaj yangu sijui itachukua muda gani kurudi barabarani..
Lakini sijui marejesho YANGU yatasimama au vipi, na sijui ikipona ntarudi tena au ndio wataichukua moja kwa moja.
Ntakuwa nimekosa vyote yani niko hopeless
Yani Daaah sina ABC wala D
Msaada wa mawazo please.