Mwandwanga
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 3,057
- 1,573
jamani maneno mengi ya siasa na haki za binadamu, ndio bongo siku zote mineno mingi lakini on this one yaani salim hapana wote tuna macho ya kuona kuwa hatufanani naye sio mwenzetu huyu!,
enzi za mwalimu tulikuwa tunaogopa kusema sasa tuna nafasi ndio tulianzia dodoma kumpa ukweli kuwa mzee si mwenzetu,
now guys ni kweli we can talk back and forth it good for the forum, lakini huu ukweli ambao hatuhitaji kuambiwa ni vigumu kuukwepa, hapa hata siasa na usawa wa binadamu unafika mwisho, dodoma alikataliwa kwa sababu tu ya uarabu wake sio siri, na pia ukiwauliza viongozi waliohusika watakwambia maneno ya uongo,
suala la ubaguzi ni la damu na always wote huwa tunahusika in one way or another, ni natural sio masuala ya kujifunza siku zote binadamu tunataka kuwa karibu na tunaofanana nao, nyinyi kina choveki na wenzako mwisho mtatuletea mambo ya ndoa za mashoga maana mna maneno mengi ya progress na ndiko mnakoelekea, mambo mengine ni kuyaacha tu kama yalivyo sisi ni weusi na waarabu ni tofauti hata tabia zetu hazifananani, hapa hamna siasa wala lecture ni mwisho wa yote, kila mtu aende kwao, na kwenye urais wa nchi yetu hatuwezi kuwa compromise kwani hata huko majuu tunajua walivyowakali inapokuja kwenye urais msituponze na hizo siasa zenu za nje nyingiiiiiii!
jehanam inakusubiri.....