Dr wa Kaliua
JF-Expert Member
- Sep 20, 2020
- 1,634
- 3,880
- Thread starter
- #41
Ahsante StorywriterPole mkuu
Ahsante StorywriterPole mkuu
Ili Tanzania ifike mbali yatakiwa Ubepari uenee zaidi.Kusema atembelee muhimbili sijui na magerezani ajionee maisha yalivyo hizo ni fikra za kimasikin, dunia ya sasa niyakibepali mshana. Tatizo lako ni lako tu usilipe matumaini au unafuu Kwa kuangalia matatizo ya wengine hiyo poor mindset. Badilika ndugu yangu nakuheshimu sana
Usivuke mipaka ya ujuaji...!Kusema atembelee muhimbili sijui na magerezani ajionee maisha yalivyo hizo ni fikra za kimasikin, dunia ya sasa niyakibepali mshana. Tatizo lako ni lako tu usilipe matumaini au unafuu Kwa kuangalia matatizo ya wengine hiyo poor mindset. Badilika ndugu yangu nakuheshimu sana
Ungekuwa unaandika point kama hizi Kila siku ingekuwa poa sanaKusema atembelee muhimbili sijui na magerezani ajionee maisha yalivyo hizo ni fikra za kimasikin, dunia ya sasa niyakibepali mshana. Tatizo lako ni lako tu usilipe matumaini au unafuu Kwa kuangalia matatizo ya wengine hiyo poor mindset. Badilika ndugu yangu nakuheshimu sana
Sawa Kuna wenye matatizo zaidi yako sikatai lakini hayo matatizo Yao wewe yanakupa unafuu gn Kwa hilo unalopitia. Ingekuwa ni mechi ya Mpira wa miguu kama ilibyokuwa kombe la Dunia mwaka jana URUGUAY walikuwa wanaomba KOREA ifungwe ili wafuzu hapo tungesema ni Sawa maana bila hivyo hawatafuzuNilivyomuelewa mshana, anasema kwamba
Haya ninayo pitia ni kawaida kwa sababu kuna watu wana matatizo makubwa kushinda Yangu.
Sio kwamba najifananisha nao ila nipo kwenye hatua yenye hafueni sana.
Au sio hivyo Mpwayungu?
Udhibitisho ndokila kitu, tupo pamoja mkuu maana hata mahakamani hakimu anasema leta ushahidiMpwayungu village
Ni kweli jamaa anachosema sio tapeliView attachment 2565999
Unasemaje!?Mwanaume kuteseka sio sifa, mbona wanawake wakipata majanga huwa tunawasaidia why wanaume tunawaambia wapambane
Aiseee!Sawa Kuna wenye matatizo zaidi yako sikatai lakini hayo matatizo Yao wewe yanakupa unafuu gn Kwa hilo unalopitia. Ingekuwa ni mechi ya Mpira wa miguu kama ilibyokuwa kombe la Dunia mwaka jana URUGUAY walikuwa wanaomba KOREA ifungwe ili wafuzu hapo tungesema ni Sawa maana bila hivyo hawatafuzu
Sasa tukija kwenye changamoto tunazopitia haina tija kuanza kuangalia na wengine kama wapo wanaopata tabu. Kwanza kuanza kuchunguza matatizo ya wengine unaacha ya kwako huo ni umbea, unafiki, kukosa kazi pia za kufanya.
Mkuu pambana utoke kwenye huo msoto usipambane kwenda magerezani na kwenye mahospitali ili kuwaona wenye tabu zaidi yako, ukishawaona ndo bajaji yako itapona au
Bila picha wewe ni tapeli tu
hujafa hujaumbika,sitaki kukuombea mabaya Ila elewa tu kua hadi sasa nimefanya operation 3 za kichwa and still one more to!!
[emoji23][emoji23] sawa mheshimiwaUdhibitisho ndokila kitu, tupo pamoja mkuu maana hata mahakamani hakimu anasema leta ushahidi
Umeona akili zako zilivyo sasa, kama hutaki kukosolewa basi acha kukomenti usitake mawazo yako ndoyawe active tu nakujiona wewe hupingwi. Fanya unalotakaUsivuke mipaka ya ujuaji...!
Daaah hujafa hujaumbika..Punguza kauli chafu,huwezi jua hatima yako,ubarikiwe!!View attachment 2566001
Kwa sababu wanawake wakiteseka tunawasaidia basi hicho ndio kikakufanya na wewe jana ukapandisha bandiko lako kuwa unatamani ungezaliwa Mwanamke? Kuna wanawake wanapita ktk wakati mgumu kiasi kwamba wewe ukipewa hayo majukumu yao hata masaa mawili hutoboi.Mwanaume kuteseka sio sifa, mbona wanawake wakipata majanga huwa tunawasaidia why wanaume tunawaambia wapambane
Pole sana, Kwa hapa nimekubali lazima ushahidi bila hivyo wabongo hatuwez kukuelewa wengi tumekuwa waongo mnoPunguza kauli chafu,huwezi jua hatima yako,ubarikiwe!!View attachment 2566001
Aisee pole sanaPunguza kauli chafu,huwezi jua hatima yako,ubarikiwe!!View attachment 2566001
Get well soon , Mungu akuvushe salama ,Punguza kauli chafu,huwezi jua hatima yako,ubarikiwe!!View attachment 2566001
Sikupingi ila shida ni pale ambapo mtu anaumia halafu anajisifu mimi ni mwanaume so what???Kwa sababu wanawake wakiteseka tunawasaidia basi hicho ndio kikakufanya na wewe jana ukapandisha bandiko lako kuwa unatamani ungezaliwa Mwanamke? Kuna wanawake wanapita ktk wakati mgumu kiasi kwamba wewe ukipewa hayo majukumu yao hata masaa mawili hutoboi.
Mshana Jr yupo sahihi,Kusema atembelee muhimbili sijui na magerezani ajionee maisha yalivyo hizo ni fikra za kimasikin, dunia ya sasa niyakibepali mshana. Tatizo lako ni lako tu usilipe matumaini au unafuu Kwa kuangalia matatizo ya wengine hiyo poor mindset. Badilika ndugu yangu nakuheshimu sana
Kwahiyo mateso kwako siyo kigezo Cha uanaume!?Sikupingi ila shida ni pale ambapo mtu anaumia halafu anajisifu mimi ni mwanaume so what???