Naombeni ushauri ninunue gari ipi

Naombeni ushauri ninunue gari ipi

Ninunue gari ipi kati ya hizi


  • Total voters
    49

Billion Dolar

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2021
Posts
1,412
Reaction score
3,203
Wananzengo habari zenu.
Mimi ni mtu wa safsri kila ijumaa ja jumapili, na huwa napenda nitumie gari binafsi ili nijipangie mda wa kuondoka na kufika. So nlikuwa na gari ndogo nahisi kuichoka.
Kati ya gari ninayohitaji ni honda crosroad ama rumion nikishindwa hizi basi outlander but hizi 2 za mwanzo ndo chaguo langu.
Nimekuja kwenu kuomba ushauri ni gari ipi ninunue, bajeti yangu ni 18 hadi 20 mil. Natamani ninunue msimu huu wa christmass coz bei huwa zinashuka. Nakaribisha ushauri ila sio masimango ama matusi
 
Wananzengo habari zenu.
Mimi ni mtu wa safsri kila ijumaa ja jumapili, na huwa napenda nitumie gari binafsi ili nijipangie mda wa kuondoka na kufika. So nlikuwa na gari ndogo nahisi kuichoka.
Kati ya gari ninayohitaji ni honda crosroad ama rumion nikishindwa hizi basi outlander but hizi 2 za mwanzo ndo chaguo langu.
Nimekuja kwenu kuomba ushauri ni gari ipi ninunue, bajeti yangu ni 18 hadi 20 mil. Natamani ninunue msimu huu wa christmass coz bei huwa zinashuka. Nakaribisha ushauri ila sio masimango ama matusi
Kula chuma cha rumion mkuu ila chukua gari tu ya moyo wako ndo umeipenda mkuu
 
Hybrid sio gari ya kununua utalia, siku si nyingi, battery life nyingi ni miaka 10 baada ya hapo zinaanza kupoteza ubora wake kwa kasi sana pia zina computer nyingi sana, kama gari ya kwendea job km 20 kwa siku chukua ila unakula nayo safari hutoboi
 
Kwa sisi wataalam wa magari kabla hatujakushauri ununue gari gani lazima tuuloze na kipato chako cha mwezi ili ushauriwe gari utakayoimudu usije kuiacha ukaanza kutembea na miguu kisa mafuta
 
Kwa sisi wataalam wa magari kabla hatujakushauri ununue gari gani lazima tuuloze na kipato chako cha mwezi ili ushauriwe gari utakayoimudu usije kuiacha ukaanza kutembea na miguu kisa mafuta

Kama 3.5m kama take home, unaushauri gari gani mkuu
 
Hiyo uliyoichoka kama ni spacio engine ndogo,au runx jamii ya hizo,ipo milioni sita mfuko wa shati
 
Kwa mazingira yetu ya bongo zingatia yafuatayo kabla hujanunua gari:

(1). Upatikanaji wa spare
(2). Uwezo wa mafundi kutengeza
(3). Ulaji wa mafuta na gharama za spare.

Kwa kuzingatia hayo hapo juu, ndio maana magari ya Toyota yanatufaa zaidi. Nenda na Rumion.

Magari pendwa Tanzania:
(1). Toyota IST
(2). Toyota Spacio
(3). Toyota Premio
(4). Toyota Prado/ Landcruiser
(5). Toyota Alex/ Runx
(6). Toyota Rav 4
(7.) Vanguard
(8). Rumion
 
Kama 3.5m kama take home, unaushauri gari gani mkuu
Kwa kipato hicho zote unazimudu ila outlander kidogo angalau imekaa kiume tofauti na Rumion na hiyo nyingine, maintenance pia utamudu ila usipeleke kwa mafundi wa vichochoroni
 
Back
Top Bottom